Droo ya Hatua ya Makundi CAF: Yanga yapangwa na TP Mazembe, Simba wapangwa na Raja Casablanca

Droo ya Hatua ya Makundi CAF: Yanga yapangwa na TP Mazembe, Simba wapangwa na Raja Casablanca

Kwa hili kundi simba ni underdog+++
Nakukumbusha tu
FB_IMG_1670849008694.jpg
 
Boli linabadilika mkuu.. Kwa Simba ya sasa sioni kama ina future nzuri uko kimataifa. Kama hulioni ilo muda utakupa majibu mujarabu
Actually hatuwezi kukataa kuwa Simba haiko stable ila ni sehemu ndogo sana ya kufanyia marekebisho

Tunaenda kwenye dirisha dogo, huko ndio tunaenda ku regulate hizo dosari
 
Watu wanachanganya kati ya raja casablanca na wydad casablanca.

Hao raja tia maji.Hata hivyo simba huwa anapiga hata Ahly
Raja Casablanca ndio Giant wa Morocco,Wydad ameibuka zaidi miaka ya hivi karibuni japo ni aches Rivals.Raja Casablanca ni timu kubwa sana kwenye soka letu la Africa nafikiri ukiitoa Al ahly ni Raja na Zamalek.
 
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Africa, Simba na Yanga mchana huu watakuwa wakifuatilia droo ambapo makundi yatapangwa.

Droo hii itaanza saa 8:00 kwa masaa ya hapa nyumbani. Hivyo karibu jukwaani ujue nani kapangwa na nani?

Droo itakuwa live kupitia AzamTv chaneli namba 106 na DStv kupitia chaneli namba 229.

Nafikiri na YouTube kwenye account rasmi ya CAF.

===

KOMBE LA SHIRIKISHO
GROUP A
USMA (ALG)
M. GALLANTS (RSA)
AL AKHDER (LBY)
ST. ELOI LUPOPO (RDC)

GROUP B
ASEC MIMOSAS (CIV)
DIABLES NOIRS (CGO)
RIVERS UTD FC (NGR)
DC M. PEMBE (RDC)

GROUP C
PYRAMIDS FC (EGY)
ASKO DE KARA (TGO)
FUTURE FC (EGY)
ASFAR (MAR)

GROUP D
MAZEMBE (RDC)
US MONASTIR (TUN)
Y. AFRICANS (TAN)
REAL BAMAKO (MLI)


Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limekamilisha droo ya Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho, Yanga ya Tanzania ikiwa Kundi D pamoja na US Monastir ya Tunisia, TP Mazembe ya DRC na Real Bamako ya Mali.

Kuna jumla ya makundi manne yaliyopangwa ambapo michezo ya Hatua ya Makundi inatarajiwa kuanza Februari 2, 2023 na kuendelea hadi Aprili 2, 2022.

LIGI YA MABINGWA
GROUP A
W.A.C (MAR)
A. PETROLEOS (ANG)
JS KABYLIE (ALG)
AS VITA CLUB (RDC)

GROUP B
AHLY SC (EGY)
M.SUNDOWNS (RSA)
O EL HILAL (SUD)
COTON SPORT (CMR)

GROUP C
RAJA C.A (MAR)
HOROYA A.C (GUI)
SIMBA SC (TAN)
VIPERS SC (UGA)

GROUP D
E.S.T (TUN)
ZAMALEK SC (EGY)
CR BELOUIZDAD (ALGI
AL MERRIKH (SUD)
Hivi imekuaje Yanga na US MONASTIR (TUN) kupangwa kundi moja wakati walikua pot moja?
 
Back
Top Bottom