ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wazee wa kutabiriUtabiri: Simba & Yanga hawatofika mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa kutabiriUtabiri: Simba & Yanga hawatofika mbali
To be honest; hili kundi siyo poa kabisa kwa mnyama. Asipokuwa makini, anaweza hata kushika mkia. Maana hakuna kibonde hapo.Njoo mjifariji wana ThimbaView attachment 2444047
Mkuu Simba anapiga Ahly,na huwa wanaogopa kupangwa na Simba sembuse hao! You can't be serious. La sivyo una unazi wa ki YangaHapo Simba anatapa point Kwa nani wanazengo
Simba na Mazembe nani mwamba kwenye mashindano ya CAF?Vipers sio timu yakuisumbua simba hata kidogo ktk michuano hii..Bado watoto wadogo sana linapokuja swala la mashindano ya caf hata kama wanatimu nzuri..
Kinacho waponza mnadhani Simba ile ndio hiiMkuu Simba anapiga Ahly,na huwa wanaogopa kupangwa na Simba sembuse hao! You can't be serious. La sivyo una unazi wa ki Yanga
Watu wanachanganya kati ya raja casablanca na wydad casablanca.Wenzao, sio hao, ambao ni wydad Casablanca.
Mkuu Simba aliyekuwa anapiga kina ahly siyo huyu Simba wa Sasa mzee... Move on maisha yameshabadilika kabisaaMkuu Simba anapiga Ahly,na huwa wanaogopa kupangwa na Simba sembuse hao! You can't be serious. La sivyo una unazi wa ki Yanga
Hawa raja ndio waliwakanda Yanga 6 eeeehHuyu Vipers anapoint zetu 6
Na huyo foronya atatuachia 3 hapa kwa Mkapa
Raja Casablanca nikimchapa hapa lupaso kule kwao napeleka kikosi B
Namzidi ufundi wa kutengeneza wachezaji wazuriUnamzidi nini Holoya wewe?
Na ma 4 walibishaHawa raja ndio waliwakanda Yanga 6 eeeeh
Juhudi za Simba kwenye mashindano haya mkuu ndo hutupa tumaini.Kinacho waponza mnadhani Simba ile ndio hii
Nakukumbusha tuKwa hili kundi simba ni underdog+++
Yanga walishtuka wakakimbiaAl Ahly
Mamelodi
YangaAl Hilal
Coton Sports
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!! Ilibaki hiviiiii, yaaani, sema ndio vile tenaaa
Actually hatuwezi kukataa kuwa Simba haiko stable ila ni sehemu ndogo sana ya kufanyia marekebishoBoli linabadilika mkuu.. Kwa Simba ya sasa sioni kama ina future nzuri uko kimataifa. Kama hulioni ilo muda utakupa majibu mujarabu
Kibu tutamleta kwenu kwa mkopo achukue nafasi ya MakamboKwa kikosi hiki cha akina Kibu?
Raja Casablanca ndio Giant wa Morocco,Wydad ameibuka zaidi miaka ya hivi karibuni japo ni aches Rivals.Raja Casablanca ni timu kubwa sana kwenye soka letu la Africa nafikiri ukiitoa Al ahly ni Raja na Zamalek.Watu wanachanganya kati ya raja casablanca na wydad casablanca.
Hao raja tia maji.Hata hivyo simba huwa anapiga hata Ahly
Hivi imekuaje Yanga na US MONASTIR (TUN) kupangwa kundi moja wakati walikua pot moja?Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya ligi ya mabingwa pamoja na shirikisho Africa, Simba na Yanga mchana huu watakuwa wakifuatilia droo ambapo makundi yatapangwa.
Droo hii itaanza saa 8:00 kwa masaa ya hapa nyumbani. Hivyo karibu jukwaani ujue nani kapangwa na nani?
Droo itakuwa live kupitia AzamTv chaneli namba 106 na DStv kupitia chaneli namba 229.
Nafikiri na YouTube kwenye account rasmi ya CAF.
===
KOMBE LA SHIRIKISHOGROUP A
USMA (ALG)
M. GALLANTS (RSA)
AL AKHDER (LBY)
ST. ELOI LUPOPO (RDC)
GROUP B
ASEC MIMOSAS (CIV)
DIABLES NOIRS (CGO)
RIVERS UTD FC (NGR)
DC M. PEMBE (RDC)
GROUP C
PYRAMIDS FC (EGY)
ASKO DE KARA (TGO)
FUTURE FC (EGY)
ASFAR (MAR)
GROUP D
MAZEMBE (RDC)
US MONASTIR (TUN)
Y. AFRICANS (TAN)
REAL BAMAKO (MLI)
Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limekamilisha droo ya Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho, Yanga ya Tanzania ikiwa Kundi D pamoja na US Monastir ya Tunisia, TP Mazembe ya DRC na Real Bamako ya Mali.
Kuna jumla ya makundi manne yaliyopangwa ambapo michezo ya Hatua ya Makundi inatarajiwa kuanza Februari 2, 2023 na kuendelea hadi Aprili 2, 2022.
LIGI YA MABINGWAGROUP A
W.A.C (MAR)
A. PETROLEOS (ANG)
JS KABYLIE (ALG)
AS VITA CLUB (RDC)
GROUP B
AHLY SC (EGY)
M.SUNDOWNS (RSA)
O EL HILAL (SUD)
COTON SPORT (CMR)
GROUP C
RAJA C.A (MAR)
HOROYA A.C (GUI)
SIMBA SC (TAN)
VIPERS SC (UGA)
GROUP D
E.S.T (TUN)
ZAMALEK SC (EGY)
CR BELOUIZDAD (ALGI
AL MERRIKH (SUD)