Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yote yanafanyika kimahesabuUkiachilia mbali kipigo kinachoenda kuwapata huko nje ya nchi, sidhani kama mtaweza kupeleka timu.
Bus lenu limewashinda kukomboa, nauli za ndege mtaziweza?
mbwa kama nyie ni nadra sana kukosekanaNasikitika kusema kuwa
Simba bye bye
Who told u?saa kumi na mbili jioni ni droo ya shirikisho na saa moja usiku n droo ya club bingwa
Mpira ni dakika 90, ndugu.Ukweli unakuweka huru, mwaka huu hata huku kwenye ligi ya NBC tukiwa mikoani ni tiamaji tiamaji, Simba mwendo tumeumaliza.
Atakayebisha analeta ushabiki lakini hali inayoendelea ni ngumu kwetu.
Huyu Vipers anapoint zetu 6
Wenzao, sio hao, ambao ni wydad Casablanca.Ivi hawa raja c a ndo mabingwa watetezi au ni wale wenzao
Anaongoza aje?Simba na raja, horoya na vipers .. mnyama anaongoza group
Rest in Peace Yanga
wewe umeona wapi Simba anaongoza kundi?Anayeongoza Group maana yake ndio mkubwa
Hilo tu linatosha kuwatoa mchezoni
Na msimamo utaisha Simba akiwa juu, wa huku chini watajijua wenyewe
Unakikosi B wewe?Huyu Vipers anapoint zetu 6
Na huyo foronya atatuachia 3 hapa kwa Mkapa
Raja Casablanca nikimchapa hapa lupaso kule kwao napeleka kikosi B
Humu humuwewe umeona wapi Simba anaongoza kundi?
Hadi Z kipoUnakikosi B wewe?
Mnyama kunguruma Morocco...GROUP C
RAJA C.A (MAR)
HOROYA A.C (GUI)
SIMBA SC (TAN)
VIPERS SC (UGA)
Hususani YangaYanga na Simba wamepangwa na timu za kawaida wakaze mwendo
Al Hilal huko alipo atakuwa analia tuAl Ahly
Mamelodi
YangaAl Hilal
Coton Sports
😂😂😂😂😂😂😂!! Ilibaki hiviiiii, yaaani, sema ndio vile tenaaa