mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Alafu ndugu zangu Simba hivi hamjui kama nanyie mnapangwa mda sio mrefu na nyie ndio mnabalaa zaidi maana target yenu ni nusu fainal ili Hali mna kikosi kibovu sana kuwahi kutokea toka Dunia iumbwe..
Hizi nguvu mnazotumia kuwananga Yanga kwann msingezitumia kumwomba Allah ili awanusuru na droo ngumu itakayowatia aibu ya mwaka Kwa vipigo mnavoenda kukutana navyo[emoji848][emoji848][emoji848]
Hizi nguvu mnazotumia kuwananga Yanga kwann msingezitumia kumwomba Allah ili awanusuru na droo ngumu itakayowatia aibu ya mwaka Kwa vipigo mnavoenda kukutana navyo[emoji848][emoji848][emoji848]