Droo ya Hatua ya Makundi CAF: Yanga yapangwa na TP Mazembe, Simba wapangwa na Raja Casablanca

Droo ya Hatua ya Makundi CAF: Yanga yapangwa na TP Mazembe, Simba wapangwa na Raja Casablanca

Yanga ndio watajua kwann kwa Mkapa huwa Simba hatuachi alama
Yanga haina haja ya kutegemea kwa Mkapa kikubwa achange karata zake za kupata point tatu haijalishi anachezea wapi. Afanye kama alivyofanya dhidi ya Club African, pale alipokosea dhidi ya Al Hilal kule Sudan kwa kucheza mpira mkubwa bila ya kupata matokeo arekebishe hilo. Simba wamejijengea mfumo wa kuwika nyumbani halafu ugenini anaweza kucheza ovyo kama digidigi stars. Yanga waweke mfumo wao wa kushinda popote pale na mpira wa hali ya juu.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Yanga haina haja ya kutegemea kwa Mkapa kikubwa achange karata zake za kupata point tatu haijalishi anachezea wapi. Afanye kama alivyofanya dhidi ya Club African, pale alipokosea dhidi ya Al Hilal kule Sudan kwa kucheza mpira mkubwa bila ya kupata matokeo arekebishe hilo. Simba wamejijengea mfumo wa kuwika nyumbani halafu ugenini anaweza kucheza ovyo kama digidigi stars. Yanga waweke mfumo wao wa kushinda popote pale na mpira wa hali ya juu.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Tabularasa
 
Berkane alichapika kwa US Monastir

View attachment 2443981
Mpira hauna formula mkuu kwamba kwavile A kafungwa na B basi C nae atafungwa kama alivyofungwa pia. Ingekuwa hivyo basi hata Yanga aliyemtoa Club African apigiwe hesabu hizo hizo.
IMG_20221212_143810.jpg


Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Droo tamu sana hii kwa Wananchi... Tuna point 6 zetu kwa watunisia + point 4 za hawa Bamako + 4 za wakongo = point 14

Tunaongoza kundi Kisha Hapo robo final leta piramid tuna droo Kwa mkapa Kisha tunaenda kumpigia kule kwao kama kawaida yetu Kisha semi final iyooo....

Historia mpya inaandikwa na hizi habari za hawa jamaa zetu mara oooh tumefika robo fainal zinakuwa zimekufa kifo Cha mende.... Au nasema uwongo ndugu zangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mpira hauna formula mkuu kwamba kwavile A kafungwa na B basi C nae atafungwa kama alivyofungwa pia. Ingekuwa hivyo basi hata Yanga aliyemtoa Club African apigiwe hesabu hizo hizo.View attachment 2443999

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Mkuu hauna haja ya kujibizana na hao mbumbumbu... Hawajawahi kuwa na jema Kwa Yanga, na Mwaka huu tutawashangaza zaidi ya kule tunisia
 
Yanga haina haja ya kutegemea kwa Mkapa kikubwa achange karata zake za kupata point tatu haijalishi anachezea wapi. Afanye kama alivyofanya dhidi ya Club African, pale alipokosea dhidi ya Al Hilal kule Sudan kwa kucheza mpira mkubwa bila ya kupata matokeo arekebishe hilo. Simba wamejijengea mfumo wa kuwika nyumbani halafu ugenini anaweza kucheza ovyo kama digidigi stars. Yanga waweke mfumo wao wa kushinda popote pale na mpira wa hali ya juu.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Simba hata ugenini anaunguruma tu.
As vita 0 , simba 1
Plateau utd 0 , simba 1
Nyasa big blet 0 ,simba 3
De Agostal 0, simba 3

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mlikuwa mnajipa matumaini kuwa Club Africain haiwezi kuisumbua Yanga kwasababu ilishawahi kufungwa goli 8 na Tp Mazembe

Sasa hao Tp Mazembe ndio mko nao kundi moja, hiyo kihasibu imekaaje?
Ndio yule Mazembe aliewapiga nyie 4?
 
Wale Yanga waliokuwa wanafurahia kipindi kile kuwa Club Africain ni mbovu kwasababu iliwahi kufungwa goli 8 na TP Mazembe vipi hali yenu saizi ipoje baada ya kuone hao Tp Mazembe mmepangwa naye group moja?
Tunamkamua vizuri kabisa bila shida. Naziona point zetu nne kutoka kwa mazembe, na wasipojikaza tunachukua zote sita.

Kwa sasa, TP mazembe ni team iliyopoteana kama Makolo FC. Hawana maajabu kama ilivyokua siku za nyuma!
 
Back
Top Bottom