Droo ya Hatua ya Makundi CAF: Yanga yapangwa na TP Mazembe, Simba wapangwa na Raja Casablanca

😂😂
 

Umekosea kidogo [emoji23][emoji23]
Points 4 za Bamako [emoji736]
 
Endelea kusubiri mechi ya marudiano hivyo hivyo ili muumbuke zaidi. Nakukumbusha tu kuwa mechi ijayo Yanga akishinda anakuwa kakata tiketi ya robo fainali
Asa si mpaka ashinde hizo hamsa nilizozitabiri nilikuwa namaanisha mechi ya marudiano ya kule Congo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…