😂😂Droo tamu sana hii kwa Wananchi... Tuna point 6 zetu kwa watunisia + point 4 za hawa Bamako + 4 za wakongo = point 14
Tunaongoza kundi Kisha Hapo robo final leta piramid tuna droo Kwa mkapa Kisha tunaenda kumpigia kule kwao kama kawaida yetu Kisha semi final iyooo....
Historia mpya inaandikwa na hizi habari za hawa jamaa zetu mara oooh tumefika robo fainal zinakuwa zimekufa kifo Cha mende.... Au nasema uwongo ndugu zangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwako mtabiriHawa wacheza boringo wa uto, watakohoa damu kwenye hili group
Mmeshaacha alama tatu mpaka sasa kwa MkapaYanga ndio watajua kwann kwa Mkapa huwa Simba hatuachi alama
Hapa TP Mazembe walipambwa mno wakati Yanga akipangiwa na TP Mazembe. Leo kauli zimebadilika eti Tp Mazembe wachovu.Kheee..Tp Mazembe Vs Gongowazi FCView attachment 2443975
Endea kuidharau Yanga iliyoimarika. Ndugu mtabiri hamsa ziko wapi?Utopolo ndio basi tena hamsa zinawahusu waambie wafungashe virago vyao.
Nitakukumbusha kwenye second leg hapa kwa Mkapa ulete matokeo.Kweli mambo hayafati itifaki
View attachment 2446740
Droo tamu sana hii kwa Wananchi... Tuna point 6 zetu kwa watunisia + point 4 za hawa Bamako + 4 za wakongo = point 14
Tunaongoza kundi Kisha Hapo robo final leta piramid tuna droo Kwa mkapa Kisha tunaenda kumpigia kule kwao kama kawaida yetu Kisha semi final iyooo....
Historia mpya inaandikwa na hizi habari za hawa jamaa zetu mara oooh tumefika robo fainal zinakuwa zimekufa kifo Cha mende.... Au nasema uwongo ndugu zangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa wacheza boringo wa uto, watakohoa damu kwenye hili group
Kwan si kuna mechi ya marudiano au?Endea kuidharau Yanga iliyoimarika. Ndugu mtabiri hamsa ziko wapi?
Juu ya u*** labdaAnayeongoza Group maana yake ndio mkubwa
Hilo tu linatosha kuwatoa mchezoni
Na msimamo utaisha Simba akiwa juu, wa huku chini watajijua wenyewe
[emoji3064][emoji3064]Waangalie hao afu wafananishe na Al Ahly ambao kila wakija hapa wanapasuka
Niambie unamuona nani hapo anayesalimika?
Endelea kusubiri mechi ya marudiano hivyo hivyo ili muumbuke zaidi. Nakukumbusha tu kuwa mechi ijayo Yanga akishinda anakuwa kakata tiketi ya robo fainaliKwan si kuna mechi ya marudiano au?
Asa si mpaka ashinde hizo hamsa nilizozitabiri nilikuwa namaanisha mechi ya marudiano ya kule Congo.Endelea kusubiri mechi ya marudiano hivyo hivyo ili muumbuke zaidi. Nakukumbusha tu kuwa mechi ijayo Yanga akishinda anakuwa kakata tiketi ya robo fainali
Hapa uliandika tusi gani?Juu ya u*** labda
Na hapa sijui umeandika kitu gani[emoji3064][emoji3064]
Kashindwa Monastir kuifunga Yanga hamsa, ndio ataweza TP Mazembe?Asa si mpaka ashinde hizo hamsa nilizozitabiri nilikuwa namaanisha mechi ya marudiano ya kule Congo.
Endelea kujipa moyo mpira dakika 90, siku ya mechi usijekutoweka tu jfKashindwa Monastir kuifunga Yanga hamsa, ndio ataweza TP Mazembe?