DSM ngumu, inahitaji RC wa viwango fulani. Nashauri Antony Mtaka aletwe hapa atatusaidia sana, vinginevyo bora hata Makonda arudi

DSM ngumu, inahitaji RC wa viwango fulani. Nashauri Antony Mtaka aletwe hapa atatusaidia sana, vinginevyo bora hata Makonda arudi

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi

Hii ni opinion article
Mikoa haifanani, na uwezo wa ma RC haulingani!.

Kuna mikoa migumu na mikoa milaini milaini. Mikoa migumu ni ile mikoa yenye majiji, DSM, Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya, etc, na mikao milaini milaini milaini ni mikoa ambayo haina issues kabisa kama Kilimanjaro, Singida, Lindi, Mtwara etc.

Kwa vile wakuu wa mikoa hawafanani, na wanatofautiana uwezo, mikoa migumu, inawahitaji wakuu wa mikoa wenye uwezo fulani hivi, sio kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa wa DSM na akauwezea!.

Mfano mzuri wa kupima uwezo wa wakuu wa mikoa, ni uwezo wa kusimamia utoaji wa huduma muhimu kwa kufuata sera na miongozo, nikitolea mfano huduma za afya ya mama na mtoto, sera inasema huduma hizi ni bure.

Mkuu wa Mkoa wa DSM aliyepo sasa, hili ameshindwa kulisimamia, na matokeo yake amewasemea hovyo au kuwabwatukia wanawake na kina mama wa mkoa wa DSM RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Huku Mkuu wa mkoa mwenzake wa Mkoa wa Njombe, sikiliza anachoeleza kuhusu issue hii Njombe: RC Mataka: sitaki kusikia mtu ameambiwa gloves hazipo kwa mama mjamzito kwa kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure

Mifano hiyo miwili inathibitisha uwezo wa wakuu hawa.

Hivyo nashauri, DSM ni jiji gumu kuliko uwezo wa RC aliyepo!, DSM jiji linahitaji RC wa viwango vya juu zaidi ya huyu aliyepo, hivyo nashauri katika mabadiliko ya ma RC yatakayo fanyika, RC Antony Mtaka aletwe DSM awe RC DSM, huyu jamaa namfahamu sana toka akiwa RC Simiyu, ameibadili Simiyu, akawa RC Dodoma, akaibadili, sasa ni RC Njombe ameibadili, tukiletewa Mtaka DSM, atatusaidia sana!.

Kwa wasiomjua Mtaka na track records yake Simiyu, karibu pande hizi

View: https://youtu.be/bKobi1sGjQ4?si=wsAcsUHd0Hdy2q9j
View: https://youtu.be/-f10kAUh7ik?si=liAlRVmfHd-Z7mpS
View: https://youtu.be/Ed7c9aEw8-Y?si=iZli1TwkLnEabJpT

Kwa msiomjua Chala, alianza kushindwa wapi, karibu pande hizi This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Na mwisho, hii sio mara yangu ya kwanza kushauri mtu fulani awe na akawa, angalia hawa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam na Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Lakini kama bado Mtaka hajaikamilisha vision yake ya transformation ya Njombe, kweli sio vizuri kumhamisha mtu mwenye vision fulani kabla ya kuikamilisha vision yake, tumeona mifano kwa machinga complex ya Dar na lile soko la machinga Dodoma, then ni bora hata kuturudishia Konda Boy arudi Dar kuliko..!

Mnalionaje hili?.

Paskali.
 
Wanabodi

Hii ni opinion article
Mikoa haifanani, na uwezo wa ma RC haulingani!.

Kuna mikoa migumu na mikoa milaini milaini. Mikoa migumu ni ile mikoa yenye majiji, DSM, Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya, etc, na mikao milaini milaini milaini ni mikoa ambayo haina issues kabisa kama Kilimanjaro, Singida, Lindi, Mtwara etc.

Kwa vile wakuu wa mikoa hawafanani, na wanatofautiana uwezo, mikoa migumu, inawahitaji wakuu wa mikoa wenye uwezo fulani hivi, sio kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa wa DSM na akauwezea!.

Mfano mzuri wa kupima uwezo wa wakuu wa mikoa, ni uwezo wa kusimamia utoaji wa huduma muhimu kwa kufuata sera na miongozo, nikitolea mfano huduma za afya ya mama na mtoto, sera inasema huduma hizi ni bure.

Mkuu wa Mkoa wa DSM aliyepo sasa, hili ameshindwa kulisimamia, na matokeo yake amewasemea hovyo au kuwabwatukia wanawake na kina mama wa mkoa wa DSM,


Huku Mkuu wa mkoa mwenzake wa Mkoa wa Njombe, sikiliza anachoeleza kuhusu issue hii

Mifano hiyo miwili inathibitisha uwezo wa wakuu hawa.

Hivyo nashauri, DSM ni jiji gumu kuliko uwezo wa RC aliyepo!, DSM jiji linahitaji RC wa viwango vya juu zaidi ya huyu aliyepo, hivyo nashauri katika mabadiliko ya ma RC yatakayo fanyika, RC Antony Mtaka aletwe DSM awe RC DSM, huyu jamaa namfahamu sana toka akiwa RC Simiyu, ameibadili Simiyu, akawa RC Dodoma, akaibadili, sasa ni RC Njombe ameibadili, tukiletewa Mtaka DSM, atatusaidia sana!.

Kwa wasiomjua Mtaka na track records yake Simiyu, karibu pande hizi

Kwa msiomjua Chala, alianza kushindwa wapi, karibu pande hizi.

Na mwisho, hii sio mara yangu ya kwanza kushauri mtu fulani awe na akawa, angalia hawa

Lakini kama bado Mtaka hajaikamilisha vision yake ya transformation ya Njombe, kweli sio vizuri kumhamisha mtu mwenye vision fulani kabla ya kuikamilisha vision yake, tumeona mifano kwa machinga complex ya Dar na lile soko la machinga Dodoma, then ni bora hata kuturudishia Konda Boy arudi Dar kuliko..!

Mnalionaje hili?.

Paskali.
Mjomba wangubChalla ni ropo ropo huwa naamini hashirikishi ubongo na fikra zake akiwa anaongea....huyu anafaa propaganda za chama....lakini kuwe na mtu kumdhibiti DSM angetolewa ....yaani bado hajakomaa kwenye uongozi ...jazba na mihemko yake....
 
Wanabodi

Hii ni opinion article
Mikoa haifanani, na uwezo wa ma RC haulingani!.

Kuna mikoa migumu na mikoa milaini milaini. Mikoa migumu ni ile mikoa yenye majiji, DSM, Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya, etc, na mikao milaini milaini milaini ni mikoa ambayo haina issues kabisa kama Kilimanjaro, Singida, Lindi, Mtwara etc.

Kwa vile wakuu wa mikoa hawafanani, na wanatofautiana uwezo, mikoa migumu, inawahitaji wakuu wa mikoa wenye uwezo fulani hivi, sio kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa wa DSM na akauwezea!.

Mfano mzuri wa kupima uwezo wa wakuu wa mikoa, ni uwezo wa kusimamia utoaji wa huduma muhimu kwa kufuata sera na miongozo, nikitolea mfano huduma za afya ya mama na mtoto, sera inasema huduma hizi ni bure.

Mkuu wa Mkoa wa DSM aliyepo sasa, hili ameshindwa kulisimamia, na matokeo yake amewasemea hovyo au kuwabwatukia wanawake na kina mama wa mkoa wa DSM,


Huku Mkuu wa mkoa mwenzake wa Mkoa wa Njombe, sikiliza anachoeleza kuhusu issue hii Njombe: RC Mataka: sitaki kusikia mtu ameambiwa gloves hazipo kwa mama mjamzito kwa kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure

Mifano hiyo miwili inathibitisha uwezo wa wakuu hawa.

Hivyo nashauri, DSM ni jiji gumu kuliko uwezo wa RC aliyepo!, DSM jiji linahitaji RC wa viwango vya juu zaidi ya huyu aliyepo, hivyo nashauri katika mabadiliko ya ma RC yatakayo fanyika, RC Antony Mtaka aletwe DSM awe RC DSM, huyu jamaa namfahamu sana toka akiwa RC Simiyu, ameibadili Simiyu, akawa RC Dodoma, akaibadili, sasa ni RC Njombe ameibadili, tukiletewa Mtaka DSM, atatusaidia sana!.

Kwa wasiomjua Mtaka na track records yake Simiyu, karibu pande hizi

Kwa msiomjua Chala, alianza kushindwa wapi, karibu pande hizi.

Na mwisho, hii sio mara yangu ya kwanza kushauri mtu fulani awe na akawa, angalia hawa

Lakini kama bado Mtaka hajaikamilisha vision yake ya transformation ya Njombe, kweli sio vizuri kumhamisha mtu mwenye vision fulani kabla ya kuikamilisha vision yake, tumeona mifano kwa machinga complex ya Dar na lile soko la machinga Dodoma, then ni bora hata kuturudishia Konda Boy arudi Dar kuliko..!

Mnalionaje hili?.

Paskali.
Bundi ametua ofisini kwa Chalamila, ngoja tuone...
 
Huyu comedian anajitahidi sana kukimbizana na majukumu ya mkuu wa mkoa dar
Screenshot_20250205-052737.jpg

Lakini anaishia kufeli! Mdomo wake unafanya kazi zaidi ya akili, what a JOKER!
TUPA KULE!
 
Wanabodi

Hii ni opinion article
Mikoa haifanani, na uwezo wa ma RC haulingani!.

Kuna mikoa migumu na mikoa milaini milaini. Mikoa migumu ni ile mikoa yenye majiji, DSM, Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya, etc, na mikao milaini milaini milaini ni mikoa ambayo haina issues kabisa kama Kilimanjaro, Singida, Lindi, Mtwara etc.

Kwa vile wakuu wa mikoa hawafanani, na wanatofautiana uwezo, mikoa migumu, inawahitaji wakuu wa mikoa wenye uwezo fulani hivi, sio kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa wa DSM na akauwezea!.

Mfano mzuri wa kupima uwezo wa wakuu wa mikoa, ni uwezo wa kusimamia utoaji wa huduma muhimu kwa kufuata sera na miongozo, nikitolea mfano huduma za afya ya mama na mtoto, sera inasema huduma hizi ni bure.

Mkuu wa Mkoa wa DSM aliyepo sasa, hili ameshindwa kulisimamia, na matokeo yake amewasemea hovyo au kuwabwatukia wanawake na kina mama wa mkoa wa DSM RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Huku Mkuu wa mkoa mwenzake wa Mkoa wa Njombe, sikiliza anachoeleza kuhusu issue hii Njombe: RC Mataka: sitaki kusikia mtu ameambiwa gloves hazipo kwa mama mjamzito kwa kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure

Mifano hiyo miwili inathibitisha uwezo wa wakuu hawa.

Hivyo nashauri, DSM ni jiji gumu kuliko uwezo wa RC aliyepo!, DSM jiji linahitaji RC wa viwango vya juu zaidi ya huyu aliyepo, hivyo nashauri katika mabadiliko ya ma RC yatakayo fanyika, RC Antony Mtaka aletwe DSM awe RC DSM, huyu jamaa namfahamu sana toka akiwa RC Simiyu, ameibadili Simiyu, akawa RC Dodoma, akaibadili, sasa ni RC Njombe ameibadili, tukiletewa Mtaka DSM, atatusaidia sana!.

Kwa wasiomjua Mtaka na track records yake Simiyu, karibu pande hizi

Kwa msiomjua Chala, alianza kushindwa wapi, karibu pande hizi.

Na mwisho, hii sio mara yangu ya kwanza kushauri mtu fulani awe na akawa, angalia hawa

Lakini kama bado Mtaka hajaikamilisha vision yake ya transformation ya Njombe, kweli sio vizuri kumhamisha mtu mwenye vision fulani kabla ya kuikamilisha vision yake, tumeona mifano kwa machinga complex ya Dar na lile soko la machinga Dodoma, then ni bora hata kuturudishia Konda Boy arudi Dar kuliko..!

Mnalionaje hili?.

Paskali.
Kwa kipi cha maana sana kafanya?
Wakulima wa Njombe ndio wanajua alikowapitisha.

Mahindi viazi mbao maparachichi nk lakini Njombe ipo kama wilaya tu! Kodi zote wanagawana kama peremende!

Acheni kupamba wasiopambika!

Ameshindwa kujenga barabara ya lami ya kuunganisha hospitali ya zamani na Tanesco ya uzunguni!
 
Hiyo haitatofautisha wabunge na Wakuu wa mikoa

Hawa wawe wanaomba kazi wanafanya interviews Kwa panels of experts na kuchujwa na kupewa contracts
Kuomba kazi = ni kutangaza nia ya kugombea na kugombea.

Kufanyiwa usaili = ni kuzunguka mkoa wote kuzinadi sera zako, kufanya mikutano na waandishi wa habari na kujibu maswali magumu, na kufanya midahalo na wagombea wenzio.

Kuna mataifa mengi tu ambapo magavana, mawaziri viongozi, na viongozi wa majimbo ambao huchaguliwa na wananchi na watu hutofautisha kati yao na wabunge.

Majirani zetu Kenya hufanya hivyo.

Watu kuamua nani awe kiongozi wao ni njia bora zaidi kuliko kuteuliwa na watu wachache.
 
Wanabodi

Hii ni opinion article
Mikoa haifanani, na uwezo wa ma RC haulingani!.

Kuna mikoa migumu na mikoa milaini milaini. Mikoa migumu ni ile mikoa yenye majiji, DSM, Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya, etc, na mikao milaini milaini milaini ni mikoa ambayo haina issues kabisa kama Kilimanjaro, Singida, Lindi, Mtwara etc.

Kwa vile wakuu wa mikoa hawafanani, na wanatofautiana uwezo, mikoa migumu, inawahitaji wakuu wa mikoa wenye uwezo fulani hivi, sio kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa wa DSM na akauwezea!.

Mfano mzuri wa kupima uwezo wa wakuu wa mikoa, ni uwezo wa kusimamia utoaji wa huduma muhimu kwa kufuata sera na miongozo, nikitolea mfano huduma za afya ya mama na mtoto, sera inasema huduma hizi ni bure.

Mkuu wa Mkoa wa DSM aliyepo sasa, hili ameshindwa kulisimamia, na matokeo yake amewasemea hovyo au kuwabwatukia wanawake na kina mama wa mkoa wa DSM RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Huku Mkuu wa mkoa mwenzake wa Mkoa wa Njombe, sikiliza anachoeleza kuhusu issue hii Njombe: RC Mataka: sitaki kusikia mtu ameambiwa gloves hazipo kwa mama mjamzito kwa kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure

Mifano hiyo miwili inathibitisha uwezo wa wakuu hawa.

Hivyo nashauri, DSM ni jiji gumu kuliko uwezo wa RC aliyepo!, DSM jiji linahitaji RC wa viwango vya juu zaidi ya huyu aliyepo, hivyo nashauri katika mabadiliko ya ma RC yatakayo fanyika, RC Antony Mtaka aletwe DSM awe RC DSM, huyu jamaa namfahamu sana toka akiwa RC Simiyu, ameibadili Simiyu, akawa RC Dodoma, akaibadili, sasa ni RC Njombe ameibadili, tukiletewa Mtaka DSM, atatusaidia sana!.

Kwa wasiomjua Mtaka na track records yake Simiyu, karibu pande hizi

View: https://youtu.be/bKobi1sGjQ4?si=wsAcsUHd0Hdy2q9j
View: https://youtu.be/-f10kAUh7ik?si=liAlRVmfHd-Z7mpS
View: https://youtu.be/Ed7c9aEw8-Y?si=iZli1TwkLnEabJpT

Kwa msiomjua Chala, alianza kushindwa wapi, karibu pande hizi This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Na mwisho, hii sio mara yangu ya kwanza kushauri mtu fulani awe na akawa, angalia hawa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam na Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Lakini kama bado Mtaka hajaikamilisha vision yake ya transformation ya Njombe, kweli sio vizuri kumhamisha mtu mwenye vision fulani kabla ya kuikamilisha vision yake, tumeona mifano kwa machinga complex ya Dar na lile soko la machinga Dodoma, then ni bora hata kuturudishia Konda Boy arudi Dar kuliko..!

Mnalionaje hili?.

Paskali.

ZOTE TAKATAKA, KULILA EMBILE OKUHARA
 
siku nilipogundua hana akili ni pale aliposema alimuua kibaka na kuanza kusheherekea! serius tunakuaje na nchi kiongozi ana jisifu hadharani kuua?? huu ujinga waafrica utawaisha lini??? Kwa kauli yake hio, iki kimkuu wa mkoa kingekua kipo jela sasa iv... kwa hakika damu ya kijana yule haitomuacha kuishi kwa raha mustarehe maisha yake yote... ile damu ni lazima inapiga kelele kwenye maisha yake yote huyu
 
Wanabodi

Hii ni opinion article
Mikoa haifanani, na uwezo wa ma RC haulingani!.

Kuna mikoa migumu na mikoa milaini milaini. Mikoa migumu ni ile mikoa yenye majiji, DSM, Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya, etc, na mikao milaini milaini milaini ni mikoa ambayo haina issues kabisa kama Kilimanjaro, Singida, Lindi, Mtwara etc.

Kwa vile wakuu wa mikoa hawafanani, na wanatofautiana uwezo, mikoa migumu, inawahitaji wakuu wa mikoa wenye uwezo fulani hivi, sio kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa wa DSM na akauwezea!.

Mfano mzuri wa kupima uwezo wa wakuu wa mikoa, ni uwezo wa kusimamia utoaji wa huduma muhimu kwa kufuata sera na miongozo, nikitolea mfano huduma za afya ya mama na mtoto, sera inasema huduma hizi ni bure.

Mkuu wa Mkoa wa DSM aliyepo sasa, hili ameshindwa kulisimamia, na matokeo yake amewasemea hovyo au kuwabwatukia wanawake na kina mama wa mkoa wa DSM RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

Huku Mkuu wa mkoa mwenzake wa Mkoa wa Njombe, sikiliza anachoeleza kuhusu issue hii Njombe: RC Mataka: sitaki kusikia mtu ameambiwa gloves hazipo kwa mama mjamzito kwa kuwa huduma ya mama na mtoto ni bure

Mifano hiyo miwili inathibitisha uwezo wa wakuu hawa.

Hivyo nashauri, DSM ni jiji gumu kuliko uwezo wa RC aliyepo!, DSM jiji linahitaji RC wa viwango vya juu zaidi ya huyu aliyepo, hivyo nashauri katika mabadiliko ya ma RC yatakayo fanyika, RC Antony Mtaka aletwe DSM awe RC DSM, huyu jamaa namfahamu sana toka akiwa RC Simiyu, ameibadili Simiyu, akawa RC Dodoma, akaibadili, sasa ni RC Njombe ameibadili, tukiletewa Mtaka DSM, atatusaidia sana!.

Kwa wasiomjua Mtaka na track records yake Simiyu, karibu pande hizi

View: https://youtu.be/bKobi1sGjQ4?si=wsAcsUHd0Hdy2q9j
View: https://youtu.be/-f10kAUh7ik?si=liAlRVmfHd-Z7mpS
View: https://youtu.be/Ed7c9aEw8-Y?si=iZli1TwkLnEabJpT

Kwa msiomjua Chala, alianza kushindwa wapi, karibu pande hizi This man is either a sadist or alimuua kibaka, akanywa bia kusherehekea?

Na mwisho, hii sio mara yangu ya kwanza kushauri mtu fulani awe na akawa, angalia hawa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam na Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Lakini kama bado Mtaka hajaikamilisha vision yake ya transformation ya Njombe, kweli sio vizuri kumhamisha mtu mwenye vision fulani kabla ya kuikamilisha vision yake, tumeona mifano kwa machinga complex ya Dar na lile soko la machinga Dodoma, then ni bora hata kuturudishia Konda Boy arudi Dar kuliko..!

Mnalionaje hili?.

Paskali.

Hawa jamaa sera yao ni "sipangiwi na mtu" mwisho wa kunukuu.
 
Back
Top Bottom