DSM ngumu, inahitaji RC wa viwango fulani. Nashauri Antony Mtaka aletwe hapa atatusaidia sana, vinginevyo bora hata Makonda arudi

DSM ngumu, inahitaji RC wa viwango fulani. Nashauri Antony Mtaka aletwe hapa atatusaidia sana, vinginevyo bora hata Makonda arudi

Mzee Pascal kwa uzoefu wako wa uandishi na mahojiano na viongozi huenda ni kweli, lakini nadhani viongozi hutofautiana mikakati na namna gani ya kuongoza ili mambo yaende sehemu fulani.

Mh Mtaka ni mzuri kwenye kuunda wazo na jambo likafanyika hasa sehemu yenye upungufu wa jambo husika mfano simiyu alivyo pandisha ufaulu wa shule, vivyo hivyo hufanya mikoa anayo enda, ni tofauti na mkoa wa dar es salaam maana kila kitu kimesha fanyika kutafuta gaps ili uje na jambo ni ngumu kutokana na mazingira yanahitaji mtu atakae pewa jambo na kulianza papo hapo pasipo kuweka mikakati ya muda mrefu.

Sasa akiletwa dar es salaam inaweza kuwa ni jambo jema japo kwa utendaji wake sio wa kukurupuka mkoa unaweza kupoa nadhani alie sasa hivi aelezwe na huenda wanamfahamu muenendo wake kwahiyo wanaweza mmudu

Ila kwa Antony Mtaka ni mzuri kutafuta gaps na kuliendeleza mpaka likawa jambo kubwa, aina hiyo ya watu wakikaa sehemu miaka 5 na wakapata support yote unaweza kutana na mambo tofauti kuliko ulivyo dhamiria maana ni mtu anae unda from roots to leaves.

kwa namna hiyo sehemu anazo ongoza anafiti zaidi kumleta kwenye kelele na majungu kunaweza tumuone hafai tena hata kama uongozi unatakiwa uwe dynamic

Vivyo hivyo kwa viongozi wacheshi na wakuongea wakute jambo then waliendeleze kwa maneno maana ndio siasa ila wengine ni watendaji maneno kidogo matendo kwa sana.
 
Hiyo haitatofautisha wabunge na Wakuu wa mikoa

Hawa wawe wanaomba kazi wanafanya interviews Kwa panels of experts na kuchujwa na kupewa contracts
Mkuu wa mkoa ni mwanasiasa hivyo katiba inapaswa kurekebishwa ili wachaguliwe na wananchi kwa kupigiwa kura!
 
Umeongea Point Kubwa Mkuu... Ila Hapo Shida Wala Sio Chalamila... Shida Aliyewateua Anajua Na Alijua Kabisa Uwezo wa Chalamila Ni Mdogo Sababu Alishaboronga Hapo Nyuma. Ila Kwa Kua Uongozi Wetu Ni Kujua Huyu Mtoto Ndugu Au Rafiki Wa Nani Ndio Unakula Shavu... Hapa tutamlaumu Mama!! Baada Ya Kujua Uwezo Wake Mdogo Siku Ya Kumuapisha Bado Alim'term Kama "Mwanangu" Kumaanisha Anambeba Tu..
Huyo Mama yeye uwezo wake ukoje?
 
Ila wewe Pascal nilijua una akili, labda pengine haupo kwenye hivyo vitengo.

Swala la hospital hilo analoliongelea Mtaka ni siasa tu, waulize watu wanaofanya kazi kwenye hizo hospital.
 
Binafsi naunga mkono hoja yako mkuu Pascal Mayalla lakini nadhani kosa kubwa lipo kwenye mamlaka ya uteuzi.

Haiwezekani kwa rekodi yake mbovu kiasi hiki aendelee kuwa RC?!

By the way kwa matendo yake na mwenendo wake mimi kama mtaalamu wa afya ya akili, makuzi na hulka za mwanandamu kwa kumuangalia Chalaboy kwa anayoyafanya na kuropoka ni SIO KOSA LAKE ABADANI.
NI KOSA LA KIMAUMBILE (DISORDER) hivyo tumuachie Mungu, ukitaka kugjndua hilo zingatia HEAD MORPHOLOGY yake.
 
Binafsi naunga mkono hoja yako mkuu Pascal Mayalla lakini nadhani kosa kubwa lipo kwenye mamlaka ya uteuzi.

Haiwezekani kwa rekodi yake mbovu kiasi hiki aendelee kuwa RC?!

By the way kwa matendo yake na mwenendo wake mimi kama mtaalamu wa afya ya akili, makuzi na hulka za mwanandamu kwa kumuangalia Chalaboy kwa anayoyafanya na kuropoka ni SIO KOSA LAKE ABADANI.
NI KOSA LA KIMAUMBILE (DISORDER) hivyo tumuachie Mungu, ukitaka kugjndua hilo zingatia HEAD MORPHOLOGY yake.
Hata wewe ungemteua tu hakuna namna, hapo unaweza kukuta ana wagaga 35 nyuma ake, mara nyingi wanateua siyo kwa akili zao mkuu.
 
Konda boy bado yupoyupo sana arusha mpaka atakapoamua kugombea ubunge arusha itataka RC mchangamfu mwingine dizaini yake. kuna wakuu wa wilaya wapo, ni wachangamfu wapandishwe u RC wapewe mikoa
 
Back
Top Bottom