Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Tangazo la biashara hili..Kuna barua mtandaoni inatembea ya kampuni ya Multichoice (DStv) kuhusu kutokuonyesha matangazo ya michuano ya Afcon mwaka huu ambayo itafanyika huko Ivory Coast baada ya kukosa haki za matangazo.View attachment 2861137
Kwa upande wa pili, AzamTv wametangaza kuonyesha mubashara mechi zote za Afcon yaani mwanzo mwisho.View attachment 2861138
Kongole sana kwa Azam TV hakika soka la Afrika mnalitendea haki.
sio kwamba DSTV ana mkataba wa kuonyesha EPL nchi za kusini mwa jangwa la Sahara?Tunataka EPL kurugenzii
Leseni ya Azam ni kurusha Tanzania tuKuna barua mtandaoni inatembea ya kampuni ya Multichoice (DStv) kuhusu kutokuonyesha matangazo ya michuano ya Afcon mwaka huu ambayo itafanyika huko Ivory Coast baada ya kukosa haki za matangazo.View attachment 2861137
Kwa upande wa pili, AzamTv wametangaza kuonyesha mubashara mechi zote za Afcon yaani mwanzo mwisho.View attachment 2861138
Kongole sana kwa Azam TV hakika soka la Afrika mnalitendea haki.
Ndiyo. Ni DSTV. Kabla ya hapo tulikuwa tunaangalia bure kabisa kwa kupitia ITV.sio kwamba DSTV ana mkataba wa kuonyesha EPL nchi za kusini mwa jangwa la Sahara?
Sidhani kama ni kweli DSTV wameandika hayo, hiyo barua imekaa kipropaganda kwa 100%.Kuna barua mtandaoni inatembea ya kampuni ya Multichoice (DStv) kuhusu kutokuonyesha matangazo ya michuano ya Afcon mwaka huu ambayo itafanyika huko Ivory Coast baada ya kukosa haki za matangazo.View attachment 2861137
Kwa upande wa pili, AzamTv wametangaza kuonyesha mubashara mechi zote za Afcon yaani mwanzo mwisho.View attachment 2861138
Kongole sana kwa Azam TV hakika soka la Afrika mnalitendea haki.
ITV haijawahi kuonesha bure EPL ni Uefa. DTV then (sasa Chanel Ten) iliwahi kuonesha baadhi ya mechiNdiyo. Ni DSTV. Kabla ya hapo tulikuwa tunaangalia bure kabisa kwa kupitia ITV.
hao sio wakuwaamini kuna kipindi cha nyuma walitangaza watarusha game zote za world cup mubashara lakini kichotokea ni aibu tupu!Hata TBC wamepewa hàki za mechi zote
Televisheni za Taifa zimepewa hiyo hakihao sio wakuwaamini kuna kipindi cha nyuma walitangaza watarusha game zote za world cup mubashara lakini kichotokea ni aibu tupu!
G Sports walikuwa miamba Sana.Dstv wanaanza kupitia kipindi walichopitia enzi za G Sport
I see! Ina maana nimechanganya madawa? Nakumbuka miaka hiyo nilikuwa naangalia sana kina Michael Owen na enzi za kocha Wenger wakati Arsenal inacheza kama mashine. Ilikuwa ni DTV kumbe! Labda kumbukumbu yangu ni mbaya, lakini nakumbuka kuangalia kwenye channel ya ITV, mashindano yote, i.e. PL na UEFA.ITV haijawahi kuonesha bure EPL ni Uefa. DTV then (sasa Chanel Ten) iliwahi kuonesha baadhi ya mechi