DStv hawataonesha michuano ya AFCON mwaka huu, Azam Tv atangaza kurusha mechi zote

DStv hawataonesha michuano ya AFCON mwaka huu, Azam Tv atangaza kurusha mechi zote

Azam wanajitahidi kuonesha matangazo ya mpira lakini wanazingua kwenye baadhi ya mambo, wanapeleka kamera chache viwanjani, kama mtu unafuatilia matangazo ya mpira Mapinduzi Cup utakuwa umeshapata kero hii, kuna upande mpira ukiwa unachezwa unaona vivuli tu, hakuna raha ya kuangalia unatamani mpira uwe unachezwa upande mmoja ili uone.... wajirekebishe .
Hii ni tofauti,kwa AFCON jukumu lao ni kurusha tu,inshu za camera,replay ni kazi ya CAF .

Kama ilivyo EPL,ambapo wengi huhisi ni dstv ndo wana camera nzuri,kumbe sio,ni kampuni separate imepewa iyo kazi
 
Uko sahihi .
Dstv walionesha epl yote bure...mechi zote.. halafu itv na wao wakapigania wakaja onesha mechi zote za EPL buree kabisa.
Wanaobisha ni wale miaka hiyo hawakuwa na TV...
Wengi walianza nunua TV baada ya itv kuonesha mipira...wakati TV ya kwanza kuonesha afcon nchini ni CTN... January 1994 Rashid Yekini akawa mfungaji Bora hapo itv haipo... ITV ikaibuka June 1994 wakalazimisha Sana waoneshe world cup hadi Mengi akaja kudai wahindi wamemtishia maisha ...akimaanisha CTN na Dtv ..😀those were the days
Kumbukumbu yako ni nzuri. Umenifanya nikumbuke sasa. Na hata hii ya Mengi kugombana na wahindi nimeikumbuka. Ni kweli wengi hawajui na wanajitia ujuaji. Halafu kuna waliokuja kuzaliwa baadae nao wanaingia kwenye mkondo wa ubishani.
 
Sisi wa star times je tutaona hii michuano. Maana sijalipia king'amuzi nasubiri Hadi siku zikaribie ndio nilipie.
 
I see! Ina maana nimechanganya madawa? Nakumbuka miaka hiyo nilikuwa naangalia sana kina Michael Owen na enzi za kocha Wenger wakati Arsenal inacheza kama mashine. Ilikuwa ni DTV kumbe! Labda kumbukumbu yangu ni mbaya, lakini nakumbuka kuangalia kwenye channel ya ITV, mashindano yote, i.e. PL na UEFA.
Upo sahihi mkuu.
 
hatimae !


20240111_133713.jpg
 
AZAM hapana aise kwa hizo sinema zao za makambako na mpwapwa uje ulinganishe Na DSTV yenye game za EPL na WWE ata wasipo onesha hiyo michuano bado DSTV yupo mbali sana kwa ubora wa picha na Uzuri wa Vipindi chukua LED TV connect na AZAM afu Chukua LED TV connect na DSTV quality ya picha utakayo pata kwa AZAM na DSTV ni vitu viwili tofauti wakati TV ni ile ile au Chukua 4K Tv connect na DSTV uweone matusi ya DSTV kwenye quality kwa Africa hii Canal sport na DSTV ndio kampuni bora za kurusha matangazo ya Television kwenye kila kitu ni vile waafrica tumezoea kutazama mavitu ya ajabu
 
AZAM hapana aise kwa hizo sinema zao za makambako na mpwapwa uje ulinganishe Na DSTV yenye game za EPL na WWE ata wasipo onesha hiyo michuano bado DSTV yupo mbali sana kwa ubora wa picha na Uzuri wa Vipindi chukua LED TV connect na AZAM afu Chukua LED TV connect na DSTV quality ya picha utakayo pata kwa AZAM na DSTV ni vitu viwili tofauti wakati TV ni ile ile au Chukua 4K Tv connect na DSTV uweone matusi ya DSTV kwenye quality kwa Africa hii Canal sport na DSTV ndio kampuni bora za kurusha matangazo ya Television kwenye kila kitu ni vile waafrica tumezoea kutazama mavitu ya ajabu
unachanganya vitu mkuu,
supersport (sio dstv) hizi games za epl, afcon, ucl hata wwe yeye huwa anapewa link ya kuchukulia hayo matangazo!

suala la camera sio lake, kwaio mambo ya quality za picha sio jukumu lake,..... ni kampuni tofauti inayorecord games!

ndio maana peter durry? alikua anasikika kwenye channel za english za epl, yule alikua mali ya epl sio ya supersport, same goes to michuano iliyochini ya uefa na caf...
 
unachanganya vitu mkuu,
supersport (sio dstv) hizi games za epl, afcon, ucl hata wwe yeye huwa anapewa link ya kuchukulia hayo matangazo!

suala la camera sio lake, kwaio mambo ya quality za picha sio jukumu lake,..... ni kampuni tofauti inayorecord games!

ndio maana peter durry? alikua anasikika kwenye channel za english za epl, yule alikua mali ya epl sio ya supersport, same goes to michuano iliyochini ya uefa na caf...
EPL au UEFA wanarekodi kwa kutumia vifaa vya kisasa kwahiyo picha inakuwa na quality nzuri zaidi. Sasa linakuja swala la haya makampuni kama DSTV na AZAM, yeye kama ana mitambo mibovu lazima picha ya 1080p au zaidi, kwako itakuja kama picha za CAM.
 
Back
Top Bottom