BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Mkuu utakuwa unatumia tv ya star x LED na king'amuzi cha startimes cha antena kile kisicho na port ya hdmiYaan TBC na quality Ile kama tv za mbao miaka ya 80 ' waachane kabisa na afcon wao waonyeshe ziara za mama tu Mpira chakwanza ni quality HD ya maana. Kama ni kweli DStv kazingua asee