DStv hawataonesha michuano ya AFCON mwaka huu, Azam Tv atangaza kurusha mechi zote

DStv hawataonesha michuano ya AFCON mwaka huu, Azam Tv atangaza kurusha mechi zote

unachanganya vitu mkuu,
supersport (sio dstv) hizi games za epl, afcon, ucl hata wwe yeye huwa anapewa link ya kuchukulia hayo matangazo!

suala la camera sio lake, kwaio mambo ya quality za picha sio jukumu lake,..... ni kampuni tofauti inayorecord games!

ndio maana peter durry? alikua anasikika kwenye channel za english za epl, yule alikua mali ya epl sio ya supersport, same goes to michuano iliyochini ya uefa na caf...
Kama sikosei Super sport ni channel za DSTV wenyewe kama ilivyo kwenye AZAM na channel za AZAM Sport afu wakati nazungumzia quality nazani wew hujanielewa namanisha kitu gani namanisha satellite Ndio maana nikakupa mfano wa TV ya 4K ukitumia kwenye Dish ya AZAM na DSTV quality utakazo pata ni tofauti wakati TV ni hiyo hiyo unaweza ukachuka video kwa Camera kubwa ila kama satellite zako ni low quality ni kazi bure kwa kukuongezea satellite nazo zinaquality kama zilivyo TV kuna satellite za quality hadi ya 4K na pia kitu mojawapo kinachochangia ubora wa picha kwenye kurusha matangazo ni satellite tena kwa kiwango kikubwa sana usizani hao wasafi kila siku wanatapata ni sababu ya camera sababu kubwa ni satellite
 
I see! Ina maana nimechanganya madawa? Nakumbuka miaka hiyo nilikuwa naangalia sana kina Michael Owen na enzi za kocha Wenger wakati Arsenal inacheza kama mashine. Ilikuwa ni DTV kumbe! Labda kumbukumbu yangu ni mbaya, lakini nakumbuka kuangalia kwenye channel ya ITV, mashindano yote, i.e. PL na UEFA.
ITV walikuwa wanaonesha UEFA CL wakipokea matangazo yao kutoka +CANAL FRANCE enzi hi hizo za Bure. Nakumbuka kipindi hiko Olympic Lyon ndio ilikuwa ya moto kweli.

DTV (waliokuja kuwa channel ten) ndio walikuwa wanaonesha EPL miaka ya 1995_1996... Na ndio kipindi mchambuzi Nguli Riki Abdallah alipoanza kuonekana akifanya uchambuzi.
 
Kama wanaweza wawe na channel mbili. Moja ndio iweje hao watangazaji wao wa kiswahili wanaoonfea ongea kila aina ya utumbo, na nyingine ya Kiingereza kama wanavyoyapokea matangazo toka huko wanakoyachukua.
 
ITV walikuwa wanaonesha UEFA CL wakipokea matangazo yao kutoka +CANAL FRANCE enzi hi hizo za Bure. Nakumbuka kipindi hiko Olympic Lyon ndio ilikuwa ya moto kweli.

DTV (waliokuja kuwa channel ten) ndio walikuwa wanaonesha EPL miaka ya 1995_1996... Na ndio kipindi mchambuzi Nguli Riki Abdallah alipoanza kuonekana akifanya uchambuzi.
Upo sawa. Lakini katika peruzi peruzi zangu nimekuja kukutana na wataalam wakanimbia hata ITV walionyesha ligi ya Uingereza kipindi fulani. Na mimi nakubaliana nao kwa sababu nakumbuka sana kuangalia kina Michael Owen kupitia ITV.
 
ITV haijawahi kuonesha bure EPL ni Uefa. DTV then (sasa Chanel Ten) iliwahi kuonesha baadhi ya mechi
ITV umewahi kuonesha ligi kuu ya England (Barclays) kuanzia mwaka 1995, 1996, 1997, 1998 na hata UEFA. UEFA ilikuwa inaoneshwa kupitia matangazo ya CANAL FRANCE INTERNATIONAL. Tulikuwa tunatazama BURE, mchawi antenna tu ya ndani na nje
 
ITV umewahi kuonesha ligi kuu ya England (Barclays) kuanzia mwaka 1995, 1996, 1997, 1998 na hata UEFA. UEFA ilikuwa inaoneshwa kupitia matangazo ya CANAL FRANCE INTERNATIONAL. Tulikuwa tunatazama BURE, mchawi antenna tu ya ndani na nje
Kwa Uefa sawa ila EPL unatupanga
 
Back
Top Bottom