DStv hawataonesha michuano ya AFCON mwaka huu, Azam Tv atangaza kurusha mechi zote

Ni Uefa. EPL ni DTV ndo alikoibukia Dr Leaky
 
zimepewa na nani nazimepewa bure?
Kwa kawaida Shirikisho la Soka la Ukanda husika linapewa maelekezo na Fifa kwenye mashidano ya Dunia na Bara kuzungumza na kampuni iliyopewa hàki ya matangazo kuzipa baadhi ya mechi bure au kwa malipo kiduchu TV za Taifa.
Sababu ni sehemu ya kuukuza mchezo huo ili ufikiwa na watu wote duniani na pia kuupromoti zaidi.
 
Ni Uefa. EPL ni DTV ndo alikoibukia Dr Leaky
Nimepekuwa na nikapata thread hii. Inaonyesha ITV nao walionyesha. DTV itakuwa walikuwa wanaonyesha baadhi ya mechi tu?. Ila sina uhakika na hapa nako kuna ubishi...
 
Tbc wataonesha hiyo michuano, hivyo bado mtu wa DSTV ataweza kuona kupitia hiyo na channel zingine za FTA
 
ITV haijawahi kuonesha bure EPL ni Uefa. DTV then (sasa Chanel Ten) iliwahi kuonesha baadhi ya mechi
Channel 10 walitisha sana tulikuwa tunaangalia UEFA champions league bwerere tena mechi zote, kuhusu ITV nakumbuka kombe la dunia 2002 yaliyofata sikumbuki sana maana vibe la vibanda umiza lilikuja kuangalia mpira sebuleni ikawa michosho
 
Wewe utakuwa unasema FA Cup
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…