muvangulumemile
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 686
- 966
Brother Kwa hiyo unachopenda wewe unataka dunia nzima tupende?Azam quality ya picha itatuhamisha DStv naona kuna low quality picture,DStv Wana HD,pia azamu Wana mavipindi ya hovyo nje ya mpira,DStv Wana documentary za utafiti baharini,upishi 175 na 174 hii na zile animal channels na TNT movie na multchoice movie zote na African magic zote,Azam wakaze boot,quality is a number one factor.
Haijaanza leo nina miaka zaidi y mitano nalipiaga kila nikifanya muamal mkubwa wa fedha kiasi kinachobaki kama kinazidi jero hua nalipia dstvMzee acha uongo hiyo option unaipata wap maana wote tuna DStv au Yako ni special kuhusu Azam tunaopenda mpira wa bongo tunalipia na kufaid burudan
Why canal a afford kulipia bei kubwa alafu package yake ya epl iwe cheaper?Hilo la kupunguza vifurushi haliwezekani mkuu kumbuka leseni ya kuonyesha EPL wanalipia zaidi ya USD Mil 900$ kwa mwaka sasa unadhani hizo hela za kulipa watatoa wapi?...
Tena unaambiwa Premier League Production wameipunguzia sana DSTV gharama za Kurusha ligi yao wangeweka bei sawa na vituo vingine huko Duniani Kama Sky Sports, Bein Sports Canal Sports nk labda ni asilimia 1% tu ya waafrika wangemudu kulipia DSTV
Ndio ni yule yule tu kwenye avatar picha yako lakini ile ya mwanzo tuliizoea sana. Ja rule!Voda mi nilisajili Router ya 5G ni unyama sana speed ya 50Mbps. Kwa kuanza unalipa deposit ya 300,000 kisha unafunguliwa data mwezi mzima. Upon renewal unalipia laki na nusu kila mwezi kwa muendelezo. Ila nzuri sana hata kwa wale wenye ma smart TVs zinaweza kuwa na uhai kupitia hizo routers.
Hahahah huyo mnyamwezi sana, ile picha nimeichoka nimeamua badili.Ndio ni yule yule tu kwenye avatar picha yako lakini ile ya mwanzo tuliizoea sana. Ja rule!
View attachment 2865084
Mimi naona ilikuwa poa sana. Huko nayo tangu mwanzo. Ila tutazoea tuHahahah huyo mnyamwezi sana, ile picha nimeichoka nimeamua badili.
Kwa kweli DSTV imebakia ya wamama kuangalja Huba tu. AZAM inaoneyesha michezo mingi. Na hivi hawaoneshi AFCON wanaendelea kujipoteza.Wafanye Compact 40,000/- waone wateja watavyoongezeka.
Mimi nilikuwa nalipia Shangwe 34000/- walivyopandisha 37000/- huku hawaonyeshi CAF SUPER LEAGUE WALA CAF CHAMPIONS LEAGUE, nikawana matapeli tu. Sasa nalipa 24000/- ili wife aangalie HUBA nami LA LIGA tu.
Kwanza Arsenal inavyofungwa hata hamu ya EPL sina
Ni suala la muda tu. Au sio?Utahama tu au utaachana nayo
Ova
Hiyo ya pili imekaaje Mkuu?Jibu ni moja tu.
- Ujio wa Smart TVs
- Watu kuwa na uelewa kuhusu FTA na IPTV. (Huko nibure kuanzia mpira mechizote hadi muvi, bure daima hadi kifo).
Decoder zote wanatakiwa kuendana na technology changes,sasa hivi internet inachukua kasi mno wasipoendana na streaming plus kupunguza bei ya visimbuzi watajimbiwa wengi sn,Azam kinachombeba ni local channelsHata Azam litawakuta jambo sio muda
Wako pamoja, wote wako chini ya multichoice.. GOtv alikuja kuchukua wateja wasioweza kulipia vifurushi vya bei ghali za DStv kwani ana vifurushi vya bei nafuu lakini pia alikuwa anatumia mfumo wa antenna badala ya dish kama Azam na huduma yake mpya ya ving'amuzi vya antenna..Shida hapa kati walipandisha vifurushi.... Alafu ukicheza mtu anapati huduma nzuri tu Azam
Sikujua kuwa GoTV iko chini ya DSTV
Star times ndio analijulia soko la Tanzania na Afrika vizuriKampuni ya Multichoice inayomiliki visimbuzi maarufu vya DSTV imelamba hasara ya Tshs bilioni 122 kwa miezi sita iliyoishia Septemba mwaka jana sababu kuu ikiwa kupungua kwa wateja wake huku Afrika kusini pekee ikipoteza wateja zaidi ya laki nne.
Multichoice imedai kutekeleza malengo yake yote iliyoyapanga lakini mazingira inayofanyia kazi yametawaliwa na kukatika katika kwa umeme, presha kwenye gharama za kuishi na kushuka kwa thamani ya pesa katika nchi walizopo dhidi ya dola.
Mwaka huu channel maarufu ya michezo ya supersport itashindwa kuonesha michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza January 13 nchini Ivory Coast. Mwezi uliopita shirikisho la mpira wa miguu Afrika liliingia mkataba wa haki za matangazo kwa miaka miwili na kampuni kutoka nchini Togo ya New World TV iliyoanzishwa mwaka 2015.
Ni mwanzo wa mwisho wa utawala wa DSTV kusini mwa Afrika? Bado Multichoice ni moja ya nguli wa kurusha matangazo barani Afrika huku kampuni zake mbili za DSTV na GoTV zikiwa na visimbusi milioni 23 vilivyo hai kwenye nchi 50 barani Afrika.
Hakuna cha kukwepa kodi, wengi siku hizi DStv hawatumii na mechi wanacheki kwa gharama nafuu mfano UEFA au epl unakuta mtu mwaka hata 40,000 haiishiHizo story huja watu wanapokuwa wameshatengeneza njia za kukwepa kodi
Pia kuna ving'amuzi nafuuMimi nimelitupa li dstv bei kubwa vifurushi vyaosio hic
ho tuWana ZUKU Fiber na wengine TTCL so ni mwendo wa Streaming. Tu
Kweli kabisa,ila kuna kitu kimoja hujakijuaDStv wamefunga huduma nchini Malawi.
Streaming zinaimaliza DStv kimya kimya, jumlisha uwepo wa makampuni mengine kama AzamTv
Ila DStv bado inabaki kuwa na utamu wake!!
Dstv kwa wengine sisi sio next levelTafuteni pesa mazee acheni kulalama, huwezi kujiliwaza eti kuhama DSTV kwenda Azam, pamoja na changamoto zote zinazosemwa DSTV ni next level. Pesa yako
Mfano pia wengine wanatumia canalLast week wamenipigia simu wanauliza vipi mbona hutazami runinga? Nikawauliza umejuaje? Wakasema vipimo huku vinaonesha, nikasema kwani lazima nitazame runinga yako hamna zingine? Wakasema basi kama una changamoto tuambie tuzitatue, nikasema huku ninakopata huduma ni mtelezo hamna shida, wakasema kwanini hutazami DSTV? Nikawaambia mmetunyonya vya kutosha nikakata simu