The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Yah right. Bado nakumbuka ule uzi wako wa kinafiki kuhusu JPM. Nitautafuta nikutag, Mnafiki mkubwa wewe.Mfate alipo kama unam miss kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah right. Bado nakumbuka ule uzi wako wa kinafiki kuhusu JPM. Nitautafuta nikutag, Mnafiki mkubwa wewe.Mfate alipo kama unam miss kweli.
Ujinga wetu unaanzia hapo hapo pa unafiki mwingi katika kila jambo.Dua yoyote kwenye shuguli za kuserikali ni unafki tu iwe ya kikristo au kislam. Hata wale wanao hapa huku wameshikilia biblia na wengine quran, ni unafki tu
Ova
Akili zao zinawatuma kudhani wanaweza hata kumhadaa Mungu, kama wanavyowalaghai raia wao!Ni vingapi vimeombewa dua na sasa vipo juu ya mawe dhoofu kabisa...
Mungu huwa hafungamani na walio wachafu, wala rushwa, wanaotesa watu wake n.k
Black Widow........ Ushabiki fake wa JPM. Usijifanye huelewi. Unaelewa sana tu.Wewe hata sikuelewi unaandika nini, naona unabwabwaja na kuhororoja bila mpango, mara hiki mara kile. Papai nini?