Maaskofu wamesema waliitwa pale bila kuambiwa wanaitiwa nini, pia bado msimamo wao ni kuwa hawaungi mkono ubinafsishwaji wa bandari hadi wausome mkataba uliosainiwa juziMaaskofu wameonesha ngozi yao kamili, chui ndani ya ngozi ya kondoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maaskofu wamesema waliitwa pale bila kuambiwa wanaitiwa nini, pia bado msimamo wao ni kuwa hawaungi mkono ubinafsishwaji wa bandari hadi wausome mkataba uliosainiwa juziMaaskofu wameonesha ngozi yao kamili, chui ndani ya ngozi ya kondoo.
EWameumizwa sana biashra zao.Huyo ndiye mzalendo wa kweli.
Kazi za shetani waachiwe mashetani na majini wakomae na msala wao.
Yangu macho!! Tutakapolizwa tutatafutana humu na wengine huenda wakabadilisha hata ID zao. Kumbuka hata kwenye madini enzi zileee ilikuwa vivyo hivyo leo tunakamuliwa badala ya kukamua.DP World siyo kuendeleza bandari tu, ni kichocheo cha ustawi wa uchumi wa Tanzania - Sultan CEO wa DP World.
Hawaungi mkono chochote chema kinachofanywa na Mwarabu na Muislam. Wakiunga mkono Waarabu na Waislam Itakuwa wameenda kinyume na ujio wa kanisa Afrika.Maaskofu wamesema waliitwa pale bila kuambiwa wanaitiwa nini, pia bado msimamo wao ni kuwa hawaungi mkono ubinafsishwaji wa bandari hadi wausome mkataba uliosainiwa juzi
Usiwe na mawazo hasi kwa kujazwa ujinga tu. DP World hawapo Tanzania tu na hawataishia Tanzania tu.Yangu macho!! Tutakapolizwa tutatafutana humu na wengine huenda wakabadilisha hata ID zao. Kumbuka hata kwenye madini enzi zileee ilikuwa vivyo hivyo leo tunakamuliwa badala ya kukamua.
sikupenda aliposema waliokuwa wanapinga tuko nao hapa na badaye tutakula nao ubwabwa, sikupenda kabisa, ila kwa nn nao wakaenda? si wangetoa udhuru tu.Hana Hekima wala Busara
Usiwe na mawazo hasi kwa kujazwa ujinga tu. DP World hawapo Tanzania tu na hawataishia Tanzania tu.
Ziwahi fursa wanazokuja nazo. Kama huelewi vipi, uliza tukufahamishe.
Wapi wewe...hata sasa PANYA YUPO GHALANIEWameumizwa sana biashra zao.
Unafahamu toka mama alipofumuwa kule bandarini biasgara ya "polomosheni" za kutembezwa imeisha?
Dah tulikuwa tunapitishiwa macaroni (makoronya) orijino kwa bei ya kutupwa, mpaka nikawauliza wale wanayaiba wapi, wakanambia hawayaibi, mmoja akafunguka, kuna mzee wa kanisa anawapa watembeze, wapo wengi sana na wanapewa bidhaa tofauti tofauti kila siku.
Wataacha kununa na kususa?
DShetani hajifichi.
Kama ilivyo desturi na kawaida ya shughuli zetu zote Watanzania, iwe za Kiserikali au hata za majumbani mwetu, huwa tunaanza kwa dua.
Jana 22/10/2023 kama kawaida, ya shughuli ya Kitaifa ya kusaini mikataba mikubwa ya uendeshwaji bandari yetu ya Dar, dua zilisomwa na askofu wa Liberatus wa TEC na Sheikh Zuberi wa Bakwata.
Cha kushngaza, Sheikh Zuberi moja kwa moja alianza dua na kuombea kilichowakutanisha pale, utiaji saini mikataba ya bandari.
Kwa upande wa Askofu Liberatus, ingawa yeye ndiye alipewa jukumu la kufunguwa dua hizo, lakini hakuombea kabisa kilichowakutanisha jana na wala hakuitaja kabisa hata bandari kwenye "Dua" zake.
Huo siyo unafiki wa hali ya juu jamani? Kama azma yao ya kuupinga mkataba haijafanikiwa chuki za nini mpaka kufikia kutokuombea dua Bandari yetu?
Ushahidi huu hapa, dua zinaanza dakika ya 9:
View: https://www.youtube.com/live/MZRDcSJb16g?si=TGeB65IGaoxJ7t4D
Hivi sheikh ukipewa mabomu ukalipue Vatican city si unaenda haraka kufanya hiyo kazi ya allah.KAMA WAMEUMIA WAHAMIE VATICAN,SASA WAO KWA AKILI YAO WAKITAKA MIKATABA YA KUENDELEZA BANDARI TUINGIE NA NANI,TUINGIE NA PAPA??KWANZA NANI KAWAAMBIA ITALY KUNA HELA??
ZAIDI ZAIDI KULE NI WAUZA UNGA TUH KULE SICILY,TUWAPE WAO BANDARI KISHA WAIGEUZE LANGO LA KUPITISHA MISALABA NA DRUGS??NO WAY ...
Hivi sheikh ukipewa mabomu ukalipue Vatican city si unaenda haraka kufanya hiyo kazi ya allah.
sasa mbona umeanzisha uzi kuwalalamikia huku ukiwaita wanafki, wana ngozi ya kondoo😂😆🤣😁😄Mimi nimefurahi sana na wamefanyuiwa makusudi wavuliwe koti la ukondoo wanaojivika.
Iniume tea, na mipango imesukwa ikasukika?
poa Faiza 🤝🙏Si naionesha dunia unafiki wao? Hata wewe huoni umekuja kuushuhudia. Ungejuwaje?
Kama ilivyo desturi na kawaida ya shughuli zetu zote Watanzania, iwe za Kiserikali au hata za majumbani mwetu, huwa tunaanza kwa dua.
Jana 22/10/2023 kama kawaida, ya shughuli ya Kitaifa ya kusaini mikataba mikubwa ya uendeshwaji bandari yetu ya Dar, dua zilisomwa na askofu wa Liberatus wa TEC na Sheikh Zuberi wa Bakwata.
Cha kushngaza, Sheikh Zuberi moja kwa moja alianza dua na kuombea kilichowakutanisha pale, utiaji saini mikataba ya bandari.
Kwa upande wa Askofu Liberatus, ingawa yeye ndiye alipewa jukumu la kufunguwa dua hizo, lakini hakuombea kabisa kilichowakutanisha jana na wala hakuitaja kabisa hata bandari kwenye "Dua" zake.
Huo siyo unafiki wa hali ya juu jamani? Kama azma yao ya kuupinga mkataba haijafanikiwa chuki za nini mpaka kufikia kutokuombea dua Bandari yetu?
Ushahidi huu hapa, dua zinaanza dakika ya 9:
View: https://www.youtube.com/live/MZRDcSJb16g?si=TGeB65IGaoxJ7t4D
Unafikiri pale waliitwa kulikuwa na nini kinaendelea? Wakae wajambe jambe tu?Tangu lini bandari inaombewa Dua.? Halafu ni Dua ya nini.... Isipigwe na tsunami? Anyway, Wakristo hawanaga Dua.
Pia umesikia kuwa hawakuambiwa wamekaribishwa kwa jambo gani. Walidanganywa ili Wapigaji wafanikishe jambo lao. Sasa kama ulitaka waombee wizi, dhuruma na hadaa.... Imekula kwenu.
Hivyo ni vijembe, amewalaghai viongozi wa TEC halafu anamtuma huyo Zezeta awapige Vijembe.sikupenda aliposema waliokuwa wanapinga tuko nao hapa na badaye tutakula nao ubwabwa, sikupenda kabisa, ila kwa nn nao wakaenda? si wangetoa udhuru tu.