Dua za kuombea utiaji saini mkataba wa Bandari zina unafiki mkubwa

Dua za kuombea utiaji saini mkataba wa Bandari zina unafiki mkubwa

Acha udin ipo siku utapewa bom akajilipue na utakubali.........
Kumbuka hata uo uislam ulianzishwaa na maskofuuu........
 
Kama ilivyo desturi na kawaida ya shughuli zetu zote Watanzania, iwe za Kiserikali au hata za majumbani mwetu, huwa tunaanza kwa dua.

Jana 22/10/2023 kama kawaida, ya shughuli ya Kitaifa ya kusaini mikataba mikubwa ya uendeshwaji bandari yetu ya Dar, dua zilisomwa na askofu wa Liberatus wa TEC na Sheikh Zuberi wa Bakwata.

Cha kushngaza. Sheikh Zuberi moja kwa moja alianza dua na kuombea kilichowakutanisha pale, utiaji saini mikataba ya bandari.

Kwa upande wa askofu Liberatus, ingawa yeye ndiye alipewa jukumu la kufunguwa dua hizo, lakini hakuombea kabisa kilichowakutanisha jana na wala hakuitaja kabisa hata bandari kwenye "dua" zake.

Huo siyo unafiki wa hali ya juu jamani? Kama azma yao ya kuupinga mkataba haijafanikiwa chuki za nini mpaka kufikia kutokuombea dua Bandari yetu?

Ushahidi huu hapa, dua zinaanza dakika ya 9:


View: https://www.youtube.com/live/MZRDcSJb16g?si=TGeB65IGaoxJ7t4D

BAKWATA, TEC,CCM na serikali ni kitu kimoja.Kama alishaombea Sheikh Zuberi inatosha!
Juzi kati Mama alipita Tabora pale na akapokewa vizuri na Cardinal Rugambwa alafu baadaye kidogo tukatangaziwa mkataba kusainiwa;waache hao wanajuana!
 
Wameshindwa hata kutaja neno "bandari"?

Wale ni zaidi ya nyoka.

Na jana imewauma sana, huku Kikwete, Kula Mama Samia, pale Sultan, kule Mbarawa.

Khatr kubwa.
Safi sana Bandari yetu wacha wawekeze tupate pesa.
 
Kama ilivyo desturi na kawaida ya shughuli zetu zote Watanzania, iwe za Kiserikali au hata za majumbani mwetu, huwa tunaanza kwa dua.

Jana 22/10/2023 kama kawaida, ya shughuli ya Kitaifa ya kusaini mikataba mikubwa ya uendeshwaji bandari yetu ya Dar, dua zilisomwa na askofu wa Liberatus wa TEC na Sheikh Zuberi wa Bakwata.

Cha kushngaza. Sheikh Zuberi moja kwa moja alianza dua na kuombea kilichowakutanisha pale, utiaji saini mikataba ya bandari.

Kwa upande wa askofu Liberatus, ingawa yeye ndiye alipewa jukumu la kufunguwa dua hizo, lakini hakuombea kabisa kilichowakutanisha jana na wala hakuitaja kabisa hata bandari kwenye "dua" zake.

Huo siyo unafiki wa hali ya juu jamani? Kama azma yao ya kuupinga mkataba haijafanikiwa chuki za nini mpaka kufikia kutokuombea dua Bandari yetu?

Ushahidi huu hapa, dua zinaanza dakika ya 9:


View: https://www.youtube.com/live/MZRDcSJb16g?si=TGeB65IGaoxJ7t4D

KamlalamikieMungu maana unakuja kwetu na sisi tukusaisiaje sasa
 
Na kukuza dini pia.
Hamna kitu kama hicho ni upotoshaji tu mtu yupo kwenye investment na dini wapi na wapi tatizo watu mkiona muarabu ndio mnaona ni uislamu , waswahili wanasema sio kila mzungu padri
 
Hilo ni wazi kabisa, msukule wao Slaa kishalitangaza.


Ndugu yangu hawa maaskofu wameumizwa na bandar kuboreshwa mifumo yake.

EWao ndiyo wanufaika wa kwanza kwa mifumo mibovu pale bandarini, na zaidi wametumia joho la dini kufanya ufisadi mkubwa sana pale bandarini kwa miaka mingi sana.

Ushahidi wa kwanza, unaona sasa hivi vitu vya "promosheni" vilivyokuwa vinasambazwa nchi nzima kwa bei za kutupa?

Always when you speak,i pay my whole attention to listen and learn,

Thats just because wewe ni mtu usiependa KUSEMA UONGO NA DHULMA,NA DAWA YA DHULMA NI KUISEMA NA KUIKATAA WAZI WAZI KAMA HIVI,NI UKWELI ULIO WAZI KABISA KUWA TEC WAMEKUWA USELESS EATERS OF THIS COUNTRY FOR SOME MANY MANY YEARS,KWANGU MIMI NAWAONA KAMA NI WAKOLONI WEUSI TUH,TUNAISHI NAO KWA KUWA HAKUNA JINSI.

ENDELEA KUPIGA SPANA.
 
Kama ilivyo desturi na kawaida ya shughuli zetu zote Watanzania, iwe za Kiserikali au hata za majumbani mwetu, huwa tunaanza kwa dua.

Jana 22/10/2023 kama kawaida, ya shughuli ya Kitaifa ya kusaini mikataba mikubwa ya uendeshwaji bandari yetu ya Dar, dua zilisomwa na askofu wa Liberatus wa TEC na Sheikh Zuberi wa Bakwata.

Cha kushngaza, Sheikh Zuberi moja kwa moja alianza dua na kuombea kilichowakutanisha pale, utiaji saini mikataba ya bandari.

Kwa upande wa Askofu Liberatus, ingawa yeye ndiye alipewa jukumu la kufunguwa dua hizo, lakini hakuombea kabisa kilichowakutanisha jana na wala hakuitaja kabisa hata bandari kwenye "Dua" zake.

Huo siyo unafiki wa hali ya juu jamani? Kama azma yao ya kuupinga mkataba haijafanikiwa chuki za nini mpaka kufikia kutokuombea dua Bandari yetu?

Ushahidi huu hapa, dua zinaanza dakika ya 9:


View: https://www.youtube.com/live/MZRDcSJb16g?si=TGeB65IGaoxJ7t4D

Mnafiki MKUBWA na mshirikina ni wewe unayetaka kuelekeza mtu aliyeamua kuongea na Muumba eti aombee nini na namna gani.
Ni unafiki MKUBWA ndiyo kuelekeza watumishi wa Mungu kufanya ushirikina!!
 
Mnafiki MKUBWA na mshirikina ni wewe unayetaka kuelekeza mtu aliyeamua kuongea na Muumba eti aombee nini na namna gani.
Ni unafiki MKUBWA ndiyo kuelekeza watumishi wa Mungu kufanya ushirikina!!
Usikurupuke, msikilize askofu msikilize na Sheikh, utauona unafik uko wapi.
 
Wameshindwa hata kutaja neno "bandari"?

Wale ni zaidi ya nyoka.

Na jana imewauma sana, huku Kikwete, Kula Mama Samia, pale Sultan, kule Mbarawa.

Khatr kubwa.

KAMA WAMEUMIA WAHAMIE VATICAN,SASA WAO KWA AKILI YAO WAKITAKA MIKATABA YA KUENDELEZA BANDARI TUINGIE NA NANI,TUINGIE NA PAPA??KWANZA NANI KAWAAMBIA ITALY KUNA HELA??

ZAIDI ZAIDI KULE NI WAUZA UNGA TUH KULE SICILY,TUWAPE WAO BANDARI KISHA WAIGEUZE LANGO LA KUPITISHA MISALABA NA DRUGS??NO WAY ...
 
Back
Top Bottom