Dubai: Maji yana bei kubwa kuliko mafuta

Dubai: Maji yana bei kubwa kuliko mafuta

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
"Kama imewezekana kutengeneza bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga inawezekana kabisa kutoa maji Ziwa Victoria kupeleka Mbeya, Morogoro na maeneo mengine sababu ni suala la bomba tu, nimeenda Dubai nimekuta maji yana bei kuliko mafuta.
20221108_221434.jpg


Kwanini tusitafute bomba kubwa linaloweza kutoa maji ziwani na kupeleka mikoa mingine?,"-Simon Mkondya, Mkurugenzi Vanilla LTD.

Je, kama wana JF unadhani hili suala linawezekana?

Je, litawezekana tukizingatia vitu gani au kupata kitu gani?

Source: EATV
 
Sasa kwa nini tusibadishane nao kwa kuingia mikataba yenye maslahi Kwa pande zote.
Maana wao wanashida ya maji na sisi tunashida ya mafuta.
Wao walete BOMBA ya mafuta na sisi tuwafungie mpira wa maji kutoka chato
wazo zuri ila je na sisi wenyewe maji tuliyokuwa nayo tunajitosheleza nayo au tunawaza kuyatoa tu wakati hayatutoshelezi na pia kuyasambaza ndani ya nchi yetu tu tumeshindwa ndani ya miaka karibia 60 ya uhuru tumeshindwa kusambaza maji nchi nzima
 
Na tanzania tunamaji mengi na hatujui matumizi yake [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Back
Top Bottom