DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Sawa Mkuuvyote vyote naya treat maji pia natengeneza system za water flows
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mkuuvyote vyote naya treat maji pia natengeneza system za water flows
shukraniSawa Mkuu
Hao Wataalamu ya Ziwa nyasa watapeleka Tabora ni kama walivyoacha kuokoa watu na kuvuta ndege kwa kamba..Utoe bomba toka Ziwa Victoria mpaka Mbeya na sio kutoka Ziwa Nyasa?
Linweza kufungwa sensor kama za Bomba lagesi.H
Hilo bomba litahujumiwa njiani kwa kutobolewa kunywesha mifugo maji
Yanatakiwa yaanzue Singida kabla ya kwenda DubaiSasa kwa nini tusibadishane nao kwa kuingia mikataba yenye maslahi Kwa pande zote.
Maana wao wanashida ya maji na sisi tunashida ya mafuta.
Wao walete BOMBA ya mafuta na sisi tuwafungie mpira wa maji kutoka chato
Inawezekana tena sana maana mpaka sasa maji ya Victoria yanatumika Shinyanga hivyo uwezekano wa kuyafikisha Tabora na Singida,Dodoma, Morogoro Daressalaam ndani ya miaka miwili tu