Dubai tumesaini nao mikataba ya maendeleo zaidi ya 30. Watanzania wanaopenda Maendeleo tumieni fursa alizotuletea Rais Samia

Nyie wazanzibari mnauza nchi yetu acheni mara moja!
Mimi ninezaliwa na kukulia Dar. Kwetu ni karibu sana ya Dar, wilaya ya Mkuranga.


Mbona jina lako. La kizanzibari. Wewe ni mtu wa wapi?
 
L

LllllKwamba wewe umesoma??ndo elimu yako hii??afadhali hata mbunge Msukuma ana phd uchwara
Mimi bado nasoma, ni mwanafunzi daima.

Wewe umamaliza lini kusoma?

Bado nasubiri mkataba ulionao wewe, au ulikuwa unabwabwaja na kuhororoja tu bila mpango?
 
Itakapofikia hatua ya kulinda mipaka yetu ya mama Tanzania tutailinda hata Kwa kuvunja hiyo mikataba hatuna haraka.
Hata Uislam unafubdisha kuwa tujitshidi kukibds ardhi zetu.


Hilo ni jambo jema sana. Nakuunga mkono.
 
Kulipoibuka tu sakata la Bandari na wewe ukaibuka, Je, wewe ndo wale mliopanda bombadia na kuwa mmoja wao waliopokea 6 M?
"Bambadia" ndiyo mnyama gani?

Sijawahi kupanda ", bombadia", zanini hizo 6m? Nakuuliza kwa maana mara kwa mara mimi napokea zaidi ya hizo, chini ya hizo, sawa na hizo. Siyo kitu cha ajabu. Ukinielewesha za nini naweza kukupa jibu sahihi.
 
Mikataba ya0 kuendeleza misitu wakati kwao jangwa si utapeli huo.
 
Chuki na ubaguzi unakusaidia nini babaa? Udini unakusumbua, hebu changia bila kuingiza udini na utaifa
Kwenye uuzaji wa Tanganyika kuna uzanzibari na udini. Wauzaji wakubwa wa nchi wanatoka Zanzibar na ni waislamu.
 
Swala ni masharti ya mkataba... Mbona mnatumia nguvu sana kutaka kiwaibia wa tz na wakati wewashtukia?
 
Kwenye uuzaji wa Tanganyika kuna uzanzibari na udini. Wauzaji wakubwa wa nchi wanatoka Zanzibar na ni waislamu.

Una ushahidi gani kama wanauza au wameuza nchi, ninyi ndio wale mkipelekwa mahakamani mnasema ooh nimeonewa mara ooh mimi sijasema nchi inauzwa, bla bla nyingi, kama huna cha kuchsngia ni heri ukae kimya
 
Una ushahidi gani kama wanauza au wameuza nchi, ninyi ndio wale mkipelekwa mahakamani mnasema ooh nimeonewa mara ooh mimi sijasema nchi inauzwa, bla bla nyingi, kama huna cha kuchsngia ni heri ukae kimya
Unafikiri itasemwa kwamba wanauza nchi? Utaona hilo kupitia mikataba ya hovyo kama huu wa bandari.
 
Unafikiri itasemwa kwamba wanauza nchi? Utaona hilo kupitia mikataba ya hovyo kama huu wa bandari.

Kwanini bwana fazili utangulie kusema hivyo ilhali huna uhakika/ushahidi wa hilo! Kiongozi kama kiongozi akifanya hivyo basi atabeba dhima kubwa kwa Mwenyezi Mungu, maana atakua ameshaingia kwenye dhambi, kuuza nchi sio kitu kidogo, huyu mama hawezi kufanya huo upumbavu, anajielewa, ana hofu na Mwenyezi Mungu. Hivyo acha dhana potofu bwana fazili
 
Eti hofu ya Mwenyezi Mungu! Nani huyo tumwachie nchi aongoze milele? Nchi huuzwa kwa mikataba mibovu. Uhakika wa kusema hivyo ni huu mkataba mmbovu uliosainiwa juzi. Unataka uthibitisho gani zaidi au na wewe ni mnufaika wa udhalimu huu?
 
mkapa hakuingia mkataba wa aina hii au ule wa baba yako wa loliondo. Tanzania will never forget this.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…