Dubai tumesaini nao mikataba ya maendeleo zaidi ya 30. Watanzania wanaopenda Maendeleo tumieni fursa alizotuletea Rais Samia

Dubai tumesaini nao mikataba ya maendeleo zaidi ya 30. Watanzania wanaopenda Maendeleo tumieni fursa alizotuletea Rais Samia

Msitarajie mwaarabu atatukomboa na kutuletea mana na asali!

Hiyo miujiza aliiweza Yesu Kristo tu.

Watanganyika chapeni kazi na kufikiri kujikomboa acheni kujipakaa lip stick na kusubiri waarabu kuja kuwafanyia kazi mkomboleke.
Yesu kakumboa nini wewe umedanganywa na wazungu. Yesu alikuwa mtu mweupe? Ndiyo maana mzungu kila kitu kibaya kwake ni cheusi/ Uislam umekujo kukukomboa wewe, wacha ujinga.

Waarabu ndiyo walikuletea ustaarabu wewe, kama ulikuwa hujuwi, ngoja Yesu arudi kuja kuwasuta . Unafikiri atakuja kufanya nini? Kuwasuta tu. anasema mimi nimetumwa, nyie mnasema yeye Mungu, wapi Yesu kasema yeye Mungu,wacheni uounguwani nyinyi.

Mama Waarabu wamemuheshimu kuja hapa kwa Uislam wake tu, hawajaja hapa kuwaibia kama wanavyowaibia wazungu, wanachukuwa malizote wanawawachia mashimo tu. Mwarabu anakuja kujenga hapa siyo kuwacha mashimo.

Tumieni vichwa vyenu kufikiri japo kidogo.
 
Yesu kakumboa nini wewe umedanganywa na wazungu. Yesu alikuwa mtu mweupe? Ndiyo maana mzungu kila kitu kibaya kwake ni cheusi/ Uislam umekujo kukukomboa wewe, wacha ujinga.

Waarabu ndiyo walikuletea ustaarabu wewe, kama ulikuwa hujuwi, ngoja Yesu arudi kuja kuwasuta . Unafikiri atakuja kufanya nini? Kuwasuta tu. anasema mimi nimetumwa, nyie mnasema yeye Mungu, wapi Yesu kasema yeye Mungu,wacheni uounguwani nyinyi.

Mama Waarabu wamemuheshimu kuja hapa kwa Uislam wake tu, hawajaja hapa kuwaibia kama wanavyowaibia wazungu, wanachukuwa malizote wanawawachia mashimo tu. Mwarabu anakuja kujenga hapa siyo kuwacha mashimo.

Tumieni vichwa vyenu kufikiri japo kidogo.
 

Attachments

  • IMG_5494.MP4
    148.2 KB
Familia baba akikata moto, kinachotokea ndicho kilichotokea Tanganyika.
1. Muungano
2. Chama cha kijani
3. Kitabu kipya kukifuta kile cha 77,

Bila kufuta nilivyovitaja hapo juu, Tanganyika imekula kwetu.
 
Uislam ni mwema sana, Wajomba wamemuheshimu mama kwa mafunzo yao ya Kiislam, unafikiri angennda 'mat*ko sijuwi matiko, angewaleta Waarabu hapa? Thubutu.

Uislam ni mwema sana.
Uislam umeingiaje hapa? Subutuu Yako waarabu watawala ti-go tu
 
Nawashangaa sana Tanzania chamber of Commerce na BET ambao ndiyo wanashughulikia mambo ya biashara baina ya Tanzania na nchi za nje.

Nawashangaa zaidi waandishi wa habari wa Tanzania, hususan hawa free lancers waliojazana sasa hivi kwenye mtandao. Alziandika Mwandishi. Mmoja tu, msome chini hapa.

Walitakiwa wazitangaze sana fursa hizi. Hii siyo mikataba ya siri wala kuficha ni mikataba iliyosainiwa kihalali na vyonbo vya habari vya nje viliiandika.

Nadiriki kusema Mkataba wa bandari unaoshangiliwa na kukoromewa na kila mtu sasa hivi ni mkataba mdogo sana ukilinganisha na mikataba iliyisainiwa na fursa zilizopo. Jisomee 👇🏾

Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu’s milestones

Tanzania-UAE Relations:​

By Giza MdoeMarch 4, 2022.

  • Tanzania has signed a US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE)
  • Samia Suluhu spearheaded the signing of some 36 MoUs of which 12 were signed by government public institutions
  • Working with Tanzania, she said, the UAE will enjoy a market of 177 million people of the East African Community (EAC)
Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan is making headlines, the latest of which is an impressive US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE).

President Samia, the first woman president of the country, attended Dubai Expo 2020 at the turn of the week. She was received by Vice President and Ruler of Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid, at the start of this month.
Among other things, Sheikh Mohammed and President Samia discussed ways to extend cooperation between their countries. The meeting was strategically held during Tanzania’s national day at the fair.

Themed, Connecting Minds, Creating The Future chimed well with her country’s own theme, Ready To Take Off, the Expo gave the two leaders the opportunity to discuss bilateral relations and open up business opportunities for both countries.

“These two themes embrace the new age of investment and trade with strategic partners like the UAE, in particular, and the Gulf in general,” President Samia commented about the Expo theme.

President Samia took the opportunity to invite UAE investors to Tanzania saying in line with the Expo theme, Tanzania is ‘Ready to take off.’

“I would like to take this opportunity to welcome you all to Tanzania, where the business and investment environment are more than conducive. Come one, come all to Tanzania,” she said.

Soma zaidi: Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu's milestones

Tafsiri kwa Kiswahili itafatia chini huko.
Kweli tumesain hata wa kuendeleza misitu yetu. Hivi kweli tuko serious kufundishwa kupanda miti na mtu wa Jangwani. Ni uvivu wetu au vipi. Mwisho tutafundishwa kula ugali.
 
Hii sinema ya DP world ina 'episode' ngapi ?
 
Nitetee mie kuku?

Vitu viko wazi kabisa. Mama kenda kumtowa nyoka nwenye almasi pangoni. Kwa Uislam wake tu, hakuna zaidi.

Uisalam mwema sana.
Dini ni kivuli Cha watu wapuuzi na wapumbavu.

Dini zenyewe hizi tumeletewa. Ujinga mtupu. Utumwa wa fikra kuacha kujibu hoja unatafuta Huruma ya dini.

Nb: Nimesema Mara nyingi humu washenzi wote wanaotetea hii kitu hawajadili yale ya msingi bali ya kwao wanayoyajua.


Waislam wa Zanzibar Ni WENGI kuliko wa bara.

Samia ndiye muislamu wa KWANZA kuwa Rais wa JMT.

Wee nawe Ni kuwadi tu!
 
Yesu kakumboa nini wewe umedanganywa na wazungu. Yesu alikuwa mtu mweupe? Ndiyo maana mzungu kila kitu kibaya kwake ni cheusi/ Uislam umekujo kukukomboa wewe, wacha ujinga.

Waarabu ndiyo walikuletea ustaarabu wewe, kama ulikuwa hujuwi, ngoja Yesu arudi kuja kuwasuta . Unafikiri atakuja kufanya nini? Kuwasuta tu. anasema mimi nimetumwa, nyie mnasema yeye Mungu, wapi Yesu kasema yeye Mungu,wacheni uounguwani nyinyi.

Mama Waarabu wamemuheshimu kuja hapa kwa Uislam wake tu, hawajaja hapa kuwaibia kama wanavyowaibia wazungu, wanachukuwa malizote wanawawachia mashimo tu. Mwarabu anakuja kujenga hapa siyo kuwacha mashimo.

Tumieni vichwa vyenu kufikiri japo kidogo.
Unajifanya mwarabu wakati huna hata mjomba Oman. Uarabu wa kuwakumbusha watu.

Samia na Hussein Wana wajomba kule
 
We si Mwarabu, wapigie debe wenzako
Nawashangaa sana Tanzania chamber of Commerce na BET ambao ndiyo wanashughulikia mambo ya biashara baina ya Tanzania na nchi za nje.

Nawashangaa zaidi waandishi wa habari wa Tanzania, hususan hawa free lancers waliojazana sasa hivi kwenye mtandao. Alziandika Mwandishi. Mmoja tu, msome chini hapa.

Walitakiwa wazitangaze sana fursa hizi. Hii siyo mikataba ya siri wala kuficha ni mikataba iliyosainiwa kihalali na vyonbo vya habari vya nje viliiandika.

Nadiriki kusema Mkataba wa bandari unaoshangiliwa na kukoromewa na kila mtu sasa hivi ni mkataba mdogo sana ukilinganisha na mikataba iliyisainiwa na fursa zilizopo. Jisomee [emoji1484]

Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu’s milestones

Tanzania-UAE Relations:​

By Giza MdoeMarch 4, 2022.

  • Tanzania has signed a US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE)
  • Samia Suluhu spearheaded the signing of some 36 MoUs of which 12 were signed by government public institutions
  • Working with Tanzania, she said, the UAE will enjoy a market of 177 million people of the East African Community (EAC)
Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan is making headlines, the latest of which is an impressive US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE).

President Samia, the first woman president of the country, attended Dubai Expo 2020 at the turn of the week. She was received by Vice President and Ruler of Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid, at the start of this month.
Among other things, Sheikh Mohammed and President Samia discussed ways to extend cooperation between their countries. The meeting was strategically held during Tanzania’s national day at the fair.

Themed, Connecting Minds, Creating The Future chimed well with her country’s own theme, Ready To Take Off, the Expo gave the two leaders the opportunity to discuss bilateral relations and open up business opportunities for both countries.

“These two themes embrace the new age of investment and trade with strategic partners like the UAE, in particular, and the Gulf in general,” President Samia commented about the Expo theme.

President Samia took the opportunity to invite UAE investors to Tanzania saying in line with the Expo theme, Tanzania is ‘Ready to take off.’

“I would like to take this opportunity to welcome you all to Tanzania, where the business and investment environment are more than conducive. Come one, come all to Tanzania,” she said.

Soma zaidi: Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu's milestones

Tafsiri kwa Kiswahili itafatia chini huko.
 
Ooh tena umenikumbusha fursa hiyo, ngoja nimpigie Khadija Kopa atutolee nyimbo ya DP World. lazima Waarabu wampe utajiri.
Mhamie huko kabisa mpate huo utajiri kwa kiwasifiahia vyoo, kuwapikia biriyani na kuchambisha vitoto vya kiarabu. Mwarabu siku zote anategemea labor ya Wazungu na Wahindi kuendeleza nchi zao. Ni ukwasi tu wa mafuta na tamaa za Sultani wao.
 
Ooh tena umenikumbusha fursa hiyo, ngoja nimpigie Khadija Kopa atutolee nyimbo ya DP World. lazima Waarabu wampe utajiri.
Niambie Muislamu Mtanzania aliyeenda kutafuta maisha Uarabuni akawa tajiri huko? Hakuna fursa zaidi ya kazi za kitumwa za kuajiriwa. Na wewe na Uislamu wako ni kima tu mbele ya Muarabu. Muarabu anamthamini Mfilipino Mkristo na Muhindi maradufu zaidi ya wewe Mzaramo mfia dini wa Mkuranga.
 
Ooh tena umenikumbusha fursa hiyo, ngoja nimpigie Khadija Kopa atutolee nyimbo ya DP World. lazima Waarabu wampe utajiri.
Nipe takwimu za vitabu vya maarifa, teknolojia na sayansi vilivyochapishwa na Wasomi wa nchi za Kiarabu mwaka wowote wa karibuni? Hamna wanachochapisha Waarabu zaidi ya mamilioni ya nakala za Quran na vitabu vya dini ya Uislamu.
 
Nipe takwimu za vitabu vya maarifa, teknolojia na sayansi vilivyochapishwa na Wasomi wa nchi za Kiarabu mwaka wowote wa karibuni? Hamna wanachochapisha Waarabu zaidi ya mamilioni ya nakala za Quran na vitabu vya dini ya Uislamu.
Elewa tu hilo neno "maarifa" (knowledge) ulilolitumia ni la Kiarabu. Swali lako ni kama upo coco beach halafu unauliza baharini wapi. Bila Mwarabu ungefahamu ni nii maarifa? Fikiri.
Kuhusu sayansi ta "teknolojia", tafadhali pitia teknolojia zote uzijuazo leo duniani hapa halafu unambie ipi moja wapo haijatokea kwenye elimu ya Waarabu. Elewa kuwa hata hii teknolojia unayoitumia sasa hivi kuwasiliana (Information Technology) bila elimu ya Waarabu tusingekuwa nayo leo hii. Msome Alkhawarizmi ambae 'mzungu" akambadilisha jina (kama kawaida yake ya kubadilisha majina ya watu) ili aonekne yeye ndiyo wa maana alikuwa nani/nini?

Nakupunguzia kazi, wamebadilisha Alkhawarizmi wakaita Algorithm. Ongeza maarifa, bofya chini hapo:


Hakika unaweza kumuibia mtu chochte lakini huwezi kumuibia elimu yake.
 
Elewa tu hilo neno "maarifa" (knowledge) ulilolitumia ni la Kiarabu. Swali lako ni kama upo coco beach halafu unauliza baharini wapi. Bila Mwarabu ungefahamu ni nii maarifa? Fikiri.
Kuhusu sayansi ta "teknolojia", tafadhali pitia teknolojia zote uzijuazo leo duniani hapa halafu unambie ipi moja wapo haijatokea kwenye elimu ya Waarabu. Elewa kuwa hata hii teknolojia unayoitumia sasa hivi kuwasiliana (Information Technology) bila elimu ya Waarabu tusingekuwa nayo leo hii. Msome Alkhawarizmi ambae 'mzungu" akambadilisha jina (kama kawaida yake ya kubadilisha majina ya watu) ili aonekne yeye ndiyo wa maana alikuwa nani/nini?

Nakupunguzia kazi, wamebadilisha Alkhawarizmi wakaita Algorithm. Ongeza maarifa, bofya chini hapo:


Hakika unaweza kumuibia mtu chochte lakini huwezi kumuibia elimu yake.
Wewe siyo "race" au "kabila" la hao Waislamu wa kale, hata kama walifanya "maajabu" ya kuhadithiwa ya kisayansi enzi zao. Wewe ni Mzaramo wa Mkuranga au sijui Mndengereko na utabaki kuwa hivyo na vizazi vyako milele. Kuwa Muumini wa Uislamu haumuwezeshi mtu yoyote kuongeza elimu yake Kisayansi na Kiteknolojia kwa viwango vya dunia ya sasa. Sawa?
 
Wewe siyo "race" au "kabila" la hao Waislamu wa kale, hata kama walifanya "maajabu" ya kuhadithiwa ya kisayansi enzi zao. Wewe ni Mzaramo wa Mkuranga au sijui Mndengereko na utabaki kuwa hivyo na vizazi vyako milele. Kuwa Muumini wa Uislamu haumuwezeshi mtu yoyote kuongeza elimu yake Kisayansi na Kiteknolojia kwa viwango vya dunia ya sasa. Sawa?
Siyo sawa. Hizo zako ni fikra za kijinga. Ujinga Mwafrika wa leo ni kudhani kuwa anajuwa kumbe hajuwi. Kwa waleo namaanisha baada ya kuwa koloni la wazungu


Hao masayantisti wa dunia ya sasa wanakwambia hivi:

 
Nawashangaa sana Tanzania chamber of Commerce na BET ambao ndiyo wanashughulikia mambo ya biashara baina ya Tanzania na nchi za nje.

Nawashangaa zaidi waandishi wa habari wa Tanzania, hususan hawa free lancers waliojazana sasa hivi kwenye mtandao. Alziandika Mwandishi. Mmoja tu, msome chini hapa.

Walitakiwa wazitangaze sana fursa hizi. Hii siyo mikataba ya siri wala kuficha ni mikataba iliyosainiwa kihalali na vyonbo vya habari vya nje viliiandika.

Nadiriki kusema Mkataba wa bandari unaoshangiliwa na kukoromewa na kila mtu sasa hivi ni mkataba mdogo sana ukilinganisha na mikataba iliyisainiwa na fursa zilizopo. Jisomee 👇🏾

Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu’s milestones

Tanzania-UAE Relations:​

By Giza MdoeMarch 4, 2022.

  • Tanzania has signed a US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE)
  • Samia Suluhu spearheaded the signing of some 36 MoUs of which 12 were signed by government public institutions
  • Working with Tanzania, she said, the UAE will enjoy a market of 177 million people of the East African Community (EAC)
Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan is making headlines, the latest of which is an impressive US$7.49 billion business partnership deal with the United Arab Emirates (UAE).

President Samia, the first woman president of the country, attended Dubai Expo 2020 at the turn of the week. She was received by Vice President and Ruler of Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid, at the start of this month.
Among other things, Sheikh Mohammed and President Samia discussed ways to extend cooperation between their countries. The meeting was strategically held during Tanzania’s national day at the fair.

Themed, Connecting Minds, Creating The Future chimed well with her country’s own theme, Ready To Take Off, the Expo gave the two leaders the opportunity to discuss bilateral relations and open up business opportunities for both countries.

“These two themes embrace the new age of investment and trade with strategic partners like the UAE, in particular, and the Gulf in general,” President Samia commented about the Expo theme.

President Samia took the opportunity to invite UAE investors to Tanzania saying in line with the Expo theme, Tanzania is ‘Ready to take off.’

“I would like to take this opportunity to welcome you all to Tanzania, where the business and investment environment are more than conducive. Come one, come all to Tanzania,” she said.

Soma zaidi: Tanzania-UAE Relations: President Samia Suluhu's milestones

Tafsiri kwa Kiswahili itafatia chini huko.
Watanzania Walimtuma Saa100 kwenda kusaini hiyo mikataba 30?

Mbona yote inahusu bara na Sio muungano?
 
Uhusiano wa Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu: Hatua muhimu za Rais Samia Suluhu

Uhusiano wa Tanzania na UAE:​

Na Giza MdoeMachi 4, 2022.

  • Tanzania imesaini mkataba wa ushirikiano wa kibiashara wa dola za Marekani bilioni 7.49 na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
  • Samia Suluhu aliongoza utiaji saini wa baadhi ya MoUs 36 kati ya hizo 12 zilisainiwa na taasisi za umma za Serikali
  • Akifanya kazi na Tanzania, alisema, UAE itafurahia soko la watu milioni 177 wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
 
Back
Top Bottom