Muda mrefu miaka mingapi kwa mfano?!
Dudubaya huyu hapa kwenye Fiesta Shinyanga mwaka 2013:
View attachment 402248 Source:
Bongo5
Kwahiyo mnachosema ni kwamba, hiyo 2013 Dudubaya alidhulumiwa kv ilikuwa ndo Fiesta yake ya mwisho!! Lakini pamoja na "kudhulumiwa", bado mwaka 2014 akaomba kwa hiari yake kupanda jukwaani... jukwaa la wale wale dhulmati!!! Huyu hapa Fiesta Tabora2014:
View attachment 402247
Millardayo
Au hadi September 2014 Clouds na Fiesta ya walikuwa poa hadi anafikia kuomba airtime kupitia Jukwaa la Fiesta!!! Lakini Kv alipigwa chini mwaka 2014 na 2016, tayari Fiesta imeshakuwa show ya kuzungushwa kwenye Coaster miezi miwili na kuambulia Sh. 1 Million ??!!!
Halafu haya mambo tuache unafiki!! Wewe hebu kuwa mkweli: Umesikia wimbo wa Dudubaya kwa mara ya mwisho lini na kupitia radio gani??! Pili, wimbo wa mwisho Dudubaya kubamba ni upi?!