Dudu Baya amemchanachana Lemutuz kwa sekunde 58,Lemutuz ajifungia ndani masaa 6 akilia kwa uchungu

Dudu Baya amemchanachana Lemutuz kwa sekunde 58,Lemutuz ajifungia ndani masaa 6 akilia kwa uchungu

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
MAMBA KONKI KONKI KONKI OIL CHAFU MASTER.
Kama ilivyo kawaida yake ya kuparamia watu bila kufanya research ya kutosha kujua wako deep kiasi gani, Lemutuz amejikuta tena kakosea chaka na kuingia chaka la mamba wakati yeye ni kiboko, Katika ulimwengu wa bifu, kati ya mapambano 37 aliyoshiriki , Lemutuz amepoteza 36 na kushinda moja huku 35 akipoteza kwa knockout huku pambano lake na Mange Kimambi alipoteza dakika ya kwanza tu.
Katika video inayosambaa mitandaoni Dudu Baya alirusha maneno kwenda kwa Lemutuz ambayo kimaadili siwezi kuyaandika hapa.

Majirani wa Lemutuz wenye asili ya India mitaa ya Mnazi Mmoja wanadai baada ya jamaa kuona video hiyo alijifungia kwa masaa 6 ndani kwake akilia kwa nguvu kabla ya majirani hao kuamua kuvunja mlango na kumbembeleza ndipo aliponyamaza.
Lemutuz wanaJF tunakuweka kwenye maombi yetu.
 
Konki konki hahaaaa
Screenshot_2018-11-03-21-46-57-1.jpeg
 
W. J. Malecela ulizidi sana kujikomba wa wafanyabiashara na watawala uchwara.Ni wakati sasa wa kusimama mwenyewe bila kujikomba komba umri unakutupa mkono.Mambo ya vijana achana nayo.
Wekeza katika viwanda vidogo vidogo piga promotion mwenyewe hata cha pure water au drip za wagonjwa
 
Hiro ri konk hapa mjini rinafanya kazi gani? maana ririkuwa rinafokafoka off tune watati sanaa ya hip hop ndio inaingia bongo na wakati vipaji havijaongezeka na baada ya vijana kuja juu alijaribu jaribu rakini hakuna mtu ariyependa muziki wake sasa mjini rina kazi kani?
 
Back
Top Bottom