Dudu Baya amemchanachana Lemutuz kwa sekunde 58,Lemutuz ajifungia ndani masaa 6 akilia kwa uchungu

Dudu Baya amemchanachana Lemutuz kwa sekunde 58,Lemutuz ajifungia ndani masaa 6 akilia kwa uchungu

Majirani wa Lemutuz wenye asili ya India mitaa ya Mnazi Mmoja wanadai baada ya jamaa kuona video hiyo alijifungia kwa masaa 6 ndani kwake akilia kwa nguvu kabla ya majirani hao kuamua kuvunja mlango na kumbembeleza ndipo aliponyamaza.
Hahahahahs
 
Nahisi dudubaya hayuko sawa.Lazima atakua na tatizo anahitaji msaada
 
Anayesemwa hapo kwenye hio video sio Le Baharia Mutuzz. Ni baunsa Crispin Kisinini ambaye alitupia post instagram kwamba Dudubaya nae ni choko!
Jamanii nina uhaba wa MB kwani msukuma kasemajr mpaka tupatupa kajifungia ndani?
 
Huyu lemutuz nilimchana live kwenye page yake pind ameshadadia ishu ya umber rutty. Nilimuambia kuwa hata yeye shoga. Nilshangaa ananipigia cm usiku saa 5 na kunichimba bit. Nkampandishia pia akakata cm.
Hahahha
Alipataje namba yako?
 
Hiro ri konk hapa mjini rinafanya kazi gani? maana ririkuwa rinafokafoka off tune watati sanaa ya hip hop ndio inaingia bongo na wakati vipaji havijaongezeka na baada ya vijana kuja juu alijaribu jaribu rakini hakuna mtu ariyependa muziki wake sasa mjini rina kazi kani?
Kazi yake ndio unayoiona mkuu kukagua wasio na marinda.
 
Back
Top Bottom