Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 574
kosa liko wapi hapo? usikariri principles za lugha“Never scared” jamani lugha ilikuja na meli hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kosa liko wapi hapo? usikariri principles za lugha“Never scared” jamani lugha ilikuja na meli hii
Never scared....he meant 'he has never been scared before'. Sio mara zote utaandika kama unajibu mtihani wa kiingereza“Never scared” jamani lugha ilikuja na meli hii
Mchezaji wa Azam Fc, yupo trial IsraelDudu baya ndo nani?
HahahahahsMajirani wa Lemutuz wenye asili ya India mitaa ya Mnazi Mmoja wanadai baada ya jamaa kuona video hiyo alijifungia kwa masaa 6 ndani kwake akilia kwa nguvu kabla ya majirani hao kuamua kuvunja mlango na kumbembeleza ndipo aliponyamaza.
Ni maamuzi tu, huwezi kila mara kuongea kama unajibu ani.I’m never scared
Mbona naona sawa tu ebu tusaidie wewe“Never scared” jamani lugha ilikuja na meli hii
so sad .. AiseeTRA yawataja wanufaika makontena ya makonda
Makonda amejua namna ya kucover up hili jambo. Hakuna Mtanganyika anayefwatilia habari za makontena tena!
camera na maskio ni habari za mashoga tu..!
Mungu tusaidie hiki kizazi..!
hahaaSio lazma umuelewe wewe,Tanzania ina watu Milioni 55.
Tujuze usahihi wake mtaalam“Never scared” jamani lugha ilikuja na meli hii
ndio dawaMchezaji wa Azam Fc, yupo trial Israel
Jamanii nina uhaba wa MB kwani msukuma kasemajr mpaka tupatupa kajifungia ndani?
HahahhaHuyu lemutuz nilimchana live kwenye page yake pind ameshadadia ishu ya umber rutty. Nilimuambia kuwa hata yeye shoga. Nilshangaa ananipigia cm usiku saa 5 na kunichimba bit. Nkampandishia pia akakata cm.
Vidume vya TarimeKonki konki hahaaaaView attachment 920460
Unamaanisha ishu muhimu hazijadiliwi?Aibu kubwa sana kama taifa kuacha kujadili issues za kitaifa na kujadili udaku
Kazi yake ndio unayoiona mkuu kukagua wasio na marinda.Hiro ri konk hapa mjini rinafanya kazi gani? maana ririkuwa rinafokafoka off tune watati sanaa ya hip hop ndio inaingia bongo na wakati vipaji havijaongezeka na baada ya vijana kuja juu alijaribu jaribu rakini hakuna mtu ariyependa muziki wake sasa mjini rina kazi kani?