Dudu Baya amemchanachana Lemutuz kwa sekunde 58,Lemutuz ajifungia ndani masaa 6 akilia kwa uchungu

Dudu Baya amemchanachana Lemutuz kwa sekunde 58,Lemutuz ajifungia ndani masaa 6 akilia kwa uchungu

W. J. Malecela ulizidi sana kujikomba wa wafanyabiashara na watawala uchwara.Ni wakati sasa wa kusimama mwenyewe bila kujikomba komba umri unakutupa mkono.Mambo ya vijana achana nayo.
Wekeza katika viwanda vidogo vidogo piga promotion mwenyewe hata cha pure water au drip za wagonjwa
Le mutuzi lina miaka 57 sasa ni babu lakini ni lipambe la bashite na matajiri mbalimbali vijana
 
Hiro ri konk hapa mjini rinafanya kazi gani? maana ririkuwa rinafokafoka off tune watati sanaa ya hip hop ndio inaingia bongo na wakati vipaji havijaongezeka na baada ya vijana kuja juu alijaribu jaribu rakini hakuna mtu ariyependa muziki wake sasa mjini rina kazi kani?
Yupo kwa Bashite si ni msukuma na serilkali ya chato ipo nyuma yake usiulize swali lingine
 
Huyu lemutuz nilimchana live kwenye page yake pind ameshadadia ishu ya umber rutty. Nilimuambia kuwa hata yeye shoga. Nilshangaa ananipigia cm usiku saa 5 na kunichimba bit. Nkampandishia pia akakata cm.
Sasa number yako aliipata wapi. Kutoka kwenye page mpaka kupigiana simu, hii story yako inawezekana umeruka sehemu au ndio umeamua kutuuzia chai.
 
Hiro ri konk hapa mjini rinafanya kazi gani? maana ririkuwa rinafokafoka off tune watati sanaa ya hip hop ndio inaingia bongo na wakati vipaji havijaongezeka na baada ya vijana kuja juu alijaribu jaribu rakini hakuna mtu ariyependa muziki wake sasa mjini rina kazi kani?
Huyu cock labda anatumia Dudu, hapa mjini.
 
Ila kwenye hiyo video konki master oil chafu anamchana bouncer mmoja anaitwa chris ambaye karedkodi video akisema kwamba ze dudu ni mchumba tena shoga na yuko tayari kwenda jela kama konki master akipimwa marinda an kukutwa nayo,alikuwa hamsemi le nanihiiiiii...usishangae hata tender ya kuchafua watu na oil chafu aliyopewa konki imetoka kwa LE NANIHIIIII
 
Ila kwenye hiyo video konki master oil chafu anamchana bouncer mmoja anaitwa chris ambaye karedkodi video akisema kwamba ze dudu ni mchumba tena shoga na yuko tayari kwenda jela kama konki master akipimwa ******* an kukutwa nayo,alikuwa hamsemi le nanihiiiiii...usishangae hata tender ya kuchafua watu na oil chafu aliyopewa konki imetoka kwa LE NANIHIIIII
Mkuu hata mimi nashangaa mleta mada kumuingiza Le mutuz!! hiyo clip Dudu baya hakumkusudia Le mutuz bali jamaa mwingine kabisa anayeitwa chris ambaye naye alirekodi clip kumchafua Dudubaya,mleta mada nadhani kakurupuka tu!
 
TRA yawataja wanufaika makontena ya makonda

Makonda amejua namna ya kucover up hili jambo. Hakuna Mtanganyika anayefwatilia habari za makontena tena!

camera na maskio ni habari za mashoga tu..!

Mungu tusaidie hiki kizazi..!
Yaani kila pilika pilika lzm ziwe zimekuja kuzima jambo,,na hua haliendelei tena si wasomi si wanaharakati si kina sisi hapa wote tunahamishwa km bendera ifatavyo upepo,Mungu tufumbue kizazi hiki [emoji30][emoji30]
 
Back
Top Bottom