The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
- Thread starter
-
- #121
Taifa lao lina uchumi imara kuliko sisi usisahau serikali yao inawajibika kwa wananchi kuliko yetu usisahau wako far better kwenye kila kitu kuliko sisi no wonder ukiruhusu soko huria la ajira uwe na uhakika sie tutaambulia asilimia 15 tu.Wenye kujuwa kuhoji wamepata nini sisi hatuna, sana sana wamezika watu kwa ujinga tu mwisho wa siku serikali ni ile ile maisha ni yale yale ni wamepata. Ndio maana ziko chaguzi ni wakati wa kuchagua unayemtaka ukishindwa basi heshimu majority.
Nadhani hujui history ya nchi yetu, Tanzania sio kwamba wametuzidi kwa bahati mbaya sisi tulijikwaa tulipoingia katika ujamaa na kujitegemea wakati wao walibaki katika misingi ya capitalism sisi kuja kurudi kwenye mifumo ya soko huria miaka ya 85 wao walikuwa mbali, sasa fanya hesabu zako baada ya sisi kuachana na ujamaa Kenya walikuwa wapi na sisi tulikuwa wapi na leo hii wako wapi na tuko wapi kama Gap liko close ina maana tunafanya vizuri.Taifa lao lina uchumi imara kuliko sisi usisahau serikali yao inawajibika kwa wananchi kuliko yetu usisahau wako far better kwenye kila kitu kuliko sisi no wonder ukiruhusu soko huria la ajira uwe na uhakika sie tutaambulia asilimia 15 tu.
Taifa letu limezalisha watu waoga wasio washindani hivyo hata takwimu za watanzania walioko nje ya nchi tunazonufaikao nao ni wachache sana kuliko wenzetu.
Ukilitazama hili kwa jicho la leo huwezi ona athari zake but ukitazama kwa mapana tunaathirika!!
Kwisha habari yao !!Wabongo tunawaza mpira , mapenzi na umbeya
Kweli kabisa !Nadhani hujui history ya nchi yetu, Tanzania sio kwamba wametuzidi kwa bahati mbaya sisi tulijikwaa tulipoingia katika ujamaa na kujitegemea wakati wao walibaki katika misingi ya capitalism sisi kuja kurudi kwenye mifumo ya soko huria miaka ya 85 wao walikuwa mbali, sasa fanya hesabu zako baada ya sisi kuachana na ujamaa Kenya walikuwa wapi na sisi tulikuwa wapi na leo hii wako wapi na tuko wapi kama Gap liko close ina maana tunafanya vizuri.
Mtu aliyeanza kukimbia kabla yako halafu wewe unamfuata nyuma lakini kila siku unamsogelea basi unafanya vizuri. Maamuzi yaliyofanywa miaka hiyo na viongozi wetu yalitufanya turudi nyuma na mbaya tukaingia vita na Uganda. Sasa ngoka nikujibu kwanini sio waoga, hivi umewahi kujiuliza kwanini waarabu sio waoga? kwa sababu miaka hiyo mazingira waliyoishi kwenye jangwa maisha yalikuwa magumu sana ikajenga na mioyo yao kuwa migumu sana mpaka leo na ndio wa Kenya, hawa jirani zetu wana ardhi mbaya sana na nzuri iko chini ya wachache kina Kenyatta na Odinga wananchi wa kawaida hawana hii imewafanya mioyo migumu. Kenya hufanyi kazi huli chakula bongo unakula tu hata kwa jirani.
Sawa nini dhumuni la mahakama? Kama muhimili wa kusimamia haki haufanyi kazi kwa usahihi maana yake ni kwamba unatengeneza mianya ya watu kubuni njia mbadala ya kudai haki zao.Mahakama zipo pia kumbuka unaweza kuwa wewe hujawachagua ila kuna watu wamewachagua kwa hiyo wana mandate ya kuongoza. unashida mahakama zipo sio kuleta fujo barabarani kuna watu wako busy kutafuta pesa.
Mbongo mtu wa kushukuru kwa kila jambo😂 ila ni upumbavu kuwa hivyo. Uwezo wa kutambua haki upo ila uwezo wa kudai haki ndio hafifu sababu huwa wengi sio wafauatiliaji.Hoja sio kuingia barabarani pekee hoja ni kutambua haki ya raia. Alichoongea ni kwamba watanzania uwezo wa kutambua haki zao upo chini.
Wengi wetu huishia kuonewa na kupotezea
Tanzania kuna chawa pekeeWakenya sahv wanasema watanzania ni uhodari wa kukata
Mauno 😄
Ova
Na hakuna dalili hataNchi hii ndoa ya Tissy na chama tawala ikifa ndio mambo mengi yataenda sawa.
Hapa unaongelea kama Kenya imekuwa USA hivi, nimekuulizia je wa Kenya wana maisha bora kuliko sisi? jibu rahisi tu. Nakwambia maisha yetu ni rahisi kuishi Tanzania ni rahisi, Kenya unaweza kulala njaa lakini sio Tz. Critical thinking yao wamefika wapi? wa Kenya wanakuja kufanya kazi kwetu sisi tupo kwetu tunakula maisha tu.Usiwe na mawazo mgando ndugu yangu hebu waza wazo huru maana hatuongelei tu kuingia barabarani hata namna mijadala yao inavyoendeshwa kwenye media zao unajua wenzetu kwa mambo ya civil rights wako mbali sana hili linawasaidia kuzalisha viongozi ambao critical thinkers kwa sababu kila analoleta linachambuliwa kwa kina na kujadiliwa na hata kupingwa waziwazi. Sie hapa kwetu bado tuna vimelea vya zidumu fikra za mwenyekiti
ndo
Unajuwa kwanini wa Mexico wana cross kuingia USA? sababu USA uchumi na mishahara mikubwa kuliko Mexico, sasa hao wa Kenya wako wangekuwa bora basi ungeona foleni misururu ya waru wakiingia Kenya lakini kwa kuwa Tz ni bora wao ndio wanakuja huku kufanya kazi. Kenya maisha magumu ndio wanabidi wafikirie ziada ku survive.Usiwe na mawazo mgando ndugu yangu hebu waza wazo huru maana hatuongelei tu kuingia barabarani hata namna mijadala yao inavyoendeshwa kwenye media zao unajua wenzetu kwa mambo ya civil rights wako mbali sana hili linawasaidia kuzalisha viongozi ambao critical thinkers kwa sababu kila analoleta linachambuliwa kwa kina na kujadiliwa na hata kupingwa waziwazi. Sie hapa kwetu bado tuna vimelea vya zidumu fikra za mwenyekiti
ndo
Wahenga walisemaga Amani ni tunda la Haki !Sawa nini dhumuni la mahakama? Kama muhimili wa kusimamia haki haufanyi kazi kwa usahihi maana yake ni kwamba unatengeneza mianya ya watu kubuni njia mbadala ya kudai haki zao.
Hapo ndipo watu wanafikia kwenye ku exercise haki ya kikatiba ya maandamano ambayo in turn huwa yanapachikwa majina yasiofaa ili tu kupora hio haki. Watu wameitwa "Magaidi", "Wahaini", "Wahuni" na "Waleta taharuki" katika namna ya kudhoofisha tu haki ya msingi. Ila cha ajabu zaidi kuna double standards katika hilo kwa maana kuna kundi likiandamana wao huwa hawaguswi ila kuna kundi likiandamana ni vipigo na kuswagwa.
Hali hii linasikitisha sana katika taifa ambalo tunajipambanua tuna amani na kutaka amani idumishwe ikiwa kuna dhuluma ya haki.
Uwezi kujua kama ujipi muda wa kufikiriaNa hakuna dalili hata
Kwa hiyo wewe unataka umuachie peke yake halafu wewe ujifungie ndani uwe unachungulia kwa mbali sasa huo si ndio uoga na ukosefu wa kujua haki ambao unaongelewa hapa kwenye huu uzi.Sasa ulitaka watu wafanye fujo ndio ujanja? nadhani Kenya hakuna visa sasa kama unaona wa Tz wajinga maana pamoja na wewe unaweza kuhamia Kenya kaandamane mpaka basi ila kama wewe ndio mjanja toka barabarani kafanye fujo. Maana unasema watu wajinga kwa sababu hawafanyi fujo kudai haki sasa wewe utakuwa wapi? nyumbani umekaa unatizama tu au? acheni ujinga wa kudhani uhuni ndio ujanja mambo ya kizamani.
Wewe inaelekea hujaelewa kabisa hii mada.Huyu nae dudu baya mpumbavu mbona enz za jiwe hakua akiyazungumza haya kaongea ukweli ika mtu mnafiki hua simkubali dudu ana jnafiki wa kinge*** sana enzi za jiwe sikuwah nsikia akitoa hizi kauki
Yaani yuko tayari kula ugali dagaa na maharage kila siku lakini si kujitolea kwa ajili ya watu wengine😀Na kingine ni uoga na ubinafsi, utasikia mtu anasema mimi nife halafu waje kula wengine! Utafikiri kwenye kundi la walaji wa sasa na yeye yumo!
Na kama Mahakama hazifanyi kazi yake ipasavyo yaani inasikiliza upande mmoja kwa upendeleo utafanyaje?Mahakama zipo pia kumbuka unaweza kuwa wewe hujawachagua ila kuna watu wamewachagua kwa hiyo wana mandate ya kuongoza. unashida mahakama zipo sio kuleta fujo barabarani kuna watu wako busy kutafuta pesa.
Sasa wewe unataka mimi nitoke barabarani kuiga watu au kufuata ngama ngoma ya mdundiko hujui inaenda wapi. Hizo haki unazoongelea hapa haki gani hizo? Mimi sina shida yoyoye napata nachotaka kisheria labda ondoa sentence za kijumla haki zetu uwe specific haki gani? Ya Kenya mimi hayanihusu sio kwetu kule.Kwa hiyo wewe unataka umuachie peke yake halafu wewe ujifungie ndani uwe unachungulia kwa mbali sasa huo si ndio uoga na ukosefu wa kujua haki ambao unaongelewa hapa kwenye huu uzi.
Mbona Kenya linapotokea jambo lolote watu hawaulizani maswali magumu kama unayouliza wewe hapa ila wote wanatoka kwa mara moja kwenda kusaidiana,kuulizana maswali magumu ni dalili ya uoga na kujipa excuse kwenye mambo ya kimaendeleo.