Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

Dudu anatoka familia masikini na mwanamke aliyemzalisha anatoka broke family
inaitwa poverty vicious cycle ni umasikini wa kizazi adi kizazi yani km babu zako walikuwa masikini wakafata uzao wa baba nao wako masikini na sasa ndo wew. ngum sana kuchomoka apo
 
Umeongea kikubwa sana mkuu, japo kuna mbegu mzazi alitakiwa aipande kwa mtoto wakati hajafika 18. Mbegu hio ndio ingemsaidia kuaamua maamuzi sahihi afikapo 18
 
Usemayo ni sahihi, ila binafsi bado nitalia na malezi ya kunzia pale mtoto anapoanza kujitambua. Malezi yanaweza kuokoa zaidi kuli maamuzi ya mtoto na matakwa yake nayoweza kumharibu. “Mlee mtoto ktk njia impasayo nae hataisahau hata uzee” Malezi yakiwa mazuri yanaweza okoa kwa zaidi ya 80% kuna muda hata yy atakua anatudi nyuma kufanya mambo amabayo hakukuzwa kwenye kwayo, amekemewa sana asifanye na hajazoea kufanya
 
Vipi kuhusu wewe,ulimpa msaada wowote au ulimpiga tu picha na kukimbilia JF?

Anyway mambo ya familia yana mambo mengi,huwezi kumlaumu tu Dudu bila kujua undani wa story yao na kilichopelekea huyo mtoto kua hivyo.

Kwenye familia issue inakuwa hivi; kuna mmoja alipaswa afanye jambo hakufanya na mwingine alipaswa asifanye jambo akafanya. Sasa hapo kunakuwa na mtifuano mkubwa. Kubwa hapo ni kusameheana na kuchukuliana ili kila mmoja atimize wajibu wake
 
Kama yasemwayo ya ukweli basi jamaa jinga kweli....kila siku yupo youtube kukosoa maisha ya watu wengine.
Hahaha yani ukiwa na kasoro, au changamoto za maisha huwezi kukosoa?

Kumbuka youtube inawalipa kwa idadi ya viewer. Yuko kazini.
 
Hizo online TV huwa wanampa 30-50K kila akihojiwa ni njaa ndo imemfikisha hapo
Huwa naamini naye ni muumini kwa kuvuta
Mewahi mkuta Dudu Baya maeneo ya kawe hapoo, alizoea kaa baa ilovunjwa kabla ya mzunguko wa kuelekea kawe ama rainbow ukiwa unatokea mikocheni kwa nyerere.
Sikuamini macho yangu.
Baba anahitaji msaada na mtoto anahitaji kusaidiwa
Tuwape farajaa - ujana maji motoo
Huyo Baba yake pia anahitaji msaada wa kisaikolojia.
Akiwa katika peak ya muziki pale Diamond Jubilee alimpiga ngumi Mr Nice jambo ambalo limemgharinu hadi Leo.
Kutwa kutukana na kukosoa wenzie.
 
Huwa naamini naye ni muumini kwa kuvuta

Huyo Baba yake pia anahitaji msaada wa kisaikolojia.
Akiwa katika peak ya muziki pale Diamond Jubilee alimpiga ngumi Mr Nice jambo ambalo limemgharimu hadi leo.
Kutwa kutukana na kukosoa wenzie.
Mr Nice nae alimpiga nani? coz hata yeye alishapotea na life lake sio kama zamani,
Kipindi chake Mr Nice alikua ni kama Diamond alivyo sasa.
 
Mr Nice nae alimpiga nani? coz hata yeye alishapotea na life lake sio kama zamani,
Kipindi chake Mr Nice alikua ni kama Diamond alivyo sasa.


Mr nice alikumbuka kujenga japo alijenga kibanda sio Nyumba

Na familia yake sio masikini Ina watu vizuri.

Kwa upande wa watoto pia wamefanikiwa kiasi chake

Sasa Dudu Baya anaishi katika Magofu ya Bahari Beach , hana familia imara hana Nyumba ,

Anaishi Kwa kutegemea online media zimfanyie interview ndo zimlipe.

So ndo hayo
 
Mr nice alikumbuka kujenga japo alijenga kibanda sio Nyumba

Na familia yake sio masikini Ina watu vizuri.

Kwa upande wa watoto pia wamefanikiwa kiasi chake

Sasa Dudu Baya anaishi katika Magofu ya Bahari Beach , hana familia imara hana Nyumba ,

Anaishi Kwa kutegemea online media zimfanyie interview ndo zimlipe.

So ndo hayo
Mkuu,nimeuliza hivyo coz niliyemquote anasema kua Dudu yupo hivyo kisa alimpiga Mr Nice!
Labda aongeze maelezo,Dudu kumpiga Mr Nice ina uhusiano gani na hivyo alivyo kwa sasa?
 
Malezi yana mambo mengi sana. Hakunaga bingwa wa malezi. Sema Dudu naye ana kahistoria ka kutumika sana kwenye maugomvi ya watu. Ni mtu mwenye laana ndogondogo.
Mkuu hapo nikukosoe kidogo ni kweli kabisa hakuna na hatakuwepo bingwa wa malezi ila kuna aina ya malezi yanatia kinyaa vibaya mno mno tena,

Naandika haya huku moyo ukiniuma sana sana ,
Juzi nilienda saloon kukwangua kiparq changu, kufika pale nikamkuta dogo ananyolewa na mdada wa makamo amekaa pembeni,

Basi nikasalimu na kukaa kwenye kiti kingine , ghafla nikasikiaaa aaaaaah ile ya kikike kike kumbe mashine ilipata moto kidogo , dogo akahamaki kikike kike

Mawazo yangu yote nikajua dogo ni msichana maana kuna kaumri flani sura zinafanana ke/me basi kwa makadirio dogo kama yupo la tano sita hivi ,

Ghafla mama yake akaongea nini babaa au nikupeleke saloon uliyozoea , yani pale pale nilidata kwa kweli ,

Dogo alifanya karaha mle saluni vibaya mno mama kazi yake kubwa nooooo, pleaaase, my soooon

Moyoni nikaona wazi kwa malezi haya hakuna cha son wala sonyo hapa ,
Yule dada kwa taarifa ya badae nilisikia malezi yake kwa watoto ni zero

Anadekeza mno watoto akidai ni usasa na uzungu ,hataki waguswe ni lulu

Lakini mwisho wa wale watoto sio mzuri tuna watoto hatujui lakini sio hali ile🥹🥹🥹
 
Sawaa Teacher....PM yngu ipo wazi hope na katuition cha nyumban utaweza kuja mfundisha 😇
Sio tuition tu, nitakuwa nakuja hadi kufuatilia anaishije huko nyumbani, yaani nahakikisha ananyooka inavyotakiwa.
Sasa muwe mnaweka kajuice ka mwalimu kwenye friji hapo mchanganye na passion.
 
Back
Top Bottom