Watu hawajui bali wanaongea tu, unajua ukiwa mkimya na haujibu utazushiwa kila kitu yaani mchanganyiko wa yale ya ukweli,ya uongo na ya ukweli yaliyo exaggerated. Kwa ukimya na kutokujibu wao wataamini tu eti mbona watu wanasema,so stupid.
Ana masaa machache ya kuendelea kuropokadudubaya ana ushamba mwingi hakuwa na usanii wowote wa maana kipindi icho.
ile kusifiwa upuuzi wa kuwadharirisha wengine kisa vita ya mawingu na wasafi basi kaona anakubalika sana.
kama ruge alikuwa anawanyonya kwa nini hawakwenda pengine ama kuanzisha studio yao.
aache utoto, kesho yakimfika atakosa msaada.
Hawa ugomvi wao hawakusameheana kwani?kwanza,kabla ya kurekodi kile kipindi cha yule mama kichaa kwamba kazaa na gwajima mlionekana na DAB kwenye parking ya clouds mkichukua kibahasha inasemekana ni 200,000, mkala hela ya watu na kipindi hakikuruka ilihali hadi raia namba moja wa nchi the very same week alitangaza kwamba shilawadu ndicho kipindi anachokipenda akiwa ikulu
The same week zikaachiwa cctv footages zikionyesha uvamizi na nyinyi mtaani mlikiri kwa washkjai wenu kwamba mlikula mitama heavy
*muelewe kwamba downfall ya DAB kutoka kupendwa hadi kuchukiwa ilianzia pale na sijui kama truly kasemehe moyoni mwake maana hadi magazeti ya nje ya nchi hadi leo yana refer lile tukio in a negative way
*Baadaye zikavuja habari kwamba bwana DAB alishawahi kukataa rushwa kutoka kwa marehemu ili kum favour rafiki yake aendelee kupewa contracts za kujenga mabarabara mabovu ya dsm kama ile ya akachube,kwa hiyo inaonekana jamaa kwenye ile issue ya cctv sio kwamba alisimamia maadili bali ilikuwa ni kisasi chake lakini naye mwishoni alipigwa na bumbuwazi kama sisi wote baada ya kugundua kwamba jamaa hata afanye makosa ya aina gani hatoki kwenye kile cheo
*ndugu zangu naona bado mnachukua vinahasha na kugeuza kipindi kiwe personal vendetta ,shauri zenu bana...maana consipracy theories kuhusu SUMU wenyewe mnaziona,mjue tu balaaa lilianzia ile issue ya kumuhiji mama kichaa kwamba kazaa na gwajima
*Ikaja issue ya mwandada yule kumkimbia marehemu na kwenda kuolewa jamaa akiwa iringa kikazi,inasemkana GAVANA alitoa mamiliioni kufanikisha harusi ili kumkomoa jamaa,masikini ya Mungu siku ya mwisho kampigia mwandada kaishiwa kurekodiwa akilia na kusambazwa mitandaoni
*mnakumbuka issue ya sudi,maua sama,ben na shafiih walivyolala polisi jamaa akapost kuna mtu katekeleza magari manne mabovu ,yaani jamaa alikuwa hoi kitandani bado anadhihakiwa
*mnaona jinsi wasafi media ilivyochanua baada ya ile scandal yenu?
****KUWENI MAKINI MADOGO MAANA NA NYIE UJINGA WENU UNAJULIKANA KUTOKA ISSUE ZA LGBT HADI KU SNIFF PELE..kuweni makini mno sasa hivi hamna mtetezi,mtapotezwa ,anzeni tu kumsifia jamaa maana hata baada ya ile scandal mlimrushia vijembe ananuka miguu na mdomo
Hata kama marehemu alikuwa mwizi, kiafrika huwa tunamuazima sifa nzuri na kumsindikiza.
Huyo jamaa kwa kuomba omba konyagi ni balaa.Konki konki konki konki master , dudu ukikaa naye na kupiga naye Stori mi mtu mmoja mzuri , huwezi ukadhania ndio huyu
Dudubaya utakaa central hadi Ruge azikwe, una mdomo mchafu.
Ukienda kesho saa tatu unawekwa ndani hadi j3 unapelekwa mahakamani, unanyimwa dhamana kwa usalama wako hadi Ruge azikwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunadilika unamaanisha nini mkuu?Muziki unabadilika na pia msanii anapaswa abadilike. Dudubaya ni mwanamuziki mzuri sana ila ameshindwa kubadilika ndiyo maana amepwaya kwenye game. Wakongwe waliobadilika ni Dully Sykes, Prof. Jay, J dee na Jmoo hawa wamebadilika ndiyo maana wanaendelea kuhit mpaka leo.
Walioshindwa kubadilika ni
Afande Sele, Mr Nice, Dudu baya na Juma Nature (hawa ni wachache). Mwanamuziki mpaka kujulikana na nyimbo zake tayari huyo ni mwanamuziki. Nenda studio ukarekodi km utahit hata kusikika? Hiyo konki unayoidharau ndiyo imemtambulisha kwenye game ya muziki tena. Sijamtetea kwa kauli zake ile ni mtetea km mwanamuziki.
Rudi na usikilize nyimbo za dudubaya za zamani ndiyo utajua huyu jamaa yupo vyema ila kashindwa kubadilika kulingana na soko la muziki
Halafu ujumbe utakuwa umewafikia wenye tabia za kunyonya wasaniiDudubaya utakaa central hadi Ruge azikwe, una mdomo mchafu.
Ukienda kesho saa tatu unawekwa ndani hadi j3 unapelekwa mahakamani, unanyimwa dhamana kwa usalama wako hadi Ruge azikwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Dudubaya ni wa kumpotezea.Kumkamata ni kumpandisha chati na kuzidisha hasira kwa waombolezaji.Watuache tumlilie Ruge na sio kuhamisha majonzi yetu kwa mpumbavu Dudubayadudubaya ana ushamba mwingi hakuwa na usanii wowote wa maana kipindi icho.
ile kusifiwa upuuzi wa kuwadharirisha wengine kisa vita ya mawingu na wasafi basi kaona anakubalika sana.
kama ruge alikuwa anawanyonya kwa nini hawakwenda pengine ama kuanzisha studio yao.
aache utoto, kesho yakimfika atakosa msaada.
no compelling need!ijibu basi
Sasa huyu ndiyo alidhurumiwa hatari...watu waltajirika sana kupitia mgongo wake..mweeeeh nkimkumbuka saida carol mweeeh jamaaan
Kufa tutakufa sote kaka, wachana na dudu kama dudu hebu jaribu kufikiri Kwa mapana fikra zake, hivi ulishawahi kusikia msanii yeyote wakati Wa fiesta akisema labda amesaini mkataba Kwa ajili ya show zaidi ya kuwashortilisted tu..........dudubaya ana ushamba mwingi hakuwa na usanii wowote wa maana kipindi icho.
ile kusifiwa upuuzi wa kuwadharirisha wengine kisa vita ya mawingu na wasafi basi kaona anakubalika sana.
kama ruge alikuwa anawanyonya kwa nini hawakwenda pengine ama kuanzisha studio yao.
aache utoto, kesho yakimfika atakosa msaada.
vituko vya ccm hiviooh ni hatari zile figisu zilianzia mbali sana
hujanielewa, neno konki ndiyo nimelisikia leo