milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Bangi nimeamina ni mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijadili maisha ya Dudubaya badala ya kujibu/kujadili hoja yake!?Dudu baya
The word creates things
Jamaa hilo jina linaendana na maisha yake.
Hapo hamna hoja mkuu .Unaijadili maisha ya Dudubaya badala ya kujibu/kujadili hoja yake!?
Hakuna aliyemkamilifu maishani, hata wewe unayedhani maisha Yako Yako vizuri Kuna mambo mengi tu hujatimiza.
Jadili hoja badala ya mtu binafsi.
Mimi nipo mkoani huku, mji ni mdogo sana kila nakopita wanananchi wasio hata na chama wanaamini lissu ndio mpinzani halisi na anastahili uenyekiti.Mitaa ya instagram au,
Yeye ni CHADEMA?Msikie kwenye hii video:-
View attachment 3194447
Kama ni mpiga kura sawa..... 😀Dudu atulize ball sisi tunaenda kumstaafsha ayatollah kaguta nkurunzinza mbowe 😄😄😄😄
Sifa za Lisu hazimhitaji MariaLissu kajazwa sifa na maria baada ya mchango wa gari
Mbowe kawaambia hivi Uchaguzi utakuwa Live, alafu kenge alalamike ameibiwa KuraMnarudia kauli zile zile CCM!! Fanyeni survey tu ya kawaida mtaani. Wana mageuzi wote wako na Lissu
Hawa ni watu wa X mkuu... Wasikupe shidaUnaijadili maisha ya Dudubaya badala ya kujibu/kujadili hoja yake!?
Hakuna aliyemkamilifu maishani, hata wewe unayedhani maisha Yako Yako vizuri Kuna mambo mengi tu hujatimiza.
Jadili hoja badala ya mtu binafsi.
We ni mjumbe unawakilisha jf?Dudu atulize ball sisi tunaenda kumstaafsha ayatollah kaguta nkurunzinza mbowe [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hivi mnaweza amini mtu aliyekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mona Lisa kweli?Msikie kwenye hii video:-
View attachment 3194447
Ametengeneza muziki wake ambao vijana wengine wameiga na wanaishi kutegemea muzikiNI kitu gani cha maana alichowahi ku-influence kwenye nchi hii kikaenda na watu wakabadilisha maamuzi yao just because Dudu Baya kasema?
Anamu-influence nani?
Huyu zitto junior ni mtu wa mitandao tuMitaa ya instagram au,