Dudubaya: Lissu hawezi kuwa Mwenyekiti CHADEMA

Dudubaya: Lissu hawezi kuwa Mwenyekiti CHADEMA

Yaani mbowe anaungwa mkono na watu wasiotumia akili zao sawasawa eidha kwasabb ya njaa (mfano akina Yeriko Nyerere) au bangi kama huyu dudubaya!.
Mimi sina njaa lakini namuunga mkono Mbowe. Usituamulie
 
Msikie kwenye hii video:-
View attachment 3194447

Kuna wachagga wengine wanaubaguzi sana, mpaka sasa bado sijaona mchagga akijitokeza hadharani kumuunga mkono Tundu lissu, huu ubaguzi utaisha lini!


Wale ndugu zangu wa makabila mbali mbali, wasukuma, wanyamwezi n.k, hivi mnajisikiaje kuwa chadema? Mnawezaje kuunga mkono chama cha udini, ukabila, ukanda na utaifa!!

May be lissu akafanikiwa kukitoa huko na kukifanya kiwe tofauti.
 
Hii habari Jambo Media hawawezi kurusha😂😂
Jambo media!!??

Yule jamaa anaonekana ni mwanaharakati pure, akipewa mafunzo kidogo tuu na akaahidiwa mabikra 72, anaingia msituni yule

Ni media ya propaganda za lisu, ndo media pekee inayofaham wanachadema wote nchini wanaomuunga lisu mkono
 
Kweli kabisa hii takataka Dudu baya ni wakufunguliwa nyuzi za jambo muhimu kama hili?
 
Jambo media!!??

Yule jamaa anaonekana ni mwanaharakati pure, akipewa mafunzo kidogo tuu na akaahidiwa mabikra 72, anaingia msituni yule

Ni media ya propaganda za lisu, ndo media pekee inayofaham wanachadema wote nchini wanaomuunga lisu mkono
Muda wa Ayatollah Mbowe kukaa benchi umefika
 
Kuimba umeshindwa, siasa utaziweza we mzee, lea wajukuu siasa waachie vijana. Hujui lolote kichwa empty set.
 
Waandishi wetu mnachekesha sana, mnaenda kumhoji mvuta bangi ili mpate mawazo yake yawe habari! Mbona mnashindwa kumhoji Abdul?
Abdul hana nafasi yeyote kwenye Chama wala kwenye serikali ila ni mtu muhimu kwenye kupenyeza agenda,unataka waandishi wamuhoji nini wakati Wenje amesha kiri kukutana nae?
 
Mbowe mbinu zake za kulegeza tairi za gari tumeshazijua sahivi Lissu anatembea na wheel spanner hata akishuka kununua maji akirudi anakaza nuts
 
Watz ni wepesi sana kusahau sijui kwa nini. Dudubaya anasema hayati Chacha Wangwe aliomba ruhusa kwa spika Makinda ni uongo Chacha Wangwe kaingia bungeni 2005 kafa 2008 spika akiwa Sitta. Anasema mbowe kagombea urais mara mbili ni uongo mbowe kagombea urais mara moja tu mwaka 2005
 
Waandishi wetu mnachekesha sana, mnaenda kumhoji mvuta bangi ili mpate mawazo yake yawe habari! Mbona mnashindwa kumhoji Abdul?
Kwani shida ya bangi ni nini? Mbona Barack Obama alivuta ujanani na akiwa mtu mzima akawa Rais wa USA.
 
Huyo mvuta bangi nae anamuinfluence nani?
 
Back
Top Bottom