min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Bila upinzani na biashara yenu ya uchawa itakufa .Mtaenda naye bichi tu
Nchi hii hakuna upinzani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila upinzani na biashara yenu ya uchawa itakufa .Mtaenda naye bichi tu
Nchi hii hakuna upinzani
Nitakuwa wa kwanza kuzinunua, au zitagawiwa bure?Kuna Toilet Papers zinakuja zitakuwa na picha ya Mama
Watagawa bure kabsa! Nadhani pia Condom zinabadilishwa majina ziitwe Samia Condom kwa ajili ya watu waendelee kuwa wazalendo!Nitakuwa wa kwanza kuzinunua, au zitagawiwa bure?
Itapendeza sanaWatagawa bure kabsa! Nadhani pia Condom zinabadilishwa majina ziitwe Samia Condom kwa ajili ya watu waendelee kuwa wazalendo!
Na tutegemee ipo siku watu kwenye nyumba za Ibada wataanza kuweka Neno Daktari Samia sehemu ya Mwenyezi MunguItapendeza sana
Mimi siyo chawa⦠mimi ni papasi kabisaBila upinzani na biashara yenu ya uchawa itakufa .
MnooooKazi ya uchawa inalipa sana
NeverNa tutegemee ipo siku watu kwenye nyumba za Ibada wataanza kuweka Neno Daktari Samia sehemu ya Mwenyezi Mungu
HongeraMimi siyo chawa⦠mimi ni papasi kabisa
Chawa wako Kwa lissu
Wanamuibia na kumtengenesea chuki na wananchi bila kujijuaSina maelezo mengi habari kwa picha
ThanksHongera
Kwani mapambio yakizidi huwa mnatumia utimamu!??Never
Hongera sanaThanks
Papasi Hana muda na hostā¦. Anapita tu
Sasa nyie chawa wa chakadomoz endeleeni
Wapambe mtujibuKwani mapambio yakizidi huwa mnatumia utimamu!??
Whoever designed hizo cover page hafaiWanamuibia na kumtengenesea chuki na wananchi bila kujijua
Wajumbe watakula kichwa au NEC sisiiWatashangaa pale picha yake itakapokosekana kwenye ugombea Urais. Ndipo fahamu zao zitakapowarudia
Hata sasa hali ni mbaya.2026 utakuwa mwaka mgumu sana kiuchumi.. Tujipange sana maana hali itakuwa mbaya sana