Duh kama no kweli Basi Mh Rais Samia chawa wako wamevunja rekodi ya dunia🙌

Nitakuwa wa kwanza kuzinunua, au zitagawiwa bure?
Watagawa bure kabsa! Nadhani pia Condom zinabadilishwa majina ziitwe Samia Condom kwa ajili ya watu waendelee kuwa wazalendo!
 
2026 utakuwa mwaka mgumu sana kiuchumi.. Tujipange sana maana hali itakuwa mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…