Samadebe
Senior Member
- Jul 12, 2018
- 117
- 186
Eti vuluvuluu.nakisikiliza hapa ni kero aisee haijulikani nani muongozaji nani mchambuzi yaani wanapiga kelele hakuna anayetaka kumsikiliza mwenzake..utasikia Abisai sikiza ngooja ngojaaaa...hapana nisikize kwanza ,huku mweingine naye anaendelea kuongea ya kwake
vuluvuluuuuuuuuuu