Kwa akili kama hizi Kenya itaendelea kua juu ya Tanzania kiuchumi.Hata Lisu mwenyewe akiwa raisi ataweka mabango hadi Singida vijijini kule kwetu.
Hata yeye kwa sasa huwa anaimbwa,lakini halalamiki.
Kenya wakiwaweka mabango wa Ruto,GENz watapita nayo
Kwanini maraisi wa Kenya ndo wanakuwa juu kwa ufisadiKwa akili kama hizi Kenya itaendelea kua juu ya Tanzania kiuchumi.
Nchi haina strategy yoyote wanatemea kodi za mkulima na machinga tu. Sana sana kodi za madini na utalii.
Fisiumu wajitafakari. Ni aibKwa kweli haya mabango Hadi kero.Yaani Nchi nzima mabango ya mama Yao na chawa.Mimi Huwa nayachana ikiwa hanioni mtu yeyote.
Mbona unatukana Nchi yakoNchi ya kisenge saana hii.
Mabango kibao, gharama zinazotumika kutengeneza hayo mabango lingefanyika jambo la maana tu
Daah unaumaπππππππ ukweli mchungu
Atakuwa kwenye kitengo maalum atakuja tuπ€£π€£π€£Lucas Mwashambwa
Mjumbe sijaona comment yako kwenye hili, We ndo chawa official nayekujua jeiefu. Usipoongelea ujue mambo hayaendi na chama kitakuwa kimedharauliwa na bahasha ya kaki itapotea
Toa neno chawa
Hujamsikia lissu kasema hataki uchawa, watu wanampongeza sana kasema hizo ni dalili za uchawa!? huyu mwamba kanyooka!Hata Lisu mwenyewe akiwa raisi ataweka mabango hadi Singida vijijini kule kwetu.
Hata yeye kwa sasa huwa anaimbwa,lakini halalamiki.
Kenya wakiwaweka mabango wa Ruto,GENz watapita nayo
Hata Lisu mwenyewe akiwa raisi ataweka mabango hadi Singida vijijini kule kwetu.
Hata yeye kwa sasa huwa anaimbwa,lakini halalamiki.
Kenya wakiwaweka mabango wa Ruto,GENz watapita nayo
Nilisikia...alifafanua hiliHujamsikia lissu kasema hataki uchawa, watu wanampongeza sana kasema hizo ni dalili za uchawa!? huyu mwamba kanyooka!
hata mimi nashangaa sijui ndio uchawa anaouzungumzia Mwamba hapa hiyo I'd yake ni bango la matangazo Ili nzi wenzie wa Lumumba wamwone hua anatetea chama chakavu na kumtetea mama Jeiefu!Uko verified lakini unaandika upuuzi mtupu