Duh, Lissu amenichekesha sana, nimecheka mno! Ebu Tazama video hii

Kama huyo mama yao anafanya kazi nzuri itajionyesha na watu humu watatoa pongezi.

Ukiona PR nyingi ujue hakuna kitu.
 
Ukiona mtu anatangazwa sana kwa "mazuri" alioyafanya, ujue hata ntangazaji nae HAONI cha kusifia, kama vipo vingejitangaza vyenyewe, you don't need to do all of that.
 
Hahahaaaaa yani ni maaama,Maaaaaaa maaaama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…