Duh! Nini cha Wakenya kujifunza kuhusu hili la Wabongo kunyang'anywa ndege kwa ajili ya deni

Nani mjanja ? Aliye pimwa mkojo au aliyekataa kutoa mkojo.
Zile testtube bado zipo kavu pale zinasubiri mkojo.
 
I think tuna/tajifunza "dont count your chicks before they hatch" walijidai watapiga KQ sasa ni aibu na povu all over

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege imeachiwa., deni dogo hilo tunawalipa. Kwa sasa tuna pesa. Tunajenga hadi Reli ya Kisiasa kwa pesa yetu, sembuse hilo?
Tunakaribia kuleta mapangaboy hapo JKIA, kwa cost ya chini kabisa, Nairobi - Dar, Nairobi - Zanzibar
What do u say??
 
Nikupatie mmoja? Ni muingereza, inahitaji kumuamini tu.. Nilishafanya nae hizi mambo 2015 ila nikaja nikaacha. Trading ni kama kamari tu, very addictive..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna uzi mmoja ulianzishwaga humu kuhimiza watu kujiingiza kwenye hii biashara, niliwaambia tu maneno yasiwavutie, this is very risky investment..

Unayosema ni kweli kabisa, unaweza kupoteza mkwanja mrefu tu on a blink of seconds..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msisumbuke na vuvuzela Lissu atawaingiza kingi huyo ni msaliti za nchi yetu!
Msaliti ni yule aliyesababisha ndege kuzuiwa huko kwa hio mlitaka mpige kimya mpaka siku ya mnada sio afadhali ya lisu ametujuza kwamba tunadiwa lisu ni mzalendo mungu ampe miaka mingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zinaendana kama kawaida na, wataisoma namba! Afu hawa jamaa wana roho mbaya sana! Hehe watz bana. Badilikeni.😀
Mkuu kua na roho mbaya ni hulka ya mtu sio watz wote...kama wengi wao uliokutana nao wana roho mbaya basi ni wao..naamini hata hapo Kajiado wapo watu wenye roho mbaya na wakati mwingine ukijiuliza hupati jibu ni kwa nini...ubinadamu kazi sana
 
Huyu Jamaa analalamika serikali kununua ndege, wakati hazipo walikuwa wanalalamika kwanini hazipo.
Arguing with these people is a waste of time
Hapo ndipo kuna tatizo! Ni bora tukajikita kwenye kasoro ndogo ndogo kama hizi zinazojitokeza badala ya kughairi mpango wa ununuzi wa ndege!


Honestly kilichotokea sio kitu kizuri, serikali inapaswa kuchukua hatua za haraka, na kuondoa mianya ya namna hiyo kwenye mambo mengine!
 

Kuna wakati huwa upo balanced sio kutetea kila uovu.
Hapa umeiweka sawa.
 
Kuna wakati huwa upo balanced sio kutetea kila uovu.
Hapa umeiweka sawa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ni mambo mengi tu huwa nayaweka sawa! Sema ikitokea tukatofautiana mitazamo hapo ndipo shughuli inaanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…