Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majukumu ya rais sio hayo yakuokoteza shida za wananchi mmoja mmoja.ndo maana nchi ina vyombo na wizara mbali mbali.kama mtu anashida na haitatuliwi ngazi ya chini xiko taratibu zakupeleka malalamiko yake ngazi ya juu.acheni kujitoa ufahamu kwa mambo madogo kama hayo kisa kuna limbukeni mmoja alikua anasikiliza matatizo ya watu kienyeji bila kuhimarisha taasisi zakutatua kero za wananchi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Maigizo yote haya yaliletwa na Magufuli kwa kutaka cheap popularity na kujifanya eti anapenda Saana wanyonge.
Upumbavu mtupu
Wanyonge wamezoea papaa alikuwa anatembea na manoti kibao anamwaga tu kwa wanyonge 😃😃😃😃 mama hataki mambo ya kishamba kapambane huko
😂 mama kaamua Kama mbwai iwe mbwai
Kanuni ya mawasiliano HANA au HAJUI.
Ukitaka kuzungumza na mtoto shuka katika kimo chake.
She is standing tall all over the time
==========
Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.
Raisi ni Baba/ Mama/Mfariji Mkuu wa Taifa ndio Kimbilio la kila mtu kama baba na Mama nyumbani
Huwezi kumwambia mtoto wako husiniambie mambo ya home work nimeweka house girls kwa ajili yenu ongea na dada [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Utani gan?JPM alikua ni mtu wa utani utani , ataongea huku anacheka sio mipasho
Hatafute ndio Nini?Marehemu Kwanini unawatesa walio Hai. Kama mtu alikuwa dikteta Kwanini hatafute cheap popularity
Wewe acha hizo Rais hatoi uamuzi, ujasoma mambo ya uongozi nini? Kinachofanyika ni Rais kusaidia huyo mama kusikilizwa kwa haki. Yaani humu kuna mtu anaweza andika jambo mpaka unajiuliza hivi watu wanaufahamu kweli? Au wamekalia ushabiki? Asilimia kubwa ya Jamiiforums watu wamekaa kichawa. Hawachanganui mambo kwa hoja na kuangalia dunia inavyokwenda.Haifai Rais kuchukua nafasi ya Hakimu au Jaji kugawa haki, huna uhakika suala la huyo bibi yako lilikwisha kwa sababu haki ilikuwa upande wake au watu walitimiza tu matakwa ya Rais bila kuangalia haki iko wapi.
Huo Mfumo wa Kangaroo courts ni dalili ya mhimili dhaifu sana wa mahakama.
Hii kwa Zanzibar itawezekana ila sio bara, Zanzibar ni kama wilaya moja huku baraNaona Dr.Hussein anaendesha zanzibar kizungu , anajua kuna mapungufu Kutoka kwa wateule wake
View attachment 2106682
Hii kwa Zanzibar itawezekana ila sio bara, Zanzibar ni kama wilaya moja huku bara
Watu milioni 60 wakutumie kero zao kupitia app?[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Mwinyi sio model ya kufuatwa na marais wote mkuuZanzibar ni Wilaya?! Hata hao watu milioni 60 bara sio wote wenye uwezo na ujuzi wa kutumia app
Tatizo sio idadi ya watu au kuusu hiyo app nimeleta kuwaonesha wale waliokua wanapotosha kua Raisi sio kazi yake kusikiliza Kero za kila mtu hizo Mwinyi anasikiliza kwa kutumia app ni matatizo ya wanyama au majini au dr. Hussein ni katibu kata sio Raisi[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
[emoji41]Madaraka yanalewesha kuliko hata Spirytus Rektyfikowany (96% Alcohol)![emoji28]
Nipo kile kingineMawazo ya kikundi flani kuhusu Mama...sina uhakika kama na wewe umo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwinyi sio model ya kufuatwa na marais wote mkuu
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Endeleeeni kushabikia upuuz wenu huo..siku yakikukutaa ndo utataman na ww kwenda kwa mwenye mamlaka ya ju..ushezi wa ushabik unamaliza wengi..kama nyie wapuuzi puuzi wa humu jfNimependa Sana hii, haya maigizo ya kijinga ifike muda tuyapuuze yanaleta unafiki na utwana kwa viongozi wetu
Hii kwa Zanzibar itawezekana ila sio bara, Zanzibar ni kama wilaya moja huku bara
Watu milioni 60 wakutumie kero zao kupitia app?[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Okerebhuke?Nimependa Sana hii, haya maigizo ya kijinga ifike muda tuyapuuze yanaleta unafiki na utwana kwa viongozi wetu