Kila utawala na mambo yake
==========
Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae.
Mpumbavu ni wewe na kizazi chako! Zurumati mkubwa!Maigizo yote haya yaliletwa na Magufuli kwa kutaka cheap popularity na kujifanya eti anapenda Saana wanyonge.
Upumbavu mtupu
Kwa nini asimwambie hata jaji mkuu msikilize hiyo mama?Hayo mambo si ya kukurupuka ovyo, Magufuli alikuwa anapenda kukurupuka ndio maana yule mama wa Tanga alimdanganya kudhulumiwa mirathi ya mumewe kumbe yeye ndio tapeli.
Kwahyo unataka Rais akawe hakimu ama Judge kwa muda huo huo mfupi hapo na atoe maamuz!!?Sasa kama hawasaidiwi waende kwa nani. Acheni kupwekesha jukumu la Rais.
Ukisema hawezi kusimamia mambo utapungukiwa na nini?
Hata Magufuli hakufanya maamuzi pale pale alikabidhi kwa vyombo husika! Ila huyu sasa? Kwanza mwanamke mwemzie halafu lugha inayotumika? Kwa kifupi huyu bibi hanaga habari na watu wa maisha duni!Kwahyo unataka Rais akawe hakimu ama Judge kwa muda huo huo mfupi hapo na atoe maamuz!!?
Sasa hamuoni kama atakuwa ameingilia muhimili mwingine!?! Halafu kesho muanze tena kumsema vibaya
Si kaambiwa awape wasaidizi wake na itashughulikiwa au wewe ulitaka rais atoe tu maagizo na amri bila kujua undani/ukweli wa jambo lenyewe?Kwa nini asimwambie hata jaji mkuu msikilize hiyo mama?
Wapiga kura hao mkuu lazima kubalance mambo nao hufanya makosa ili mkosane. HIYO KURA IMEPOTEA HIYOUle ujinga wa maigizo hatutaki,safi Sana Rais..
Haiwezekani kila mwenye tatizo amtafute Rais.
Wafuasi wa jiwe mmefura sanaWewe mpumbavu unaona ujinga!
Si kaambiwa awape wasaidizi wake na itashughulikiwa au wewe ulitaka rais atoe tu maagizo na amri bila kujua undani/ukweli wa jambo lenyewe?
Kwa maana nyingine kamanisha mbowe
==========
Mama mmoja amesikika akimuomba Msheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassani kuwa anaomba atendewe haki, mama huyo amerudia mara 3 kusema anaomba atendewe haki, Lakini Rais Samia alimjibu kuwa hawa hapa wapo umeshatuandikia litanifikia nenda kakae. Rais Samia Aliendelea kusema kuwa ona yanajitokeza hata hapa. Hivyo kusisitiza mahakama zitende haki kwa kuangalia utu wa mtu.
watu hawaamini katika system..tatizo kubwa sana hili, hata angemsaidia hapo ingekuwa kama tone kwenye bahari maana cases kama hizo zipo nyingi sanaWatu wako desperate. Ukiona hivyo ujue huko kwingine wanaona kama vile hawapati haki zao.
Tatizo lake ni lugha aliyotumia! Inakera sana! Pia hajatilia mkazo kama atafatilia kuhusu hilo suala!watu hawaamini katika system..tatizo kubwa sana hili, hata angemsaidia hapo ingekuwa kama tone kwenye bahari maana cases kama hizo zipo nyingi sana