Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,017
- 1,733
Duuu kweli hapo mkuu wa nchi amechemka yaani unashindwaje kumsikiliza aliekuweka hapo,na pia kama ilikuwa ni kwa sababu anatoa hotuba ni kwanini asimwambie subiri nimalize takuita.Imenisikitisha sana!! Lugha!