Duka la Vunjabei hapa Mbeya mbona limedoda sana?

Duka la Vunjabei hapa Mbeya mbona limedoda sana?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Ni mwaka sasa niko Mbeya, huyu jamaa anajiita vunjabei alifunggua duka lake hapa Sido mbeya kwa mbwembwe lakini naamini hauzi hata laki mbili kwa siku maana hakuna wateja kabisa pale.

Nikipita maeneo yale ya sido naona wafanyakazi wake wamekaa nje tu wamejishika tama.

Tatizo nini wakuu?
 
Ni mwaka sasa niko mbeya,huyu jamaa anajiita vunjabei alifunggua duka lake hapa Sido mbeya kwa mbwembwe lakini naamini hauzi hata laki mbili kwa siku maana hakuna wateja kabisa pale.
Nikipita maeneo yale ya sido naona wafanyakazi wake wamekaa nje tu wamejishika tama.
Tatizo nini wakuu?
Sasa tshirt zake ukifua zinakua nusu ya kanzu
 
Back
Top Bottom