masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Kabisaaa sema watu wanachukua sana wenzao wakifanikiwaKuna biashara zinauza kwa msimu kama vile nguo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa sema watu wanachukua sana wenzao wakifanikiwaKuna biashara zinauza kwa msimu kama vile nguo
Tulia wewee
Yaani nilivosikia vunja Bei akili yangu ilikua inanituma vitu vitakua vinauzwa Bei cheap lakini mambo yamekua vice versaNi mwaka sasa niko mbeya,huyu jamaa anajiita vunjabei alifunggua duka lake hapa Sido mbeya kwa mbwembwe lakini naamini hauzi hata laki mbili kwa siku maana hakuna wateja kabisa pale.
Nikipita maeneo yale ya sido naona wafanyakazi wake wamekaa nje tu wamejishika tama.
Tatizo nini wakuu?
😁😁 midosho fc
Nguo mpya aka RONYA...Kuvaa mtumba ni hatari na uchafu Bora kuvaa nguo mpya kwa vunja bei
Nenda na wewe kafanye ya Siri tuone ka utatoboa Mkuu...acheni kubeza hustle za wanaume wenzenu...Vunjabei labda kama ana biashara nyingine ya siri inayomfanya avimbe mjini,ila.kama ni hayo matambara yake anayouza,ataishia kuwashika washamba wa huko kwao makete.