RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 2,018
- 5,752
Daima masikin hufurahi anguko la mtu....ww mtoa uzi per day unaingza sh ngap...kwa mwandiko huu na uhakika huna ktu... Pray to wish best for others..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mbeya ni issue sana kutoboa kwasababu Mtumba pale ndio umeshika soko kuliko maspesho hayoNi mwaka sasa niko mbeya,huyu jamaa anajiita vunjabei alifunggua duka lake hapa Sido mbeya kwa mbwembwe lakini naamini hauzi hata laki mbili kwa siku maana hakuna wateja kabisa pale.
Nikipita maeneo yale ya sido naona wafanyakazi wake wamekaa nje tu wamejishika tama.
Tatizo nini wakuu?
Fanya yako mkuu utapoteza sana muda kwa kufuatilia ya wenzako huku uzee ukikukimbiza kwa Kasi mwishoe uwe mchawi uzeeniNi mwaka sasa niko mbeya,huyu jamaa anajiita vunjabei alifunggua duka lake hapa Sido mbeya kwa mbwembwe lakini naamini hauzi hata laki mbili kwa siku maana hakuna wateja kabisa pale.
Nikipita maeneo yale ya sido naona wafanyakazi wake wamekaa nje tu wamejishika tama.
Tatizo nini wakuu?
Ni mwaka sasa niko mbeya,huyu jamaa anajiita vunjabei alifunggua duka lake hapa Sido mbeya kwa mbwembwe lakini naamini hauzi hata laki mbili kwa siku maana hakuna wateja kabisa pale.
Nikipita maeneo yale ya sido naona wafanyakazi wake wamekaa nje tu wamejishika tama.
Tatizo nini wakuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani weweBalenciaga za buku buku anauza Dolla 200[emoji28]
Umeniwahi...yani pale huuzi mgeniMbeya kwa uchawi tena.atauzaje??
Kina johnthebaptist professa mgaya na masanja mkandamizaji.Vunjabei labda kama ana biashara nyingine ya siri inayomfanya avimbe mjini,ila.kama ni hayo matambara yake anayouza,ataishia kuwashika washamba wa huko kwao makete.
Hizi ni dalili za tabia za binadamu mwenye roho mbaya na fukara wa kutupwaNi mwaka sasa niko mbeya,huyu jamaa anajiita vunjabei alifunggua duka lake hapa Sido mbeya kwa mbwembwe lakini naamini hauzi hata laki mbili kwa siku maana hakuna wateja kabisa pale.
Nikipita maeneo yale ya sido naona wafanyakazi wake wamekaa nje tu wamejishika tama.
Tatizo nini wakuu?
Lakini mgeni ni Mkinga sindio wachawiseUmeniwahi...yani pale huuzi mgeni
Tulia weweeVunjaBei ni sanamu la kuchongwa ili kuinspaya vijana.
Yani hao si washazoeleka huko mgeni let say msukuma hivi au mgogo au mhaya..Lakini mgeni ni Mkinga sindio wachawise
😃😃😃Kina johnthebaptist professa mgaya na masanja mkandamizaji.
Namkumbuka kama ni motivational speaker vile kuna kitu najifunza ambacho naanza kuthibisha uandishi wangu kuhuau enthusiasm and uncertaintyNi mwaka sasa niko mbeya,huyu jamaa anajiita vunjabei alifunggua duka lake hapa Sido mbeya kwa mbwembwe lakini naamini hauzi hata laki mbili kwa siku maana hakuna wateja kabisa pale.
Nikipita maeneo yale ya sido naona wafanyakazi wake wamekaa nje tu wamejishika tama.
Tatizo nini wakuu?
oa weweTulia wewee
Cc. Sir MidabwadaHana nguo kali ana midabwada tu😁😄