Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Ada iliyokusomesha bora baba yako angecheza dubwi la kichinaKwa kuwa ni mwarabu mwenzako umepanik?
Unalipiaje parking kwa ajili ya kufungua duka? Trna kwenye lami? Kama ni hivyo si awe tu machinga?
Waalabu watawanyonya mpaka macho hayo subirini tu watumwa wakubwa,
Halafu huyu wala si mtanzania huyu, hakuna mwalabu yoyote mtanzania
YoteShida ni kununua parking space na kutoitumia kama parking kwa kupanga vitambaa AU shida ni mwarabu sio mtanzania???
Mjomba taratibu basi, wapi nimesema ni viwanja?Nadhani una matatizo zaidi ya haya malalamiko unayotoa hapa
Mtu kanunua viwanja vyake kihalali na hati anazo
Wewe mchuma chumvi unakuja mpangia matumizi ya hivyo viwanja
Ustaarabu gani huo?
Private property ni private property huna cha kusema juu yake.
Wewe kama unataka ardhi kanunue ufanyie hapo biashara
Ushenzi wa kuzunguka kwenye vipande vya watu na kujifanya eti unataka kufanya umachinga hapo ni ukichaa
Hoja yako ya kipumbavu sana,eti zamani zilikua parking,sasa hivi kanunua yeye,anapanga matumizi anavyotaka yeye na sio wewe
Masikini ni hatari sana,majitu ya hovyo sana...Masikini ndio chanzo cha wizi,uuaji,hali zote mbaya
Na wewe ni tatizo na umasikini wako kaa nao huko
Na ndio nilioilenga hapa, nashangaa wamekuja wasemaji wengineeeeMkuu hayo maswali ulitakiwa uhiulize serikali yako iliyo mkodishia.
HAPANA sio watanzania sema ww, mm nina ushahidi weusi wakitajirika ni wakorofi kuliko hata hao waarabuHili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,
Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,
Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.
At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,
Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi
Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Hii ni post ya kipumbavu sana tangu mwaka huu uanzeHili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,
Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,
Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.
At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,
Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi
Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
HAPANA sio watanzania sema ww, mm nina ushahidi weusi wakitajirika ni wakorofi kuliko hata hao waarabu
Ngojeni sasa tuchukue hatua halafu ndio muanze kutafta pa kutokea, unadhani wahusika wakishindwa kuchukua hatua watanzania kama watanzania watashindwa kumshughulikia huyu? Dakika sifuri tu mbona huyu anarudi kwao omani sijui Yemeni hukoHii ni post ya kipumbavu sana tangu mwaka huu uanze
Bora akitajirika mweusi mwenzetu kuliko mwarabu kutunyanyasaHAPANA sio watanzania sema ww, mm nina ushahidi weusi wakitajirika ni wakorofi kuliko hata hao waarabu
Jaribu uone, haya mambo unawajibika kwa jina lako, hao "wa Tanzania" Hutawaona ukiwa unaenda gerezani, gerezani unaingia kwa jina lakoNgojeni sasa tuchukue hatua halafu ndio muanze kutafta pa kutokea, unadhani wahusika wakishindwa kuchukua hatua watanzania kama watanzania watashindwa kumshughulikia huyu? Dakika sifuri tu mbona huyu anarudi kwao omani sijui Yemeni huko
Hakuna hiyo ni gen z tuJaribu uone, haya mambo unawajibika kwa jina lako, hao "wa Tanzania" Hutawaona ukiwa unaenda gerezani, gerezani unaingia kwa jina lako
Wengine waarabu wa kuchovya, wanateteana😇😇😇🤣🤣🤣🤣Mbona juzi humu ililetwa mada ya kuwaondosha wachina kariakoo wanaofanya biashara za maduka vipi mbona haukukurupuka hivi kuteteA?
Mbwa hawaWengine waarabu wa kuchovya, wanateteana😇😇😇🤣🤣🤣🤣