Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Mji mkubwa ila mnaenda kuziba maduka ya watu , wanalipia fremu na Kodi na wafanyakaz hlf mbuz mmoja anaziba fremu yake
Acha kuandika useng€ kodi kodi yenyewe wanalipa kodi gani hao kum@ ?
Unajua kodi wewe ?
Hivyo vimishahara vya laki moja ndio vya kusacrifice future ya watu nchi nzima , unajua kwa kuwafurusha hao wapuuzi wote ni fursa ngapi zingezalishwa kwa watanzania wazaawa hapo kariakoo ?
Wewe unaona ni sawa kuwa na kundi la mamilioni ya wazawa wanafanya shughuli za kishenzi na ujira duni ,wakati kungekuwa na fursa za uchuuzi ingekuwa ni fursa za kwao kukuza kipato na kupiga hatua kiuchumi kuliko kuneemesha wageni wapumbavu toka Asia ?
Hivi unaangalia hata future ya hii nchi na kizazi chako ?
Au ndio kuangalia kwa urefu wa pua yako na tumbo lako kwa vile uneajiriwa kama kuli au winga kwenye duka la mhindi au mwarabu au mchina hapo kariakoo na wewe unajiona umeyapata maisha au sio ?
Pumbafu
Hii nchi siku Mungu akinijalia kuwa kiongozi napiga risasi za vichwa Kenge wote kama ninyi
 
Mbongo gani eh
Acha kuandika upuuzi wewe
Mbongo gani kajazana Asia anafanya uchuuzi mitaani wewe Kenge ?
Sasa mtu kama ww ambaye hujawahi kutembea popote zaidi ya ndani ya Tz ni halali yako kusema hivyo.
Ukienda kuanzia Uturuki, China, mashariki ya kati yote waafrica wamejaa wakifanya uchuuzi.

Kwani ww unadhani hata wakiwakataza ndo waafrica wataendelea ?
Vip Idi Amini alipo wanyanganya wahindi biashara zao na kuwapa waafrica vipi iliwasaidia nini?
Mugabe alipo wanyanganya wazungu ardhi na kuwapa waafrica vipi Zimbabwe iliendelea.
Alafu mtu kutokuwa mweusi haukuondolei uhalali wa kuwa mTz mzawa.
 
Kodi wanalipa wazungu kwenye migodi na wenye viwanda na si hawa mbwa parasites wanaofanya uchuuzi huko kariakoo na kwingine .
Uchuuzi ufanywe na wazawa ,period !
Pumbafu .
Leo hii Trump angekuwa rais hapa hii ingekuwa policy namba moja , ni common sense Tu .
Huwezi ruhusu mbinyo wa fursa za kiuchumi kwa raia wako wakati unajua nchi hii inawatu milioni 65 masikini na wasio na ajira na asilimia kubwa ni wachuuzi na wakulima na wewe unaenda kuweka mbinyo huko kwa kuruhusu influx ya watu wanaokuja kufanya competition humo tena kwa mitaji mikubwa na unategemea uchumi wa raia wako kukua

Huu ni ukosefu wa akili
 
Kodi wanalipa wazungu kwenye migodi na wenye viwanda na si hawa mbwa parasites wanaofanya uchuuzi huko kariakoo na kwingine .
Uchuuzi ufanywe na wazawa ,period !
Pumbafu .
Leo hii Trump angekuwa rais hapa hii ingekuwa policy namba moja , ni common sense Tu .
Huwezi ruhusu mbinyo wa fursa za kiuchumi kwa raia wako wakati unajua nchi hii inawatu milioni 65 masikini na wasio na ajira na asilimia kubwa ni wachuuzi na wakulima na wewe unaenda kuweka mbinyo huko kwa kuruhusu influx ya watu wanaokuja kufanya competition humo tena kwa mitaji mikubwa na unategemea uchumi wa raia wako kukua

Huu ni ukosefu wa akili
 
Sasa mtu kama ww ambaye hujawahi kutembea popote zaidi ya ndani ya Tz ni halali yako kusema hivyo.
Ukienda kuanzia Uturuki, China, mashariki ya kati yote waafrica wamejaa wakifanya uchuuzi.

Kwani ww unadhani hata wakiwakataza ndo waafrica wataendelea ?
Vip Idi Amini alipo wanyanganya wahindi biashara zao na kuwapa waafrica vipi iliwasaidia nini?
Mugabe alipo wanyanganya wazungu ardhi na kuwapa waafrica vipi Zimbabwe iliendelea.
Alafu mtu kutokuwa mweusi haukuondolei uhalali wa kuwa mTz mzawa.
Usiniambie waAfrica nitajie wabongo wangapi wapo India ,China , Turkey ,Dubai nk wanafanya uchuuzi mitaani ,Leta hapa facts .
Au wewe ndio unadhani umetembea kuliko wengine humu !
Acha ujinga wewe ,by the way idadi ya hao wachuuzi huko hailingani na gharama tunayolipa kama taifa la watu milioni 65 kwa kuruhusu hawa parasites kuexist humu kwa kazi za uchuuzi .
Kama unataka kuwa mchuuzi Asia nenda wewe
Ni mtu asiye na akili ndio atawaza kama unavyowaza wewe
 
Usiniambie waAfrica nitajie wabongo wangapi wapo India ,China , Turkey ,Dubai nk wanafanya uchuuzi mitaani ,Leta hapa facts .
Au wewe ndio unadhani umetembea kuliko wengine humu !
Acha ujinga wewe ,by the way idadi ya hao wachuuzi huko hailingani na gharama tunayolipa kama taifa la watu milioni 65 kwa kuruhusu hawa parasites kuexist humu kwa kazi za uchuuzi .
Kama unataka kuwa mchuuzi Asia nenda wewe
Ni mtu asiye na akili ndio atawaza kama unavyowaza wewe
Hakika mkuu, hawa jamaa ni kwanza wabaguzi kupita kiasi

Halafu wanatunyonya sana
Wala husikii wakijenga hapa bali kwaoo
Hatuwezi kupoga hatua maisha
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu

Mkuu, kwani unataka kupark gari lako hapo? 😅😅😅

Anyways, acha pabaki wazi duka lionekane wateja wake wasipate tabu kufika, punguza makasiriko.
 
Mkuu, kwani wewe unagari unataka kupark hapo? 😅😅😅

Anyways, acha pabaki wazi duka lionekane wateja wake wasipate tabu kufika, punguza makasiriko.
Sio habari ya display, yaani anaonekana vizuri tu kwake, ila haya maduka mengineyo yasiyo yake kwanini amenunua hizi parking ambazo si zake? Yaani hao jiji wamekula hela na ndio kumpa maeneo sio yake?

Kama sehemu haina gari na si yake basi iwanufaishe wengine, sasa yeye hii haitumii na anazuia watu wasiitumie na si yake

HUU NI UKABURU
 
Sio habari ya display, yaani anaonekana vizuri tu kwake, ila haya maduka mengineyo yasiyo yake kwanini amenunua hizi parking ambazo si zake? Yaani hao jiji wamekula hela na ndio kumpa maeneo sio yake?

Kama sehemu haina gari na si yake basi iwanufaishe wengine, sasa yeye hii haitumii na anazuia watu wasiitumie na si yake

HUU NI UKABURU
Naelewa uchungu wako, ila kama kalipia sasa ni haki yake kuiweka reserved kwa matumizi yake.
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu


Mwekezaji wa Duka la vitambaa.
😂😂😂😂😂
Shainzee sana.
Hivi kule GWTZD Hakuna wazalendo wanaofikia 800 hivi wakawafurumisha hawa wauza nchi na wateja wao?
 
Usiniambie waAfrica nitajie wabongo wangapi wapo India ,China , Turkey ,Dubai nk wanafanya uchuuzi mitaani ,Leta hapa facts .
Au wewe ndio unadhani umetembea kuliko wengine humu !
Acha ujinga wewe ,by the way idadi ya hao wachuuzi huko hailingani na gharama tunayolipa kama taifa la watu milioni 65 kwa kuruhusu hawa parasites kuexist humu kwa kazi za uchuuzi .
Kama unataka kuwa mchuuzi Asia nenda wewe
Ni mtu asiye na akili ndio atawaza kama unavyowaza wewe
Mkuu punguza hasira umekula mchana? by the way wabongo ni waoga hata tukisafiri huko nje ya mipaka safari za mbali unajikuta uko peke yako, wabongo wanaenda dubai na china na uturuki kwa uchache, ila wenzetu majirani na wa afrika ya magharibi wanajilipua sana sisi waoga mno.
 
Mkuu punguza hasira umekula mchana? by the way wabongo ni waoga hata tukisafiri huko nje ya mipaka safari za mbali unajikuta uko peke yako, wabongo wanaenda dubai na china na uturuki kwa uchache, ila wenzetu majirani na wa afrika ya magharibi wanajilipua sana sisi waoga mno.
Ni kweli na tatizo ni lugha
Yaani wakiwa inje hata kuongea kiswahili wanaogopa, sasa hiyo english mwanangu balaa
 
Back
Top Bottom