Dulla mbabe hamuwezi Twaha Kiduku, atake asitake

Dulla mbabe hamuwezi Twaha Kiduku, atake asitake

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Herehoa!

Leo nimeiangalia hii mechi ya hawa mabondia waliozoea kutambiana, nimefurahi kuona sijapoteza usingizi wangu bure.
Pambano lilikuwa zuri Sana. Waandaaaji walijipanga kufanikisha hili, hivyo nawapongeza Sana.

Lakini Kwa vile Mimi nami naishi Mkoa wa Morogoro Kwa kweli najisikia furaha Kwa USHINDI wa Twaha Kiduku ambaye amemtwanga Dulla.

Sasa hakuna ubishi tena kuwa Kati ya Twaha Kiduku na Dulla mbabe Nani kidume Kwa mwenzake.

Kitu pekee nilichojifunza kwenye Pambano hili kutoka Kwa Twaha Kiduku ni Kama ifuatavyo;

1. Usiwe mjivuni.
Twaha Kiduku, sio mjivuni, ninamfahamu Kwa kumuona, na Kwa vile Maeneo anayofanyia mazoezi ni karibu na ofisi yangu, ninaweza Kueleza hili pasipo shida.
Twaha Hana ujivuni, hajisikii na yupo simple Sana.
Hiyo ni akiwa huku kitaa.

Kwa upande wa akiwa ulingoni pia Twaha sio mtu wa ujivuni. Hana mbwembwe, Hana sifa Kama Sisi kina Taikon tunapenda misifa.
Kwenye mechi hii Kwa walioangalia wataungana na Mimi kuwa Twaha tangu anaingia kwenye ukumbi Hana ujivuni, tofauti na Dulla ambaye anapenda mbwembwe na mikwala.

Hii inatufundisha kuwa ajishushaye hukwezwa, ajikwezaye hushushwa.

2. Sio muoga.
Unajua watu wengi hutishwa na mikwala ya Adui zao. Dulla mbabe licha ya mikwala yake isiyoisha, mbwembwe za kuingia ulingoni, na sapoti kubwa aliyonayo bado haikumfanya Twaha amuogope.
Unajua Kwa mtu muoga ni rahisi kutishwa na mambo madogo Kama hayo.

Mechi ya leo inatufundisha kuwa tusitishwe na maneno ya Adui yetu.

3. Ufanisi na Weledi
Twaha kapigana Kwa weledi mkubwa Sana.
Kashambulia kuanzia raundi ya pili mpaka ya mwisho Kwa ufanisi wa Hali ya juu.

Twaha alitumia mbinu ya kushambulia zaidi pasipo kumpa nafasi Dulla mbabe,
Ingawaje raundi ya Kwanza Dulla
akiishambulia zaidi, alimpigaa Jab,/Ngumi Jinni ambayo ilimpeleka chini Twaha na ilibaki kidogo mchezo uishie pale na kuwa TKO.

Kwa Pambano hili, wote walioangalia wataungana na Mimi kuwa Dulla hamuwezi Twaha Kiduku, yaani kampiga Kama mtoto mdogo. Licha ya Dulla kujifanya anafurukuta.

Kesho wanamorogoro tutaandamana kuanzia Mikese mpaka Morogoro mjini, tukiwa na Crown yetu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Morogoro.
 
Herehoa!

Leo nimeiangalia hii mechi ya hawa mabondia waliozoea kutambiana, nimefurahi kuona sijapoteza usingizi wangu bure.
Pambano lilikuwa zuri Sana. Waandaaaji walijipanga kufanikisha hili, hivyo nawapongeza Sana.

Lakini Kwa vile Mimi nami naishi Mkoa wa Morogoro Kwa kweli najisikia furaha Kwa USHINDI wa Twaha Kiduku ambaye amemtwanga Dulla.

Sasa hakuna ubishi tena kuwa Kati ya Twaha Kiduku na Dulla mbabe Nani kidume Kwa mwenzake.

Kitu pekee nilichojifunza kwenye Pambano hili kutoka Kwa Twaha Kiduku ni Kama ifuatavyo;

1. Usiwe mjivuni.
Twaha Kiduku, sio mjivuni, ninamfahamu Kwa kumuona, na Kwa vile Maeneo anayofanyia mazoezi ni karibu na ofisi yangu, ninaweza Kueleza hili pasipo shida.
Twaha Hana ujivuni, hajisikii na yupo simple Sana.
Hiyo ni akiwa huku kitaa.

Kwa upande wa akiwa ulingoni pia Twaha sio mtu wa ujivuni. Hana mbwembwe, Hana sifa Kama Sisi kina Taikon tunapenda misifa.
Kwenye mechi hii Kwa walioangalia wataungana na Mimi kuwa Twaha tangu anaingia kwenye ukumbi Hana ujivuni, tofauti na Dulla ambaye anapenda mbwembwe na mikwala.

Hii inatufundisha kuwa ajishushaye hukwezwa, ajikwezaye hushushwa.

2. Sio muoga.
Unajua watu wengi hutishwa na mikwala ya Adui zao. Dulla mbabe licha ya mikwala yake isiyoisha, mbwembwe za kuingia ulingoni, na sapoti kubwa aliyonayo bado haikumfanya Twaha amuogope.
Unajua Kwa mtu muoga ni rahisi kutishwa na mambo madogo Kama hayo.

Mechi ya leo inatufundisha kuwa tusitishwe na maneno ya Adui yetu.

3. Ufanisi na Weledi
Twaha kapigana Kwa weledi mkubwa Sana.
Kashambulia kuanzia raundi ya pili mpaka ya mwisho Kwa ufanisi wa Hali ya juu.

Twaha alitumia mbinu ya kushambulia zaidi pasipo kumpa nafasi Dulla mbabe,
Ingawaje raundi ya Kwanza Dulla
akiishambulia zaidi, alimpigaa Jab,/Ngumi Jinni ambayo ilimpeleka chini Twaha na ilibaki kidogo mchezo uishie pale na kuwa TKO.

Kwa Pambano hili, wote walioangalia wataungana na Mimi kuwa Dulla hamuwezi Twaha Kiduku, yaani kampiga Kama mtoto mdogo. Licha ya Dulla kujifanya anafurukuta.

Kesho wanamorogoro tutaandamana kuanzia Mikese mpaka Morogoro mjini, tukiwa na Crown yetu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Morogoro.

Lala bana kijana wa Makanya
 
Yule mpembavu katutia aibu sisi wanaume wa dar,leo gari limeondoka ipo siku hata wakezetu wataondoka kwa stahili hii[emoji24][emoji24]


Dulla maneno mengi Sana alafu uwezo mdogo.

Leo sikuwa upande wowote ili niangalie kaa Uhuru Pambano hili. Kwa kweli Dulla kapigwa pasipo kuacha Shaka yoyote

Alafu alitaka amuotee raundi ya Kwanza na Ngumi yake ya kichawi.
Ile Ngumi Kwa Sisi wenye jicho la tatu ilikuwa Ngumi ya USHINDI Kwa Dulla, kitendo cha Twaha kuendelea kulimchanganya na kumaliza nguvu Dulla
 
Herehoa!

Leo nimeiangalia hii mechi ya hawa mabondia waliozoea kutambiana, nimefurahi kuona sijapoteza usingizi wangu bure.
Pambano lilikuwa zuri Sana. Waandaaaji walijipanga kufanikisha hili, hivyo nawapongeza Sana.

Lakini Kwa vile Mimi nami naishi Mkoa wa Morogoro Kwa kweli najisikia furaha Kwa USHINDI wa Twaha Kiduku ambaye amemtwanga Dulla.

Sasa hakuna ubishi tena kuwa Kati ya Twaha Kiduku na Dulla mbabe Nani kidume Kwa mwenzake.

Kitu pekee nilichojifunza kwenye Pambano hili kutoka Kwa Twaha Kiduku ni Kama ifuatavyo;

1. Usiwe mjivuni.
Twaha Kiduku, sio mjivuni, ninamfahamu Kwa kumuona, na Kwa vile Maeneo anayofanyia mazoezi ni karibu na ofisi yangu, ninaweza Kueleza hili pasipo shida.
Twaha Hana ujivuni, hajisikii na yupo simple Sana.
Hiyo ni akiwa huku kitaa.

Kwa upande wa akiwa ulingoni pia Twaha sio mtu wa ujivuni. Hana mbwembwe, Hana sifa Kama Sisi kina Taikon tunapenda misifa.
Kwenye mechi hii Kwa walioangalia wataungana na Mimi kuwa Twaha tangu anaingia kwenye ukumbi Hana ujivuni, tofauti na Dulla ambaye anapenda mbwembwe na mikwala.

Hii inatufundisha kuwa ajishushaye hukwezwa, ajikwezaye hushushwa.

2. Sio muoga.
Unajua watu wengi hutishwa na mikwala ya Adui zao. Dulla mbabe licha ya mikwala yake isiyoisha, mbwembwe za kuingia ulingoni, na sapoti kubwa aliyonayo bado haikumfanya Twaha amuogope.
Unajua Kwa mtu muoga ni rahisi kutishwa na mambo madogo Kama hayo.

Mechi ya leo inatufundisha kuwa tusitishwe na maneno ya Adui yetu.

3. Ufanisi na Weledi
Twaha kapigana Kwa weledi mkubwa Sana.
Kashambulia kuanzia raundi ya pili mpaka ya mwisho Kwa ufanisi wa Hali ya juu.

Twaha alitumia mbinu ya kushambulia zaidi pasipo kumpa nafasi Dulla mbabe,
Ingawaje raundi ya Kwanza Dulla
akiishambulia zaidi, alimpigaa Jab,/Ngumi Jinni ambayo ilimpeleka chini Twaha na ilibaki kidogo mchezo uishie pale na kuwa TKO.

Kwa Pambano hili, wote walioangalia wataungana na Mimi kuwa Dulla hamuwezi Twaha Kiduku, yaani kampiga Kama mtoto mdogo. Licha ya Dulla kujifanya anafurukuta.

Kesho wanamorogoro tutaandamana kuanzia Mikese mpaka Morogoro mjini, tukiwa na Crown yetu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Morogoro.
Bahati mbaya sana umechambua Kimahaba na siyo Kiutaalam / Kiufundi zaidi.

Kuna Bondia hapa umemtaja kuwa ni Mjivuni mbona nawe pia unaonekana ni Mjivuni na Mbinafsi?

Je, ikitokea wakarudiana na Dulla akaibuka Mshindi utakuja kusemaje labda hapa Kwetu Great Thinkers?
 
Bahati mbaya sana umechambua Kimahaba na siyo Kiutaalam / Kiufundi zaidi.

Kuna Bondia hapa umemtaja kuwa ni Mjivuni mbona nawe pia unaonekana ni Mjivuni na Mbinafsi?

Je, ikitokea wakarudiana na Dulla akaibuka Mshindi utakuja kusemaje labda hapa Kwetu Great Thinkers?


Mimi sio bondia Mkuu.
Na nimeshaeleza kuwa Mimi napenda sifa, ndivyo nilivyo,

Hata warudiane mara ngapi Dulla Hana uwezo wa kumpiga Twaha, labda Kwa ndumba Kama alivyotaka kufanya katika raundi ya Kwanza.

Hii ni mara ya tatu Wanapigana. Na Dulla zote kakaa.

Kama ulikuwa unaangalia mechi ya Jana utaungana na Mimi kuwa Dulla hamuwezi Twaha.

Ni ubishi wake wa kizaramo na mdomo mwingi ambao wanaume WA Dar wamejaliwa
 
Back
Top Bottom