Dullah Planet(EARADIO/EATV) weka wazi WCB wamekukosea nini?

Si walisema watu wajipendekeze sasa wao kama hawakuona kuwa wanafaa kushindanishwa kuna tatizo?
Ina maana ni wao tu ambao hawakuchukua form, mbona wasanii wengi hawakuchukua kwanini iwe wcb tu ndiyo waonekane wamefanya kosa?
hata mimi nimeshangaa
 
Hivi ni wasafi pekee hawakushiriki? halafu kama ni mfatiliaji kabla ya hizo tunzo walikuwa na mgogoro na Diamond...
 
Hatupangiwi kazi,Kodi yulipe sisi,kuajiri tuajiri sisi,Alafu utupangie nyimbo upendazo? Rudi kwenu matombo kachague nyimbo kwenye ile redio jamii!

Eti za Diamond na WCB!
Basi waaache kabisa sio wawe wanafiki
 
Hivi ni wao pekee ndio hawakuchukua fomu? niweke wazi
 
Hivi ni wasafi pekee hawakushiriki? halafu kama ni mfatiliaji kabla ya hizo tunzo walikuwa na mgogoro na Diamond...
Iyo ndo ilichochea zaid mkuu..sabb eatv walitaka kumaliza ubishi au.kushindanisha zile tuzo kati ally kiba na diamond pia wasafi walitoa maneno sio mazur kwa.uongozi wa eatv ple.walipoombwa kushiriki uchukuaji form
 
...Dullah anapiga mizinga ya heshima hapa kwa wenye Bongo Flavour yao,
.hayo majungu kaongee na dada zako!
 
Hapa sasa ndyo nimeelewa vzur sana,nakumbuka tuzo hzo niliziangalia nikiwa chuo na 'Salama J' ndye aliyekuwa mc,kiukweli Wcb walipaswa kuona kuwa wamekosea na kuuomba uongoz was eatv/ea- radio msamaha ili maisha yaendelee
 
Tunajua kwnn clouds hawakupiga nyimbo kwa kipind hicho chote.. lkn hatujua kwann eatv na radio yake hawpigi nyimbo za diamond na wcb.. upo?
 
Sasa wewe umepinga tu si uongee ukweli wako sasa
 
Dulla hausiki kwenye hilo tatizo ni la kimenejiment kumbuka hawa jamaa wamewahi kuandaa tuzo la wcb walichomoa kushiliki hizo tuzo tatizo lilianzia hapo
Nafikiri hii ndo fact.. na hapa ndipo tatizo lilianzaa
 
Okay..ukinipiga ban basi usiniongelee piaa.. kwnn uniongeleeeeee? Tena kinafikiii
 
Ea radio daah hakuna redio yenye power tz hii kama ea..yaan ina frequency moja matata uki tune tuu unajua hapa niko wapi kama umetia flash...asee wanamitambo hawajamaa..ndio ufananisha na huo upuuzi efm, sjui clauz sauti haijulikani kama inatoka kwenye mtungi au redioni hapo inafuata capital redio..
 
wanalizimisha maji kupanda mlima walitaja washindi wa BET rayvanny hakutajwa .....wanachuki za kina bashite
inaweza kuwa au si kweli ila ile tuzo ya van unapewa nje ya ukumbi yani hata kwenye live perfomance ya watu wa tuzo ile bet hawajawaweka it means bet wao ile ni tuzo isiyo na mashiko
 
alipiga ngoma gani daaah jamaa nimemmis mno... bonge la dj
 
naunga mkono hoja hawa jamaa kama antena yako chenga huwapati kamwe sijui mitambo yao ni digital ile maana hata sauti haifananiii na redio zingine kabisa ukiwa unasikiliza
 
Nimefanya utafiti na nimegundua kuwa Dullaha ndio chanzo kikuu kwa nyimbo za WCB kutopigwa kwenye vituo vyao..
Siku ya birthday ya dullah alichagua wimbo wa diamond wakaupiga, pia kumbukeni huyo diamond mwenyewe alishasema hategemei nguvu ya vyombo vya habari unategemea watampa airtime hata mimi siwezi, pia kupigwa kwa wimbo kunategemeana na djs, producer wa kipindi na idara ya muziki kama DJ Kim na wengine sidhani kama ni haki kumlaumu dullah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…