Dullah Planet(EARADIO/EATV) weka wazi WCB wamekukosea nini?

Iyo ndo ilichochea zaid mkuu..sabb eatv walitaka kumaliza ubishi au.kushindanisha zile tuzo kati ally kiba na diamond pia wasafi walitoa maneno sio mazur kwa.uongozi wa eatv ple.walipoombwa kushiriki uchukuaji form
Maneno gani hayo?
Mbona kabla ya hizo tuzo diamond na rayvanny waliitwa FNL na walisifia kuhusu hizo tuzo na wakawa wanawasisitiza wasanii wakachukue form.
 
Hapa sasa ndyo nimeelewa vzur sana,nakumbuka tuzo hzo niliziangalia nikiwa chuo na 'Salama J' ndye aliyekuwa mc,kiukweli Wcb walipaswa kuona kuwa wamekosea na kuuomba uongoz was eatv/ea- radio msamaha ili maisha yaendelee
Walikosea nini? Basi wasingesema wasanii wajipendekeze wangewashindanisha tu.
Sasa walisema wajipendekeze mtu hajipendekezi unakasirika ukizingatia moja ya kanuni yao ilikuwa kwamba msanii awe kajisajili basata, ila wasafi itakuwa wengi hawajajisali si uliona juzi basata walisema hawakumuandalia rayvanny mapokezi kwakuwa hajajisajiri kwao.
Na siyo wcb peke yao ambao hawakuchukua tuzo unless labda zile tuzo ziliandaliwa mahususi kwa ajili ya kuwashindanisha wcb labda na watu wengine otherwise sioni sababu ya wao kununa
 
inaweza kuwa au si kweli ila ile tuzo ya van unapewa nje ya ukumbi yani hata kwenye live perfomance ya watu wa tuzo ile bet hawajawaweka it means bet wao ile ni tuzo isiyo na mashiko
Lakini kuishinda hiyo tuzo ya nje ya ukumbi ukitokea east africa kwa wenzako huku kwa mtogore siyo mchezo...
Hata akina wizykid bado wanashindania hizo hizo tuzo za nje ya ukumbi japo wamepiga collabo na akina drake, chrisbrown et el
 
Tatizo watu mna miss-interprete alichokisema diamond.
Mnazunguka tu ukweli ni kuwa hawapigi nyimbo zake sababu halisi wao kama EATV hawajasema ni nini...
Lakini siyo mara ya kwanza waliwahi kuwa na tatizo na diamond mwaka jana nadhani wakayamaliza hadi akafanyiwa exclusive ya planet bongo kipindo kizima alihojiwa diamond tu na host alikiwa bell 9, bado diamond na rayvanny wakafanyiwa mahojiano FNL kipindi hicho ndipo walikuwa wameanza toa form za tuzo.
Diamond kwenye FNL akaulizwa kuhusu tuzo akasifia na akasisitiza wasanii wachukue form na akasifia utaratibu wa kujipendekeza ila wao baada ua hapo hawakuchukua hizo form.
Sasa kama sababu ndiyo hiyo basi EATV wanazingua waondoe kipengere cha kujipendekeze wawe wanawapendekeza wao maana huwezi nipa uhuru wa kujipendekeza halafu nisipochukua form unune.
 
Wabongo ni mabingwa wa Umbea na Uchonganishi.....
 
Ni wasanii tu wa wcb ambao hawakujipendekeza kwny izo tunzo...
Mbona darasa hakujipendekeza na wasanii kibao tu mbona hawakushiriki au kulikuwa na maada nje ya pazia tofauti na kujipendekeza kwny tunzo zao.....ebu tufafanulie zaidi
 
Iyo ndo ilichochea zaid mkuu..sabb eatv walitaka kumaliza ubishi au.kushindanisha zile tuzo kati ally kiba na diamond pia wasafi walitoa maneno sio mazur kwa.uongozi wa eatv ple.walipoombwa kushiriki uchukuaji form
Kwan kushiriki izo tunzo ilikuwa lazima maana kwanza zilikuwa za kujipendekeza.,..au ww maana ya neno kujipendekeza hulijui mkuu
 
Mimi najua ile ngoma ya WATAISOMA NAMBA EEEH haipigwi na media zote Tanzania zaidi ya kwenye mikutano, na wenye ngoma yao wala hawalalamiki!
 
Tunajua kwnn clouds hawakupiga nyimbo kwa kipind hicho chote.. lkn hatujua kwann eatv na radio yake hawpigi nyimbo za diamond na wcb.. upo?
Hawapigi kwasababu diamond aliwaambia yeye ni mkubwa kuliko hiyo media, na wcb huwa hawapeleki nyimbo zao huko.....upo?
 
Hili suala mm pia linaniboa sana . naichukia EATv na radio kwasasa. Hata siwafuatilii tena
 
Hili povu lote lnamuangukia
Dullah au
 
Hili suala mm pia linaniboa sana . naichukia EATv na radio kwasasa. Hata siwafuatilii tena
Maisha yako yako hatarn
Kuvunjika kawaambie
Hao mafala wcb wakutibu
 
afuu kunaa yulee jamaaa Graysongedion jamaaa mnafikii sanaa anaonesha chuki za waziii waziii kabisaaaa kwa Mond na maneno yake ya a taarabu. ..
 
Eatv kuanzisha tuzo za hiari na Mtu kutoshiriki hapo dhambi iwapi?

WCB wana haki ya kuchagua cha kufanya na EATV/RADIO wana haki ya kuwaadhibu wanavyoona inafaa...na sidhani kama hilo ni tatizo kuuubwa, na ndo maana WCB sijawasikika kulalamika...ndio kwanza leo mimi nasoma hapa sasa hivi.

Nadhani tatizo ni hapo Mleta uzi alipoandika 'huokoteza vihabari vya mitandaoni ambavyo vina lengo la kumchonganisha Diamond na Watu, na wao kuvifanya topic'.

Sasa je hii nayo ni sehemu ya taratibu za chombo hicho cha habari? na je huwa wanazisema pia zile nzuri kuhusu hao WCB?

Tofauti iliyopo kati ya Clouds na Jide...sijawahi kuwasikia clouds wakimuongelea Jide kwa lolote linalojitokeza mitandaoni liwe baya au zuri.

So point hapa ni EATV/RADIO wapotezee tu, waachane mazima na habari za WCB na kila kitu kitakuwa sawa.

Na kuhusu 'Wauza karanga' mama...hata Bakhresa mulimuita sana 'Muuza ice cream' leo hii bila yeye Zanzibar mngeeenda na zile Panton za Ferry.
 
inaweza kuwa au si kweli ila ile tuzo ya van unapewa nje ya ukumbi yani hata kwenye live perfomance ya watu wa tuzo ile bet hawajawaweka it means bet wao ile ni tuzo isiyo na mashiko
Eti bana, unapewa tuzo ya nje ya ukumbi unaviiimba...wakati kuna Wasanii kibao bongo wana Matuzo ya ukumbini, Wasanii kama.............kama................, hebu nikumbushe majina ya waliowahi kupata tuzo za ndani BET nimalizie komenti yangu.
 
bado hujabainisha dulla Planet kafanya nn au ndio ufisiemu umekukaa kichwani ??
 
Mi nashangaa walikosea nini ikiwa NI WENGI TUU hawakushiriki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…