Duuuh,,!! Ajirekebishe mambo kama hayo ya msiba ya msingi sana kuhudhulia maana leo kwako kesho kwangu,, au yeye yakimfika zari na wema ndio watakao mpa company labda
Wabongo kwa maneno kwan ni lazima aende kwenye mazishi si ataenda hata kuhan loo na hamumshushi ng'oooooooo
Mswahili hakosi neno, na hivi diamond ana vihela ndo basi tena,
Hivi kati ya hao mastaa ni yupi alienda kumpa pole mama yake diamond akiwa india au akiwa hapa bongo?
Mswahili hakosi neno, na hivi diamond ana vihela ndo basi tena,
Hivi kati ya hao mastaa ni yupi alienda kumpa pole mama yake diamond akiwa india au akiwa hapa bongo?
hapo ndipo ninaposhangaa. yaani tumefika mahali tunamuhesabia mtu misiba mingapi kahudhuria? jamani hao waliohudhuria walitosha kabisa kumfariji mfiwa
Wamuache kijana wa watu apumue.Kwani lazima ahudhurie misiba yote?Yani gere hizi ni shidaaa
Baada yakuangalia ya msiba wanaanza kuongea na magazeti,akija D alokufa harejei kua hai wala asipokuja habadilishi chochote lakini hashuo zimewazidi...Na haya mambo ya kitoto ameyaanzisha Dully.
kwakweli ina shangaza tena!
Tatizo wanataka kusafiri nyota ya kijana wa watu.Kwani baba yake Dully ni nani mpaka wasanii wote wahudhurie msiba wake?
Baada yakuangalia ya msiba wanaanza kuongea na magazeti,akija D alokufa harejei kua hai wala asipokuja habadilishi chochote lakini hashuo zimewazidi...
Wabongo kwa maneno kwan ni lazima aende kwenye mazishi si ataenda hata kuhan loo na hamumshushi ng'oooooooo