Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Duuuh,,!! Ajirekebishe mambo kama hayo ya msiba ya msingi sana kuhudhulia maana leo kwako kesho kwangu,, au yeye yakimfika zari na wema ndio watakao mpa company labda
Hivi huu msiba ulipangwa utatokea lini? Mligawa kadi? mlikuwa mnafanya sensa? wanao lalamika wamehudhuria misiba yote?