Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wewe utaachiwa CCMZitto Kabwe ataachiwa Chadema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utaachiwa CCMZitto Kabwe ataachiwa Chadema!
Mbwakachoka!Huyu mtoa mada ni bwege sana.
Matusi hatutakiHuyu mtoa mada ni bwege sana.
CCM ni chama cha WOTE!Wewe utaachiwa CCM
hata nyie wahudumu?CCM ni chama cha WOTE!
Hata kamati kuu ya Chadema yote ni CCM!hata nyie wahudumu?
Nimekuelewa bwashee!kuiondoa tu CCM ni sawa ndio. Shida ni tunampa nani kwa sababu zipi. Hata wakiungana, lkn je, wanastahili kutuongoza? wajipime.
Kalale hukoHata kamati kuu ya Chadema yote ni CCM!
Mbona wao kina duni na ACT yao ya michongo wameungana na CCM?Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.
Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na Rais Samia kule Ubelgiji hivyo tofauti ni sehemu tu ya kuongelea.
Duni amesema kuwa chama kinara cha upinzani haisaidii chochote kwani NCCR ilishakuwa, CUF ilishakuwa na Chadema ilishakuwa lakini hakuna lolote la maana lililofanyika, so dawa ni kuungana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Acha upuuzi. Nani ametukana?Matusi hatutaki
Hana akili huyu bwegeKalale huko
Hahahaaaa..... Nitajie mjumbe mmoja tu wa kamati kuu ya Chadema ambaye siyo mwanaccm!Kalale huko
Dada shinda zako zisikufanye mchukie kila mtu, pambana na umasikini wakoAcha upuuzi. Nani ametukana?
Mbwakachoka!Hana akili huyu bwege
wahudumu mkilipwa huwa mnasumbua snHahahaaaa..... Nitajie mjumbe mmoja tu wa kamati kuu ya Chadema ambaye siyo mwanaccm!
Amina!Dada shinda zako zisikufanye mchukie kila mtu, pambana na umasikini wako
Aache kutukana hapa tuna shindana kwa hojaAmina!
Sifa ya kufanya watu wachaguliwe ni ipi?kuiondoa tu CCM ni sawa ndio. Shida ni tunampa nani kwa sababu zipi. Hata wakiungana, lkn je, wanastahili kutuongoza? Kuungana ndio kutawapa sifa ya kufanya tuwachague?
Sounds like your an idiot stupid gayDada shinda zako zisikufanye mchukie kila mtu, pambana na umasikini wako