Duni Haji: Wapinzani tusipoungana CCM itaendelea kutawala miaka 100 ijayo. Alichoongea Zitto ndicho Lissu alichoongea na Rais Samia

Duni Haji: Wapinzani tusipoungana CCM itaendelea kutawala miaka 100 ijayo. Alichoongea Zitto ndicho Lissu alichoongea na Rais Samia

Nyie upinzani mna ajenda yenu katika kusaka madaraka. Nyie hamuwezi kuleta maendeleo kwa sababu wazembe wa kufikiri. Watanzania twendeni na mwendo huu huu kwa sababu shida ya Tanzania ni watanzania wenyewe. Siku wakibadilika basi kila kitu kitabadilika, ila kwa sasa bado sana na misingi ya kuing'oa ccm sijaona kwa sasa.
 
Nyie upinzani mna ajenda yenu katika kusaka madaraka. Nyie hamuwezi kuleta maendeleo kwa sababu wazembe wa kufikiri. Watanzania twendeni na mwendo huu huu kwa sababu shida ya Tanzania ni watanzania wenyewe. Siku wakibadilika basi kila kitu kitabadilika, ila kwa sasa bado sana na misingi ya kuing'oa ccm sijaona kwa sasa.
 
Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.

Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na Rais Samia kule Ubelgiji hivyo tofauti ni sehemu tu ya kuongelea.

Duni amesema kuwa chama kinara cha upinzani haisaidii chochote kwani NCCR ilishakuwa, CUF ilishakuwa na Chadema ilishakuwa lakini hakuna lolote la maana lililofanyika, so dawa ni kuungana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Tatizo unaungana na nani ,Hawa viongozi ambao hasubui wapo na vyama vyao kuonesha ni wapinzani,usiku wapo na ccm kutetea ugali wao, tulipofika

Chadema hata bila kuungana na chama chochote Inaiondoa ccm mchana kweupe, hakuna Cha kuungana na watu wasio na dhamila ya kweli
 
Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.

Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na Rais Samia kule Ubelgiji hivyo tofauti ni sehemu tu ya kuongelea.

Duni amesema kuwa chama kinara cha upinzani haisaidii chochote kwani NCCR ilishakuwa, CUF ilishakuwa na Chadema ilishakuwa lakini hakuna lolote la maana lililofanyika, so dawa ni kuungana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Mpinzani ni CHADEMA TU nyie Sio WAPINZANI
 
Tatizo unaungana na nani ,Hawa viongozi ambao hasubui wapo na vyama vyao kuonesha ni wapinzani,usiku wapo na ccm kutetea ugali wao, tulipofika

Chadema hata bila kuungana na chama chochote Inaiondoa ccm mchana kweupe, hakuna Cha kuungana na watu wasio na dhamila ya kweli
Hakuna kuungana ngoma iende hivi hivi kitajulikana mapema tu
 
Kuna vyama 20+ vya upinzani Tanzania,Zitto na ACT yake aungane na hivyo waitoe CCM madarakani.
Aiache CHADEMA ambayo alisema mwenyekiti wake ni gaidi tuendelee kuwa wapinzani.
 
kuiondoa tu CCM ni sawa ndio. Shida ni tunampa nani kwa sababu zipi. Hata wakiungana, lkn je, wanastahili kutuongoza? Kuungana ndio kutawapa sifa ya kufanya tuwachague?
Sifa za kustahili kuchaguliwa na kuongoza ni zipi?
 
Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.

Mzee Duni amesema alichokiongea Zitto Kabwe pale Dodoma mbele ya Rais Samia ndio hicho hicho alichokiongea Tundu Lisu na Rais Samia kule Ubelgiji hivyo tofauti ni sehemu tu ya kuongelea.

Duni amesema kuwa chama kinara cha upinzani haisaidii chochote kwani NCCR ilishakuwa, CUF ilishakuwa na Chadema ilishakuwa lakini hakuna lolote la maana lililofanyika, so dawa ni kuungana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Kuongoza sio zamu hadi mushinde uchaguzi ndionawrza ongoza.
 
Back
Top Bottom